Rais Samia: Tuziangalie Sheria za Uchaguzi zisiwanyime haki wanaokosea kuandika majina yao

Rais Samia: Tuziangalie Sheria za Uchaguzi zisiwanyime haki wanaokosea kuandika majina yao

Hahahahah

Enzi zile zimeshakuwa tbt

Nakumbuka mgombea Uenyekiti wa Serikali ya Mtaa sehemu fulani toka vyama korofi alipingwa kwa hoja hajui kuandika, alipotakiwa athibitishe aandike akatakiwa aandike 'Zwangendaba' alipokosea herufi moja akakatwa
 
Hiyo sheria ibaki hivyo hivyo, utagombeaje hujui hata kuandika majina ? Labda muundo wa tume ndio ubadilike , iwe "huru" kusema nani kakosea majina na nani kapatia🐒
 
Vipi hajahamia Dodoma tu? Maana kila Mara nasikia ikulu Dar es salaam.
 
Huyu mama ana maneno maneno lakini kiutendaji hamna kitu kabisa.Tusitamani kabisa 2025 agombee.Hatutafika popote kwa kuwa na rais goigoi hivi
 
Dar es Salaam. Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan ameagiza sheria za uchaguzi kuangaliwa upya ili zisitumike kuwanyima haki wagombea wanaokosea kujaza majina au herufi ya chama chake hali inayosababisha wagombea wengine kupita bila kupingwa.

Ameeleza hayo Jana Jumamosi Agosti 21, 2021 katika hafla ya kupokea taarifa ya uchaguzi mkuu wa mwaka 2020 iliyofanyika Ikulu Dar es Salaam.

Kiongozi mkuu huyo wa nchi amesema sheria zisitumike kuwanyima watu haki kwa masuala ya kiufundi, "hatuna budi kuziangalia sheria zetu ili zisitumike kuwanyima watu haki kwa masuala ya kiufundi, mathalani pale mtu anapokesea kuandika herufi za jina lake au herufi za chama chake nadhani mipango ingewekwa vizuri zaidi."

“Nilijua vyama vya siasa mtashangilia hili kwa sababu tuliwashughulikia kweli uchaguzi ulipita kila mlipokosea tuliwaweka pini na mkatupa fursa ya kupita bila ya kupingwa sasa tutaliangalia vizuri na nyie muwe makini basi vinginevyo…, " amesema Samia.
Anajikooooo! Anajikosha! Anajikooooo, anajikosha!
 
Dar es Salaam. Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan ameagiza sheria za uchaguzi kuangaliwa upya ili zisitumike kuwanyima haki wagombea wanaokosea kujaza majina au herufi ya chama chake hali inayosababisha wagombea wengine kupita bila kupingwa.

Ameeleza hayo Jana Jumamosi Agosti 21, 2021 katika hafla ya kupokea taarifa ya uchaguzi mkuu wa mwaka 2020 iliyofanyika Ikulu Dar es Salaam.

Kiongozi mkuu huyo wa nchi amesema sheria zisitumike kuwanyima watu haki kwa masuala ya kiufundi, "hatuna budi kuziangalia sheria zetu ili zisitumike kuwanyima watu haki kwa masuala ya kiufundi, mathalani pale mtu anapokesea kuandika herufi za jina lake au herufi za chama chake nadhani mipango ingewekwa vizuri zaidi."

“Nilijua vyama vya siasa mtashangilia hili kwa sababu tuliwashughulikia kweli uchaguzi ulipita kila mlipokosea tuliwaweka pini na mkatupa fursa ya kupita bila ya kupingwa sasa tutaliangalia vizuri na nyie muwe makini basi vinginevyo…, " amesema Samia.
Mbona fomu za Maghufuli zilijaa makosa lakini Mahera akazipitisha kibabe na hakutaka maswali ?!.

Makosa kwa upinzani tu.
 
Hilo doa kubwa sana kwa mziba nafsii huyu....2025 hapiti tena huyu...low IQ
unavyoongea utadhani unaijua nchi nzima vile, 2025 utaona maajabu anavyopita kwa 90%,we endelea kujidanyanya na post za kina kigogo,Sarungi na fatma Karume.
 
Dar es Salaam. Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan ameagiza sheria za uchaguzi kuangaliwa upya ili zisitumike kuwanyima haki wagombea wanaokosea kujaza majina au herufi ya chama chake hali inayosababisha wagombea wengine kupita bila kupingwa.

Ameeleza hayo Jana Jumamosi Agosti 21, 2021 katika hafla ya kupokea taarifa ya uchaguzi mkuu wa mwaka 2020 iliyofanyika Ikulu Dar es Salaam.

Kiongozi mkuu huyo wa nchi amesema sheria zisitumike kuwanyima watu haki kwa masuala ya kiufundi, "hatuna budi kuziangalia sheria zetu ili zisitumike kuwanyima watu haki kwa masuala ya kiufundi, mathalani pale mtu anapokesea kuandika herufi za jina lake au herufi za chama chake nadhani mipango ingewekwa vizuri zaidi."

“Nilijua vyama vya siasa mtashangilia hili kwa sababu tuliwashughulikia kweli uchaguzi ulipita kila mlipokosea tuliwaweka pini na mkatupa fursa ya kupita bila ya kupingwa sasa tutaliangalia vizuri na nyie muwe makini basi vinginevyo…, " amesema Samia.
Mpinzani kugombea nchi hii ni hisani na siyo haki
 
Back
Top Bottom