Rais Samia: Tundu Lissu ni mdogo wangu tu, mimi ni Rais na ni dada yake

Rais Samia: Tundu Lissu ni mdogo wangu tu, mimi ni Rais na ni dada yake

Yaani ukitaka kuthibitisha kuwa watu Ni Misukule.

Kumbe masuala ya TOZO, UFISADI, RUSHWA, UKOSEFU WA AJIRA, siyo TATIZO Kabisa.

Tatizo Ni Mbowe, Lissu, Lema na Heche hawapewi CHAKULA wanavyotaka.

Ukiwapa wao hutasikia kelele.
 
Ukiacha suala la Mbowe, sijawahi kuwa na mashaka na Rais Samia.

Rais Samia aachane kabisa na makandokando ya awamu ya 5, japo alikuwa humo. Tunajua alikuwa humo, lakini hakuwa na mamlaka, ndiyo maana hatumhukumu kwa hilo.

Jambo la muhimu, ajitenge na yote ya kishetani ya awamu ya 5. Asirithi uovu hata akajiv 89thunia nao. Nchi inahitaji kuponyeshwa majeraha na siyo kuyapalilia.

Tunaomba Rais Samia asimame na Mungu hata pale akiwa amezungukwa na roho za uovu, atashinda. Asiyaonee haya matendo mema hata akiwa katikati ya mamilioni ya waovu.

Tunajua, ugumu uliopo kwake, yaani utende mema na ya haki, huku ukiwa umezungukwa na wanaCCM, ambao wengi wao, kwao uovu ni ujasiri. Huko wapo watu wanaoonea fahari hata kuua, kutesa, kuteka kubambikia kesi, kupora kura, kuwanga, na kila aina ya uovu alimradi kama uovu huo unawahakikisha madaraka na fedha.
Suala la Mbowe ni la kisheria zaidi. Rais asiingizwe kwenye mambo yanayohusu mahakama na sheria.

Endapo kuna ushahidi wa kutosha na wa haki kabisa (ambao haujaonekana mpaka sasa), basi Mbowe awajibike na uhalifu kama upo.

Lakini kama hakuna, ni vyema mahakama ikamwachia na kuiamuru serikali imlipe fidia, zikiwepo zile alizoharibiwa mali zake na wale wendawazimu wa awamu ya tano.
 
Suala la Mbowe ni la kisheria zaidi. Rais asiingizwe kwenye mambo yanayohusu mahakama na sheria.

Endapo kuna ushahidi wa kutosha na wa haki kabisa (ambao haujaonekana mpaka sasa), basi Mbowe awajibike na uhalifu kama upo.

Lakini kama hakuna, ni vyema mahakama ikamwachia na kuiamuru serikali imlipe fidia, zikiwepo zile alizoharibiwa mali zake na wale wendawazimu wa awamu ya tano.
Kabisa. Rais asiingilie mihimili mingine especially Mahakama.
 
Jinsia sio tija wala haijawahi kuwa kigezo muhimu katika Urais sikubaliani nalo. Msingi wa hoja yangu ni kama binadamu wote ni sawa basi Urais hauna jinsia. Hoja za kusema anahuruma sio sawa. Rais ametumia busara bila mihemko. Hakuna Rais mwenye kutaka kuongoza Taifa lililogawanyika Rais mwenye busara hupenda kuongoza Taifa lenye amani na utulivu. Rais kutafuta amani kwa watu wake ni wajibu wake namba moja bila kubagua mrengo wa kisiasa. Hata katiba haijaona hiki kigezo cha jinsia kama ndio kete ya kupatia urais. umeenda mbali hata kuwachagulia watanzania rais ajae awe Tulia huu ni ufutuhi.
Kuna mtu nime mquote mkuu sio wewe.

Halafu kuhusu kuchaguliwa rais mbona ndio ipo hivyo, ccm wakimchagua mgombea wao wa rais ndio teyari rais keshapatikana hapo hivyo miaka yote ccm ndio hutuchagulia rais kwa niaba ya watanzania wote.
 
Binafsi na kwa Umri wangu huu sijawahi kuona Rais mnyenyekevu na mpole kama huyu ( She is so simple ever )

Kwa unyenyekevu mkubwa nawaomba na kuwasihi watanzania wote wanaopenda amani, utulivu na ustawi wa mtu mmoja mmoja tumuungeni mkono Rais wetu kwani ni hakika anatupenda sana kama Taifa,

<<<Msikilize hadi Mwisho >>>



=========
Mimi ni dada tu kwa Tundu Lissu kwa hiyo kama anakuja kwangu mimi anakuja kwa dada yake, kwa hiyo kama ana shida kama ana nini atakuja kusema kwa dada yake. hakuna tension ya kisiasa kati yangu mimi na Tundu Lissu haipo kwa hiyo anakuja kumuona dada yake, Rais wake katoka Tanzania kaja kwa hiyo anakuja kumuona.

