Twilumba
JF-Expert Member
- Dec 5, 2010
- 12,576
- 14,522
hajazima isipokuwa ni kama ile ya TMK wanaumeeee, "Migambo wanaruka na kukanyagana" Repeat ChorusRais kaamua kuzima maneno maneno yaliyokuwa yameanza kurushwa kutokea katikati ya nchi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hajazima isipokuwa ni kama ile ya TMK wanaumeeee, "Migambo wanaruka na kukanyagana" Repeat ChorusRais kaamua kuzima maneno maneno yaliyokuwa yameanza kurushwa kutokea katikati ya nchi
Ukiona mtu hamuungi mkono ajuwe sio mtanzania.Bila kukopa hakuna maendeleo.Makabila mengi ukienda kuchumbia, utaulizwa una madeni? ukisema huna madeni,huthaminiwi. Wanasema huyu, atakuja mlaza na njaa mtoto wetu, akiwa hajui kukopa.Asalam!
Rais wa JMT amefafanua kwa kina suala la mikopo ambalo limezua gumzo hasa baada ya Mh. Spika Job Ndugai kubeza suala la ukopaji.
Rais ameelezea aina ya mikopo na muda wa ulipaji vs maendeleo yanayotengenezwa. Anasema Tanzania inajipanga kivitendo kuwa kitovu cha biashara kwa ukanda wetu.
Anasema wanaodai mikopo ni tatizo inategemeana na unavotumia. Anasema tusibeze mikopo ila tuangalie faida zake.
Mh. Rais amefafanua kwa kina aina ya ukopaji wetu
Kwa mtazamo wangu amefafanua vizuri. Tumuunge mkono
Asalam!
Rais wa JMT amefafanua kwa kina suala la mikopo ambalo limezua gumzo hasa baada ya Mh. Spika Job Ndugai kubeza suala la ukopaji.
Rais ameelezea aina ya mikopo na muda wa ulipaji vs maendeleo yanayotengenezwa. Anasema Tanzania inajipanga kivitendo kuwa kitovu cha biashara kwa ukanda wetu.
Anasema wanaodai mikopo ni tatizo inategemeana na unavotumia. Anasema tusibeze mikopo ila tuangalie faida zake.
Mh. Rais amefafanua kwa kina aina ya ukopaji wetu
Kwa mtazamo wangu amefafanua vizuri. Tumuunge mkono
Wananchi tunamuunga mkono Rais wetu.Akihutubia leo wakati wa utiaji wa saini wa ujenzi wa Reli ya kisasa (SGR) ya Makutupora - Tabora, Rais Samia amesema mikopo sio mibaya kama itatumika vizuri.
Rais SSH akaongeza, wale wanaokosoa kuwa mikopo inaturudisha nyuma ni wale ambao hawajui maana halisi ya mikopo kwani hata nchi kubwa zinakopa na kukamilisha miradi yao.
"Hatuwezi kukamilisha miradi hii kwa pesa za ndani wala pesa za tozo, hivyo ni lazima tukope kuliko kuwakamua wananchi" aliongeza Rais SSH.
My take:
Rais kaamua kuzima maneno maneno yaliyokuwa yameanza kurushwa kutokea katikati ya nchi
No.
Reli ya umeme itakamilima 2050. Hadi leo kipande cha Dar to Pugu hakijakamilika"...miradi yote itaendelezwa na itamalizika kwa wakati."
"...wapo wanaoomba eti miradi hii isiishe ama kuendelezwa nasema acha wajidanganye."
"...na tutakopa popote pale ili tu tumalize miradi yote hii ya kimkakati.Bwawa kule linaendelea na pote barabara za lami zinajengwa."
Samia leo Ikulu.
Nimepita mbagala naona watu wamepiga usingizi maana hakuna kinacho endelea"...miradi yote itaendelezwa na itamalizika kwa wakati."
"...wapo wanaoomba eti miradi hii isiishe ama kuendelezwa nasema acha wajidanganye."
"...na tutakopa popote pale ili tu tumalize miradi yote hii ya kimkakati.Bwawa kule linaendelea na pote barabara za lami zinajengwa."
Samia leo Ikulu.
Ccm hakuna aliye na unafuu