mkulu senkondo
JF-Expert Member
- Feb 19, 2017
- 1,862
- 3,574
Why asianze na NHC??
We Jamaa bwana,afute NHC Kwa sababu gani hasa?Why asianze na NHC??
Wapunguze hisa za Serikali kupitia DSE...waone maajabu ya sekta hiyo
Kama Ufisadi upi?Usitake kututoa kwenye mada,tunataka kuina ukichukua hatua dhidi ya ufisadi uliokitiri katika serikali yako!!!
Ufanisi uliongezeka?TPA ilikuwa ina operates Kwa ICDs wakati wa JK, alipoingia JPM akaziondoa na kurejesha uendeshaji kwenye TPA main.
Sijasema afute..aliweke DSE wananchi wanunue hisa serikali ibaki na hisa kidogo kama NMBWe Jamaa bwana,afute NHC Kwa sababu gani hasa?
Ni watanzania tu hatujiongezi ila umeme wa 1000 ambao ni unit 2.8 hupika maharagwe na unit hubaki 2, hivyo unajikuta sehemu kubwa umeokoa mazingira, mudaHata mim napikia maharage umeme mkuu [emoji23][emoji23][emoji23]
Soko la hisa.la Bongo halijachangamka,kwanza watu wengi hata hawaelewiSijasema afute..aliweke DSE wananchi wanunue hisa serikali ibaki na hisa kidogo kama NMB
ATCL hawana ndege hata 1No ubinafsishaji 2.0? ATCL wa kwanza?
Ndio maana NHC wameanza ingia ubia na Sekta Binafsi ie Viwanja 19 vya Kariakoo tayari vimepata watu na taratibu zote zakaribia kukamilika kabla ya Mkataba kupelekwa kwa Mwanasheria MkuuWhy asianze na NHC??
Wapunguze hisa za Serikali kupitia DSE...waone maajabu ya sekta hiyo
Kaa kisaikolojia Pride ilianza hivyo hivyo baadae wafanyakazi wakajikuta naturaly wapo mitaani.Mimi niko hapa TTCL,, inabidi nijituneš
Mfumo wa ICD zamani ulikuwa na wizi sana maana Bandarini enzi hizo wanatoa mizigo kwa kulipa Cash.TPA ilikuwa ina operates Kwa ICDs wakati wa JK, alipoingia JPM akaziondoa na kurejesha uendeshaji kwenye TPA main.
Kweli wakifanya hivyo NHC itapata mtaji wa kujiendesha.Sijasema afute..aliweke DSE wananchi wanunue hisa serikali ibaki na hisa kidogo kama NMB
Hata kabla ya huko Kariakoo,NHC imeanza ujenzi wa Samia housingNdio maana NHC wameanza ingia ubia na Sekta Binafsi ie Viwanja 19 vya Kariakoo tayari vimepata watu na taratibu zote zakaribia kukamilika kabla ya Mkataba kupelekwa kwa Mwanasheria Mkuu
Bandari ikishakuwa Mali ya Umma ,mizigo Mingi ya vigogo inapitia Kwa vimemo,ujinga huu utakomeahwa na private sectorMfumo wa ICD zamani ulikuwa na wizi sana maana Bandarini enzi hizo wanatoa mizigo kwa kulipa Cash.
Mfumo wa Control Number ulipoingia wizi ukapungua ila bado kuna makontena yana matatizo sababu mifumo haisomani, TPA na TRA
Nyie si mliwahi kutoa gawio la faida enzi za mwendazake? Au lilikuwa gawio la kughushi?Mimi niko hapa TTCL,, inabidi nijituneš