Rais Samia: Tuziangalie Sheria za Uchaguzi zisiwanyime haki wanaokosea kuandika majina yao

Rais Samia: Tuziangalie Sheria za Uchaguzi zisiwanyime haki wanaokosea kuandika majina yao

Ccm huwa nawakubali hapo tu katika kuruka vihunzi,
Utakuta Rais anamkosoa Raisi mwenzake utafikili yeye alikua upinzani,kumbe wote wanafuata sela ya chama chao
 
Mama Samia, siyo kweli kuwa kulikuwa na kukosea kujaza Fomu, Ni wizi wa Tume kwa Wapinzani, unakujua na Uislamu na ushungi wako unasema uongo
 
Siyo kawaida ya wanawake kuwa wezi, waongo na wanafiki! Huyu mama ni mwizi, muongo na mnafiki, na hana aibu! Anadhani sote ni mazezeta na hatujui kilichotokea kwenye uchaguzi! Shame on you Samia!
 
Nahisi ni mbinu za kujaribu kuwarubuni wapinzani wajiingize tena kichwa kichwa. Waliotolewa kihalali kwa kukosea kuandika majina yao ni wachache sana, maana ingekuwa hivyo basi vyama vyote vingeathirika. Aidha, huwa anasema lakini watu hawatekelezi. Na wasipotekeleza hawachukulii hatua.

NEC hawana mpango wa kubadilika. Wanachotaka ni kupata nafasi ya kuhakikisha kuwa angalau wapatikane wanaoonekana "wapinzani" kiduchu na wasilazimike kutumia nguvu za ziada kutafuta wapinzani.

Amandla...
 
Dar es Salaam. Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan ameagiza sheria za uchaguzi kuangaliwa upya ili zisitumike kuwanyima haki wagombea wanaokosea kujaza majina au herufi ya chama chake hali inayosababisha wagombea wengine kupita bila kupingwa.

Ameeleza hayo Jana Jumamosi Agosti 21, 2021 katika hafla ya kupokea taarifa ya uchaguzi mkuu wa mwaka 2020 iliyofanyika Ikulu Dar es Salaam.

Kiongozi mkuu huyo wa nchi amesema sheria zisitumike kuwanyima watu haki kwa masuala ya kiufundi, "hatuna budi kuziangalia sheria zetu ili zisitumike kuwanyima watu haki kwa masuala ya kiufundi, mathalani pale mtu anapokesea kuandika herufi za jina lake au herufi za chama chake nadhani mipango ingewekwa vizuri zaidi."

“Nilijua vyama vya siasa mtashangilia hili kwa sababu tuliwashughulikia kweli uchaguzi ulipita kila mlipokosea tuliwaweka pini na mkatupa fursa ya kupita bila ya kupingwa sasa tutaliangalia vizuri na nyie muwe makini basi vinginevyo…, " amesema Samia.
 
Kukosea majina ni kwa upinzani tu maccm hata mmoja hakukosea!!! 😳😳😳
Hahahahah ni KWAMBA wameona wamekua na Bunge la kipuuzi kwahio wanajikanganya at least kuwarubuni Wapinzani wakubali kurudi kwenye uchaguzi
 
Dar es Salaam. Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan ameagiza sheria za uchaguzi kuangaliwa upya ili zisitumike kuwanyima haki wagombea wanaokosea kujaza majina au herufi ya chama chake hali inayosababisha wagombea wengine kupita bila kupingwa.

Ameeleza hayo Jana Jumamosi Agosti 21, 2021 katika hafla ya kupokea taarifa ya uchaguzi mkuu wa mwaka 2020 iliyofanyika Ikulu Dar es Salaam.

Kiongozi mkuu huyo wa nchi amesema sheria zisitumike kuwanyima watu haki kwa masuala ya kiufundi, "hatuna budi kuziangalia sheria zetu ili zisitumike kuwanyima watu haki kwa masuala ya kiufundi, mathalani pale mtu anapokesea kuandika herufi za jina lake au herufi za chama chake nadhani mipango ingewekwa vizuri zaidi."

“Nilijua vyama vya siasa mtashangilia hili kwa sababu tuliwashughulikia kweli uchaguzi ulipita kila mlipokosea tuliwaweka pini na mkatupa fursa ya kupita bila ya kupingwa sasa tutaliangalia vizuri na nyie muwe makini basi vinginevyo…, " amesema Samia.
Goli la punye mshangiliaji ni nani?
 
Dar es Salaam. Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan ameagiza sheria za uchaguzi kuangaliwa upya ili zisitumike kuwanyima haki wagombea wanaokosea kujaza majina au herufi ya chama chake hali inayosababisha wagombea wengine kupita bila kupingwa.

Ameeleza hayo Jana Jumamosi Agosti 21, 2021 katika hafla ya kupokea taarifa ya uchaguzi mkuu wa mwaka 2020 iliyofanyika Ikulu Dar es Salaam.

Kiongozi mkuu huyo wa nchi amesema sheria zisitumike kuwanyima watu haki kwa masuala ya kiufundi, "hatuna budi kuziangalia sheria zetu ili zisitumike kuwanyima watu haki kwa masuala ya kiufundi, mathalani pale mtu anapokesea kuandika herufi za jina lake au herufi za chama chake nadhani mipango ingewekwa vizuri zaidi."

“Nilijua vyama vya siasa mtashangilia hili kwa sababu tuliwashughulikia kweli uchaguzi ulipita kila mlipokosea tuliwaweka pini na mkatupa fursa ya kupita bila ya kupingwa sasa tutaliangalia vizuri na nyie muwe makini basi vinginevyo…, " amesema Samia.
Uchaguzi wa kidemokrasia inakuwaje na mgombea mmoja?
 
Nao wapinzani wana mambo ya kipuuzi , inakuwaje Wana mgombea hawezi kuandika jina lake na la chama chake vizuri kwanini wasimsaidie kumjazia badala ya kumwacha aboronge?
 
Alishasema hata kama wasipopigiwa kura watatangazwa washindi, maana yake hata majina ya wapinzani yasipokosewa bado CCM yake watatangazwa washindi.

Tume Huru ya uchaguzi na Katiba Mpya ndio mwisho wa matatizo, sio maneno ya mwanasiasa wa CCM.
Hilo doa kubwa sana kwa mziba nafsii huyu....2025 hapiti tena huyu...low IQ
 
Back
Top Bottom