Rais Samia turudishie Lukuvi Wizara ya Ardhi hali imeanza kuwa mbaya

Crocodiletooth

JF-Expert Member
Joined
Oct 28, 2012
Posts
20,561
Reaction score
24,428
Waswahili tunasema usipoziba ufa utajenga ukuta, madudu ardhi yameshaanza upyaa ni hapaeleweki kabisa, nazungumza haya kwa kutahadharisha Serikali yetu tukufu watoto wa mjini wameanza yao, ni vuruguvurugu kwenye mafaili ya wamiliki, halali
More deep detail to follow with specific actual facts and whose responsible for such a dirty.
 
Nchi imefunguka,lamba asali na wewe.
Kufunguka kwa namna hii hapana kweli nalamba machungu kwa sana dah, wana wamezuka upyaa utulivu wala amani hakuna tena /au sijui wanamfanyia kusudi baya mother?
 
Angalizo:-
Pitieni ardhi mara kwa mara endapo mnashughuli za ki-proccess kuhusu and na docs zenu hakikini mara kwa mara na wala msi relax msije kukuta manyoya tu?
 
Nakazia ✍️✍️✍️
Lukuvi aliweza sana pale ardhi
 
Toa ujinga hapa,badala uandike kitu chenye maana unaandika ushabiki papuchi stupid
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…