Hahahahah
Enzi zile zimeshakuwa tbt
Nakumbuka mgombea Uenyekiti wa Serikali ya Mtaa sehemu fulani toka vyama korofi alipingwa kwa hoja hajui kuandika, alipotakiwa athibitishe aandike akatakiwa aandike 'Zwangendaba' alipokosea herufi moja akakatwa
Enzi zile zimeshakuwa tbt
Nakumbuka mgombea Uenyekiti wa Serikali ya Mtaa sehemu fulani toka vyama korofi alipingwa kwa hoja hajui kuandika, alipotakiwa athibitishe aandike akatakiwa aandike 'Zwangendaba' alipokosea herufi moja akakatwa