Kama anakopa na speed ya ukamilishaji miradi ionekane,kwa maana miradi ikamilike kwa wakati!! Hapo hatutakuwa na nongwa!!, kwanza huko dar wanamdanganya Sana,arudi huku ikulu ya nchi iliko Dodoma,mbona anang'ng'ana na daisalama!!??, kituo Cha kazi yake Kiko Dodoma,yeye anang'ang'ania kukaa nje ya kituo chake Cha kazi, si utovu wa nidhamu ya kazi huu!!!
yeye ni mtumishi ,sawa na watumishi wengine,mbona waalimu, ma nesi n.k wanalazimishwa kubaki kwenye vituo vyao vya kazi!!?, arudi kituo chake Cha kazi,aachane na huo mji wa daisalama!! Ebo!!