Tunapokuja kwenye swala la ubinadamu Tundu Lissu mimi ni mdogo wangu tu kwa atakuja tutazungumza, hivyo mimi siwezi kusema sijui anakuja na nini anakuja kuna hili au kuna lile siwezi kusema mpaka nimsikilize kwa hiyo anakuja kumuona dada yake, lakini anakuja kwenye jambo la kirafiki kabisa, kama unakumbuka Tundu Lissu alilazwa Nairobi na mimi nilikwenda kumuona katika hali ya kirafiki kabisa maana Tundu Lissu ni mdogo wangu.

Tunapokuja kwenye swala la kisiasa, huku sasa ni upande wa kazi, yeye atasema ya kwake na mimi nitasimama kwenye chama changu.
Nimeipenda sana hii attitude ya Rais Mama Samia, sana. Na huu ndio ubinadamu tunaohitaji kama taifa. Kutofautiana kisiasa siyo uadui. Kasema vizuri sana mama, nimemwelewa kuwa kwenye ubinadamu tuko pamoja, kwenye siasa tuko kazini kila mmoja aje na itikadi yake lakini undugu uendelee. Asante mama.
 
Tuache sifa nyingi wala hazihitaji kama mnavyohisi sio sawa na yule aliepita. Huyu ndie Rias anaeitendea kazi nafasi yake kwa busara na utashi unaotakiwa ni wajibu wake kwani kila mtanzania ni wake mpinzani na wanaotoka kwenye chama chake. Huyu ndie Rais tunamtegemea. Watu kama hawa wapo ila mihemko ya kisiasa inapelekea kupata Rais mbovu na kilitesa Taifa zima. Tusirudie makosa kama yale tena. Kulikuwa kuna shida kwenye system iliyompata Rais asiejua Taifa hili watu wote ni wake bila kubagua watokapo.
Huyu ndie alikuwa chanzo cha kigogo na wengineo.

Huyu alikuwa kikulacho ki nguoni mwako!
 
Kuna watu wanutumia unyeyekevu wa Rais kufanya mambo yao.
 
Ukiacha suala la Mbowe, sijawahi kuwa na mashaka na Rais Samia.

Rais Samia aachane kabisa na makandokando ya awamu ya 5, japo alikuwa humo. Tunajua alikuwa humo, lakini hakuwa na mamlaka, ndiyo maana hatumhukumu kwa hilo.

Jambo la muhimu, ajitenge na yote ya kishetani ya awamu ya 5. Asirithi uovu hata akajiv 89thunia nao. Nchi inahitaji kuponyeshwa majeraha na siyo kuyapalilia.

Tunaomba Rais Samia asimame na Mungu hata pale akiwa amezungukwa na roho za uovu, atashinda. Asiyaonee haya matendo mema hata akiwa katikati ya mamilioni ya waovu.

Tunajua, ugumu uliopo kwake, yaani utende mema na ya haki, huku ukiwa umezungukwa na wanaCCM, ambao wengi wao, kwao uovu ni ujasiri. Huko wapo watu wanaoonea fahari hata kuua, kutesa, kuteka kubambikia kesi, kupora kura, kuwanga, na kila aina ya uovu alimradi kama uovu huo unawahakikisha madaraka na fedha.
Katiba sasa
 
Safi sanaa mam
Binafsi na kwa Umri wangu huu sijawahi kuona Rais mnyenyekevu na mpole kama huyu (She is so simple ever).

Kwa unyenyekevu mkubwa nawaomba na kuwasihi watanzania wote wanaopenda amani, utulivu na ustawi wa mtu mmoja mmoja tumuungeni mkono Rais wetu kwani ni hakika anatupenda sana kama Taifa.

<<<Msikilize hadi Mwisho >>>



===
Mimi ni dada tu kwa Tundu Lissu kwa hiyo kama anakuja kwangu mimi anakuja kwa dada yake, kwa hiyo kama ana shida kama ana nini atakuja kusema kwa dada yake. hakuna tension ya kisiasa kati yangu mimi na Tundu Lissu haipo kwa hiyo anakuja kumuona dada yake, Rais wake katoka Tanzania kaja kwa hiyo anakuja kumuona.

Tunapokuja kwenye swala la ubinadamu Tundu Lissu mimi ni mdogo wangu tu kwa atakuja tutazungumza, hivyo mimi siwezi kusema sijui anakuja na nini anakuja kuna hili au kuna lile siwezi kusema mpaka nimsikilize kwa hiyo anakuja kumuona dada yake, lakini anakuja kwenye jambo la kirafiki kabisa, kama unakumbuka Tundu Lissu alilazwa Nairobi na mimi nilikwenda kumuona katika hali ya kirafiki kabisa maana Tundu Lissu ni mdogo wangu.

Tunapokuja kwenye swala la kisiasa, huku sasa ni upande wa kazi, yeye atasema ya kwake na mimi nitasimama kwenye chama changu.
 
Hapa mama ameeleweka vizuri tatizo ni pale atakapokutana na mizimu ya CCM iliyotukosesha katiba mpya kipindi cha Kikwete aliyeonyesha utayari wa kutuletea katiba mpya katika utawala wake, mizimu ya CCM ilipotia miguu yao tu kila kitu kilisambaratika hapohapo.

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Back
Top Bottom