Rais Samia: Tundu Lissu ni mdogo wangu tu, mimi ni Rais na ni dada yake

Maneno mazuri kabisa.Mungu akupe uzima,afya,mama yetu,Rais wetu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyu ni Rais asiyemcha Mungu anategemea nguvu za wazungu na fedha zao
 
Sasa mtu kama mie nisie mwanasiasa au kuwa na hadhi yeyote ile naweza vp kupata nafasi kama aliyopata Lissu na kueleza malalamiko yangu? Au nikiwa na kesi kama ya Mbowe unafikiri ni nani ataenda kuniombea kwa rais ili niachiwe huru?
Ndio hapo utajua kama nchi sio ya mwananchi kama wewe
 
Rais mnyenyekevu,
Rais Mpole,
Rais msikivu
Rais mpenda watu wake wote,
Rais Msikivu
Rais Mtulivu
Rais mchamungu
Rais mahiri
Rais Shupavu
Rais Jasiri
Ongeza na hili: Raisi aliyeondoa kero zote za muungano kimya kimya na Zenji yote meno nje!!!! Hadi 2025 Zenji itakuwa Dubai ya Afrika mashariki!!
 
Kazi nzuri Mama, tupo na wewe mpaka mwisho.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…