Rais Samia: Tutaendelea kukopa tumalizie miradi inayoendelea

Rais Samia: Tutaendelea kukopa tumalizie miradi inayoendelea

Remote zimeishiwa betri nini.naona mama kama aeleweki yuko Chanel gan vile
 
Waswahili usema....... Kama halipo laja, ndivyo tunavyoweza kusema sisi wananchi wa Hali ya chini.

Katika Hali hisiyo ya kawaida,au Hali inayoashiria BIFU, kubwa kati ya mkopaji na yule bwana nani anapinga tusikope Sasa BIFU limekuwa kubwa bwana yule anahoji hela za mikopo kujenga madarasa wakati walipitisha MITOZO simu akiwa amesinzia bungeni aliposhutuka akakuta ngoma zikapita.

Sasa anashangaaa dadeki mikopo,mwelele,anaanza kuogopa nchi itauzwa, mama amejitokeza na jumchambua kama kalanga kudadeki amemwambia atakopa kumalizia miradi yote,ameongezea jumchambua kwa kumwambia kuwa hata wakubwa wanakopa na yeye atakopa

Kumbe mchizi alitakuwa anapiga tusikope Ili miradi ishindwe alafu aanze kampeni chafu dadeki tutakopa mpaka mkome.
hukuandika vizuri sana huu uzi ulihitaji umakini ili tutiririke vyema kwa vile amemgusa mtu mmoja nyumba kubwa pale dodoma., ukweli ni kwamba mama hakuanza yeye kukopa ni kama vile mama wanajaribu kutaka kumtupia paka wa uso, timu kiroboto tunaielewa fika tutawasambaratisha mapema iwezekanavyo., mama go mama go

Mtu mmoja yeye alikuwa anavamia maduka ya kubadilisha hela na kuzichukua kwa nguvu zote ni bora kukopa kuliko wizi
 
Waswahili usema....... Kama halipo laja, ndivyo tunavyoweza kusema sisi wananchi wa Hali ya chini.

Katika Hali hisiyo ya kawaida,au Hali inayoashiria BIFU, kubwa kati ya mkopaji na yule bwana nani anapinga tusikope Sasa BIFU limekuwa kubwa bwana yule anahoji hela za mikopo kujenga madarasa wakati walipitisha MITOZO simu akiwa amesinzia bungeni aliposhutuka akakuta ngoma zikapita.

Sasa anashangaaa dadeki mikopo,mwelele,anaanza kuogopa nchi itauzwa, mama amejitokeza na jumchambua kama kalanga kudadeki amemwambia atakopa kumalizia miradi yote,ameongezea jumchambua kwa kumwambia kuwa hata wakubwa wanakopa na yeye atakopa

Kumbe mchizi alitakuwa anapiga tusikope Ili miradi ishindwe alafu aanze kampeni chafu dadeki tutakopa mpaka mkome.
Hapa ndiyo Samia ajue kuwa hawa akina Mbowe anaowaundia zengwe la kuwafunga jela hawana madhara kwenye himaya yake kuliko hili genge linalompinga ndani ya Chama na Serikali yake. Kauli ya Ndungai haikutoka kama ajali, it was a calculated move ya kumkabili mama hadharani,hawa Sukuma Gang wakimtumia Polepole kama mouthpiece yao wamejipanga sana. Wewe mwache ahangaike kumfunga Mbowe jela huku mchwa ukiutafuna utawala wake mdogo mdogo.
 
Za tozo hazitoshi kujenga kujenga madarasa bora? Au wazo la tozo kwenye miamala lilikuwa fyongo?
 
moto wanaopelekeana maaccm unaashiria mwisho wa enzi, kama huamini tukutane 2025
 
Waswahili usema....... Kama halipo laja, ndivyo tunavyoweza kusema sisi wananchi wa Hali ya chini.

Katika Hali hisiyo ya kawaida,au Hali inayoashiria BIFU, kubwa kati ya mkopaji na yule bwana nani anapinga tusikope Sasa BIFU limekuwa kubwa bwana yule anahoji hela za mikopo kujenga madarasa wakati walipitisha MITOZO simu akiwa amesinzia bungeni aliposhutuka akakuta ngoma zikapita.

