Huyo mwanae Bonge tumuite kwa jina lake basi. Anaitwa Joseph.Asante kwa Kukiri kuwa hiyo Tuzo ya 'Abubacar Ndiaye' uliyopokea inayohusiana mno na Maendeleo ya Miundombinu si yako bali ni ya Hayati Rais Dkt. Magufuli na ungejisifia ( ungejipongeza ) ni yako kutokana na Juhudi zako ningekushangaa kuliko Maelezo ila nashukuru ulijishtukia Mwenyewe...
Ni tuzo ya kiserikali na sio ya familia yakeAsante kwa Kukiri kuwa hiyo Tuzo ya 'Abubacar Ndiaye' uliyopokea inayohusiana mno na Maendeleo ya Miundombinu si yako bali ni ya Hayati Rais Dkt. Magufuli na ungejisifia ( ungejipongeza ) ni yako kutokana na Juhudi zako ningekushangaa kuliko Maelezo ila nashukuru ulijishtukia Mwenyewe...
Yes wanafurahia kufa diktetaMkewe na watoto wake JPM wanajisikia vizuri kwa kweli.
Mjane wa Magufuli ndo nani?Asante kwa Kukiri kuwa hiyo Tuzo ya 'Abubacar Ndiaye' uliyopokea inayohusiana mno na Maendeleo ya Miundombinu si yako bali ni ya Hayati Rais Dkt. Magufuli na ungejisifia ( ungejipongeza ) ni yako kutokana na Juhudi zako ningekushangaa kuliko Maelezo ila nashukuru ulijishtukia Mwenyewe...
sio abubacar ndiaye ni babacar ndiayeAsante kwa Kukiri kuwa hiyo Tuzo ya 'Abubacar Ndiaye' uliyopokea inayohusiana mno na Maendeleo ya Miundombinu si yako bali ni ya Hayati Rais Dkt. Magufuli na ungejisifia ( ungejipongeza ) ni yako kutokana na Juhudi zako ningekushangaa kuliko Maelezo ila nashukuru ulijishtukia Mwenyewe...
Duuuh! Muosha, huoshwa!sio abubacar ndiaye ni babacar ndiaye
Unaleta hard feelings kwenye mambo ya serikali...Apewe mkewe kwani alikua wizara ya ujenzi? Kwani SSH amepingukiwa nn alivyosema vile alikua sahihi tuAsante kwa Kukiri kuwa hiyo Tuzo ya 'Abubacar Ndiaye' uliyopokea inayohusiana mno na Maendeleo ya Miundombinu si yako bali ni ya Hayati Rais Dkt. Magufuli na ungejisifia ( ungejipongeza ) ni yako kutokana na Juhudi zako ningekushangaa kuliko Maelezo ila nashukuru ulijishtukia Mwenyewe...
Bwashee nani kakwambia anaogopa kufa? dunia ni kwa ajili ya walio hai tuache kupoteza muda wa kuongelea wafu,Wew kesho hutakufa? Babu yako yuko wapi? Mijitu isiyomjua Mungu inaogopa Sana kufa
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Heri wafu wafao katika Bwana wapate kupumzika kwa maana matendo yao yafuatana nao,Ukishakufa hakuna cha kupumzika kwa amani , mnadanganyana
Marehemu alipenda kuongea ukweli ila hakupenda kuambiwa ukweli😁😁Magufuli alikuwa anasema ukweli bila kupaka mafuta wala kujikuza; niliwahi kusema kuwa Magufuli alitakiwa kufundishwa namna ya kubana baadhi ya maneno, kwani kuwa anasema ukweli wote ndiko kulikomfanya achukiwe na watu wa Kikwete...
Legacy inajipigania.Very humble, SSH tunayempenda.
Maskini aisee, tuna vijana wa hovyo sana, halafu ukute analilia ajira nani ataajiri huu mfugoSijaelewa
Kwahiyo, SSH = JPM?
Tuanzie hapo
Nani anamjua Jiwe mzee wa kujifungia akiogopa kuongea kingerezaWanaotoa hiyo tuzo wanafiki wakubwa! Mbona hawakumpa jpm?
Kakuheshimisha wew na familia yako. Usipende kutumia wingi, ongelea nafsi yako na familia yako ukienda mbali sana ongeza sukuma gang.Hakika Magufuli uliko pumzika kwa amani,umetuheshimisha barani afrika,
Wapo waliosema hawataki maendeleo ya vitu,lakini maendeleo ya vitu ndio yanaanza kwanza ,rais Samia kakubali wewe ni mwamba
Kikwete kwa kweli alitukosea sana kumruhusu mtu kama Jiwe kuingia Ikulu.Sasa si umeona madhara ya Kikwete anavyomgharimu huyu maza.?