davejillaonecka
JF-Expert Member
- Oct 17, 2018
- 697
- 749
Asante ndugu uneongea sahihi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nnchi hii ukiwa mtendaji mzuri chaguwa moja kati ya haya wakupoteze au wakumalize nafikili nimeeleweka!Nakazia ✍️✍️✍️
Lukuvi aliweza sana pale ardhi
Zama zimerudiNaongea na Riz wani...
Naongea na Riz wani...
Ongea na Mshua...
Ongea na Mazza...
Anayeukumbuka huo wimbo, tujuane.
Za zamani si za sasaa...Zama zimerudi
Wananchi hatuelewi kwanini Mama kamtema Lukuvi na kutuwekea garasa kama Ridhiwani na Mama Mabula.Waswahili tunasema usipoziba ufa utajenga ukuta, madudu ardhi yameshaanza upyaa ni hapaeleweki kabisa, nazungumza haya kwa kutahadharisha Serikali yetu tukufu watoto wa mjini wameanza yao, ni vuruguvurugu kwenye mafaili ya wamiliki, halali
More deep detail to follow with specific actual facts and whose responsible for such a dirty.
Waswahili tunasema usipoziba ufa utajenga ukuta, madudu ardhi yameshaanza upyaa ni hapaeleweki kabisa, nazungumza haya kwa kutahadharisha Serikali yetu tukufu watoto wa mjini wameanza yao, ni vuruguvurugu kwenye mafaili ya wamiliki, halali
More deep detail to follow with specific actual facts and whose responsible for such a dirty.
Inasikitisha sana!!!Wananchi hatuelewi kwanini Mama kamtema Lukuvi na kutuwekea garasa kama Ridhiwani na Mama Mabula.
Wapeni MudaWananchi hatuelewi kwanini Mama kamtema Lukuvi na kutuwekea garasa kama Ridhiwani na Mama Mabula.
Tatizo ni mfumo mbovu uyo Lukuvi ataishi milele?Waswahili tunasema usipoziba ufa utajenga ukuta, madudu ardhi yameshaanza upyaa ni hapaeleweki kabisa, nazungumza haya kwa kutahadharisha Serikali yetu tukufu watoto wa mjini wameanza yao, ni vuruguvurugu kwenye mafaili ya wamiliki, halali
More deep detail to follow with specific actual facts and whose responsible for such a dirty.
Si lazima arudishwe lukuvi, amechoka, akapumzike. Lakini bado ukweli una baki pale pale, timu iliopo ardhi kwa sasa haimudu kazi. Ni uchapaji mtupu.Nakazia [emoji3578][emoji3578][emoji3578]
Lukuvi aliweza sana pale ardhi
Kijana maarifa yako na akili zako zote umezihamishia kwenye papuchi...,hatupingi akili zako binafsi.Toa ujinga hapa,badala uandike kitu chenye maana unaandika ushabiki papuchi stupid
Inaumiza kweli but no way out tumekwisha lakini ni fedhea kwa mtawala, TUMEKWISHAAA!Za zamani si za sasaa...
Mambo yamebadilikaaa....
Imekula kwetuuu...
Imekula kwetuuu...
Wanaoufahamu huo wimbo, tujuane...
Ingine inapokuwa na miss haimaanishi uifumue kila pahala yakheee!Tatizo ni mfumo mbovu uyo Lukuvi ataishi milele?