Sasa anashangaaa dadeki mikopo,mwelele,anaanza kuogopa nchi itauzwa, mama amejitokeza na jumchambua kama kalanga kudadeki amemwambia atakopa kumalizia miradi yote,ameongezea jumchambua kwa kumwambia kuwa hata wakubwa wanakopa na yeye atakopa

Kumbe mchizi alitakuwa anapiga tusikope Ili miradi ishindwe alafu aanze kampeni chafu dadeki tutakopa mpaka mkome.

Menyewe kwa menyewe wallahi 😁😁
 
Ndugu ai anaanza kampeni za kijifagilia kuwa yeye anafaa kuwa raisi wakati kazi anayofanya mama tunaiona hakika nchi imeanza kuwa tamu.
 
Asalam!
Rais wa JMT amefafanua kwa kina suala la mikopo ambalo limezua gumzo hasa baada ya Mh. Spika Job Ndugai kubeza suala la ukopaji.

Rais ameelezea aina ya mikopo na muda wa ulipaji vs maendeleo yanayotengenezwa. Anasema Tanzania inajipanga kivitendo kuwa kitovu cha biashara kwa ukanda wetu.

Anasema wanaodai mikopo ni tatizo inategemeana na unavotumia. Anasema tusibeze mikopo ila tuangalie faida zake.

Mh. Rais amefafanua kwa kina aina ya ukopaji wetu

Kwa mtazamo wangu amefafanua vizuri. Tumuunge mkono

======

Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amesema zipo jitihada za kuivunja moyo Serikali kwenye Mikopo, akiongeza kuwa hakuna Nchi isiyokopa na hata Mataifa yaliyoendelea yana Mikopo mikubwa

Amesisitiza, "Tutakopa tumalize miradi ya maendeleo ili tuendelee. Ukikopa unajenga sasa kwa haraka, ukisubiri ukusanye za kwako utamaliza lini kujenga? Mradi wa Matrilioni unasubiri za kwako utaumaliza lini"

Ameongeza, "Tumekopa Mkopo wa Masharti nafuu wa miaka 20, unakudhuru nini? Maendeleo yanakuja haraka, utakusanya polepole uende ukalipe"
Naona wanajibizana Kama wamama wa taarabu
 
Asalam!
Rais wa JMT amefafanua kwa kina suala la mikopo ambalo limezua gumzo hasa baada ya Mh. Spika Job Ndugai kubeza suala la ukopaji.

Rais ameelezea aina ya mikopo na muda wa ulipaji vs maendeleo yanayotengenezwa. Anasema Tanzania inajipanga kivitendo kuwa kitovu cha biashara kwa ukanda wetu.

Anasema wanaodai mikopo ni tatizo inategemeana na unavotumia. Anasema tusibeze mikopo ila tuangalie faida zake.

Mh. Rais amefafanua kwa kina aina ya ukopaji wetu

Kwa mtazamo wangu amefafanua vizuri. Tumuunge mkono

======

Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amesema zipo jitihada za kuivunja moyo Serikali kwenye Mikopo, akiongeza kuwa hakuna Nchi isiyokopa na hata Mataifa yaliyoendelea yana Mikopo mikubwa

Amesisitiza, "Tutakopa tumalize miradi ya maendeleo ili tuendelee. Ukikopa unajenga sasa kwa haraka, ukisubiri ukusanye za kwako utamaliza lini kujenga? Mradi wa Matrilioni unasubiri za kwako utaumaliza lini"

Ameongeza, "Tumekopa Mkopo wa Masharti nafuu wa miaka 20, unakudhuru nini? Maendeleo yanakuja haraka, utakusanya polepole uende ukalipe"
Madeni hatujawahi kuweza kuyalipa ya ndani yametushinda ya huko nje hadi huwa tunapiga kelele wabeberu wayasamehe/wayafute
 
Back
Top Bottom