Rais Samia: Tuziangalie Sheria za Uchaguzi zisiwanyime haki wanaokosea kuandika majina yao

Rais Samia: Tuziangalie Sheria za Uchaguzi zisiwanyime haki wanaokosea kuandika majina yao

Samia ni hatari kwa mstakabali wa ccm. Sheria za uchaguzi zimewekwa kwa madhumuni maalum. Kama mtu hata hawezi kujaza fomu ya kuomba ugombea hafai. Na kama chama hakiwezi kuelekeza wagombea wake namna ya kujaza fomu hakifai. Samia ana hulka kujipendekeza kwa wapinzani ili kuwafurahisha wazungu. Hajui lengo lao ni hatimae kuchukua madaraka toka ccm na huku agenda zao kuikabidhi nchi kwa mabeberu.
 
Back
Top Bottom