acha ushambenga mtoto wa kiume taarifa ya hovyo km hii nani ataikubali. we unaishi nyumba moja na rais wakati aliongea na wananchi jana. Ndio maana mnageuzwa nyuma mbeleTaarifa zilizopatikana mpaka muda huu nabandika hii habari hapa jukwaani ni kuwa serikali inatarajia kununua mabehewa na engine kadhaa kwa ajili kuanza kutumika kwenye kipamde cha Dar - Moro.
Kauli imetolewa na amiri jeshi mkuu wa Tanzania Rais SSH na kuongeza kuwa "Lakini vipya tulivyoagiza kwa pesa nyingi tutavipokea 2023, na hivyo ndivyo vitakuja kufanya kazi kwa muda mrefu zaidi. "
Kutokana na kauli hiyo ya kupokelewa mabehewa mapya na engine zake hapo mwakani ikiwa ni miezi mitano tu ijayo, wadau na mimi nauliza kuna haja gani kununua used assets ikiwa kuna muda mfupi umebaki assets mpya zinakuja?.
Na je hivyo vipya vikifika hivyo chakavu vitapelekwa wapi siulizi garama zinazotumika!.
Mwalimuacha ushambenga mtoto wa kiume taarifa ya hovyo km hii nani ataikubali. we unaishi nyumba moja na rais wakati aliongea na wananchi jana. Ndio maana mnageuzwa nyuma mbele
Na hata hizi garimoshi bila Hangaya kukiri mngebwabwaja tu kuwa ni mpya, kama kawaida.Hivi bado mpo mnaoamini propaganda za Zitto and co kuwa zile ndege ni used? Tafuta mtu anaejua ndege akwambie ule mlio ni wa nini. Kukusaidia tu haihusiani kabisa na kutoa matairi.
Kwa hiyo unajaribu kuzuia upigaji katika nchi ijulikanayo kama Tanzania ha ha haUsed inatoa room ya upigaji kwa kuwa hakuna bei maalum. Kitu cha $50,000 utaambiwa $500,000. Mpya haina longolongo.
Bora rais amekuwa muwazi kabisa angelikuwa ndg "xyz" angeliamrisha vifanyiwe service maalum alafu vitamkwe ni vipya, na mngeamini na kukaa kimyaaah.Kwa hiyo unajaribu kuzuia upigaji katika nchi ijulikanayo kama Tanzania ha ha ha
Yaani viwe na sehemu ya kuchajia na TV au sijaelewaOmbi tunaomba vichwa hata kama used visiwe vya kizamani kama vya majirani Kenya, viwe atleast modern kidogo vya kuendana na wakati japo!
Google vya kenya uone kazi ya KenyattaYaani viwe na sehemu ya kuchajia na TV au sijaelewa
Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
Labda havina bima au 3rd partyTaarifa zilizopatikana mpaka muda huu nabandika hii habari hapa jukwaani ni kuwa serikali inatarajia kununua mabehewa na engine kadhaa kwa ajili kuanza kutumika kwenye kipamde cha Dar - Moro.
Kauli imetolewa na amiri jeshi mkuu wa Tanzania Rais SSH na kuongeza kuwa "Lakini vipya tulivyoagiza kwa pesa nyingi tutavipokea 2023, na hivyo ndivyo vitakuja kufanya kazi kwa muda mrefu zaidi. "
Kutokana na kauli hiyo ya kupokelewa mabehewa mapya na engine zake hapo mwakani ikiwa ni miezi mitano tu ijayo, wadau na mimi nauliza kuna haja gani kununua used assets ikiwa kuna muda mfupi umebaki assets mpya zinakuja?.
Na je hivyo vipya vikifika hivyo chakavu vitapelekwa wapi siulizi garama zinazotumika!.
Hili ndilo tatizo la watoto uliyelelewa na mzazi mmoja hauna heshima na hata ukiwa na heshima bado sauti za kubarehe (tuliita) kibeberu zinakuathiri. -POLE!.acha ushambenga mtoto wa kiume taarifa ya hovyo km hii nani ataikubali. we unaishi nyumba moja na rais wakati aliongea na wananchi jana. Ndio maana mnageuzwa nyuma mbele