Rais Samia turudishie Lukuvi Wizara ya Ardhi hali imeanza kuwa mbaya

Rais Samia turudishie Lukuvi Wizara ya Ardhi hali imeanza kuwa mbaya

Waswahili tunasema usipoziba ufa utajenga ukuta, madudu ardhi yameshaanza upyaa ni hapaeleweki kabisa, nazungumza haya kwa kutahadharisha Serikali yetu tukufu watoto wa mjini wameanza yao, ni vuruguvurugu kwenye mafaili ya wamiliki, halali
More deep detail to follow with specific actual facts and whose responsible for such a dirty.

Lukuvi unapojianzishia uzi
 
Waswahili tunasema usipoziba ufa utajenga ukuta, madudu ardhi yameshaanza upyaa ni hapaeleweki kabisa, nazungumza haya kwa kutahadharisha Serikali yetu tukufu watoto wa mjini wameanza yao, ni vuruguvurugu kwenye mafaili ya wamiliki, halali
More deep detail to follow with specific actual facts and whose responsible for such a dirty.
Yupo mwana wa mfalme Riz
 
Lukuvi unapojianzishia uzi
Ardhi panazidi kuoza, mm sio lukuvi ni mteja wao ninayeshuhudia CHANGES, uozo nimwingi "vijana wa jiji" wako pale wakisaidiana na wadau wa pale katika huharibu na kuzamisha jahazi "kinondoni desk" wajitafakari sana, Nasubiri wakamilishe ujinga fulani ili nitumie grunet kusawazisha au kumaliza Ugonjwa.
 
Back
Top Bottom