Yoda
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 48,475
- 70,102
Samia ni hatari kwa mstakabali wa ccm. Sheria za uchaguzi zimewekwa kwa madhumuni maalum. Kama mtu hata hawezi kujaza fomu ya kuomba ugombea hafai. Na kama chama hakiwezi kuelekeza wagombea wake namna ya kujaza fomu hakifai. Samia ana hulka kujipendekeza kwa wapinzani ili kuwafurahisha wazungu. Hajui lengo lao ni hatimae kuchukua madaraka toka ccm na huku agenda zao kuikabidhi nchi kwa mabeberu.
Inashangaza Rais Samia mwezi Juni 2021 alisema akiba ya fedha za kigeni ni dola bilioni 4765
Point yako nini kwani? Point yangu ni kwamba mwenye makosa na anaepaswa kulaumiwa ni Rais na wala siyo wasaidizi wake wanaemwandalia hotuba.