Asalam!
Rais wa JMT amefafanua kwa kina suala la mikopo ambalo limezua gumzo hasa baada ya Mh. Spika Job Ndugai kubeza suala la ukopaji.
Rais ameelezea aina ya mikopo na muda wa ulipaji vs maendeleo yanayotengenezwa. Anasema Tanzania inajipanga kivitendo kuwa kitovu cha biashara kwa ukanda wetu.
Anasema wanaodai mikopo ni tatizo inategemeana na unavotumia. Anasema tusibeze mikopo ila tuangalie faida zake.
Mh. Rais amefafanua kwa kina aina ya ukopaji wetu
Kwa mtazamo wangu amefafanua vizuri. Tumuunge mkono
======
Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amesema zipo jitihada za kuivunja moyo Serikali kwenye Mikopo, akiongeza kuwa hakuna Nchi isiyokopa na hata Mataifa yaliyoendelea yana Mikopo mikubwa
Amesisitiza, "Tutakopa tumalize miradi ya maendeleo ili tuendelee. Ukikopa unajenga sasa kwa haraka, ukisubiri ukusanye za kwako utamaliza lini kujenga? Mradi wa Matrilioni unasubiri za kwako utaumaliza lini"
Ameongeza, "Tumekopa Mkopo wa Masharti nafuu wa miaka 20, unakudhuru nini? Maendeleo yanakuja haraka, utakusanya polepole uende ukalipe"
Rais wa JMT amefafanua kwa kina suala la mikopo ambalo limezua gumzo hasa baada ya Mh. Spika Job Ndugai kubeza suala la ukopaji.
Rais ameelezea aina ya mikopo na muda wa ulipaji vs maendeleo yanayotengenezwa. Anasema Tanzania inajipanga kivitendo kuwa kitovu cha biashara kwa ukanda wetu.
Anasema wanaodai mikopo ni tatizo inategemeana na unavotumia. Anasema tusibeze mikopo ila tuangalie faida zake.
Mh. Rais amefafanua kwa kina aina ya ukopaji wetu
Kwa mtazamo wangu amefafanua vizuri. Tumuunge mkono
======
Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amesema zipo jitihada za kuivunja moyo Serikali kwenye Mikopo, akiongeza kuwa hakuna Nchi isiyokopa na hata Mataifa yaliyoendelea yana Mikopo mikubwa
Amesisitiza, "Tutakopa tumalize miradi ya maendeleo ili tuendelee. Ukikopa unajenga sasa kwa haraka, ukisubiri ukusanye za kwako utamaliza lini kujenga? Mradi wa Matrilioni unasubiri za kwako utaumaliza lini"
Ameongeza, "Tumekopa Mkopo wa Masharti nafuu wa miaka 20, unakudhuru nini? Maendeleo yanakuja haraka, utakusanya polepole uende ukalipe"