Mzee wa tunajenga kwa pesa zetu za ndani, kesho sisi ni tunakopesheka hahahah [emoji28][emoji28][emoji28] Eti msema kweli ni mpenzi wa Mungu wakati jamaa lilikuwa omgo kweli kweliMagufuli alikuwa anasema ukweli bila kupaka mafuta wala kujikuza; niliwahi kusema kuwa Magufuli
Sukuma gang naona meno yote nje, mama anawateka kiujanjaKwa mara ya kwanza mama amekiri UKWELI hadharani.
Ila kwa ile team ROHO MBAYA leo itakuwa siku mbaya sana kwao.
Alisema tunanunua kwa hela yetu tena cash kuhusu manunuzi ya ndege.Mzee wa tunajenga kwa pesa zetu za ndani, kesho sisi ni tunakopesheka hahahah [emoji28][emoji28][emoji28] Eti msema kweli ni mpenzi wa Mungu wakati jamaa lilikuwa omgo kweli kweli
Makamanda uchwaraMachadema yatanuna!
Mtanikumbuka tena mtanikumbuka kwa mambo mazuri!!Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan akizungumza wakati akipokea tuzo ya Babacar Ndiaye kutokana na mafanikio kwenye ujenzi wa barabara na kusema anayepaswa kupewa sifa ya tuzo hiyo ni mtangulizi wake, Hayati John Magufuli.
"Kama tuzo hii [ya Babacar Ndiaye] ilipaswa kuwa ya mtu binafsi, mtu ambaye angeistahili kuliko wengine wote ni Dkt. John Pombe Magufuli. Ni bahati mbaya hayupo nasi aweze kushuhudia matunda ya jitihada zake."-
Zilinunuliwa bei gani? Unajua kwanini alihamishia shirika la ndege chini ya ofisi ya ikulu? Jamaa alikuwa fisadi kweli kweli.Alisema tunanunua kwa hela yetu tena cash kuhusu manunuzi ya ndege. Sasa wewe sema hela za manunuzi ya ndege zile zilikopwa wapi.
Alihamishia Ikulu kusudi watu wasifanye wizi. Na ununzi ule haukuwa na wizi ndiyo maana aliweza kuleta madege mengi sana kwa muda mfupi.Zilinunuliwa bei gani? Unajua kwanini alihamishia shirika la ndege chini ya ofisi ya ikulu? Jamaa alikuwa fisadi kweli kweli.
Kiburi,utakula jeuri yake..Historia imeandika jina la Samia..Wanaotoa hiyo tuzo wanafiki wakubwa! Mbona hawakumpa jpm?
Yule fala alikuwa na roho mbaya hatari, nadhani mnakumbuka ile issue ya Membe..Mama amekuwa mkweli. Angelikuwa yule angejitukiza yeye.
Nakumbuka jiwe alikuwa anamsagia kunguni Kikwete ili sifa zote zibaki kwake.
Miaka 6 ni mda mfupi? Mandege mengi mangapi?Alihamishia Ikulu kusudi watu wasifanye wizi. Na ununzi ule haukuwa na wizi ndiyo maana aliweza kuleta madege mengi sana kwa muda mfupi. Kuna wakati Mramba alituambia helio tule nyasi kusudi wapate ndege moja tu ya Gulfstream inayobeba abiria tisa tu ambayo leo hatuisikii tena; je wewe unajua hiyo Gulfstream moja tu ilinunuliwa kwa bei gani?. Jamaa kaleta maboeing, maairbus na mabombadia kwa muda mfupi bila watu kula nyasi. Usilete masikhara hapa.
Wewe tuzo ilikuwa itolewe 2020 wamesema wakati wanakabidhi..wakati wa tuzo haukufika bado, mngemsubilisha apokee kwanza ndipo atwaliwe.
Yapi hayo madhara yanavyomgharimu? YatajeSasa si umeona madhara ya Kikwete anavyomgharimu huyu maza.?
Na mimimnaempenda wewe na nani?
Rubbish ๐ฎ๐ฎKikwete kaharibu sana hii nchi baada ya kuigeuza Ikulu pango la walanguzi
Hii kauli yenye ukabila achana nayo mkuu, makosa ya wachache hawez kuhukuma kabila zimaAnawachota Sukuma gang
MaCCM yasiyompenda pia yatanuna!!!Machadema yatanuna!
Unakaribia kufa kwa wivu na chuki ๐๐๐๐.Samia atabeba tuzo nyingi Sana hadi atakapomaliza Ngwe yake.Mtu hajajenga barabara sasa tuzo wanampa za nini?
Magufuli ameshakufa hana chake DunianiWew kesho hutakufa? Babu yako yuko wapi? Mijitu isiyomjua Mungu inaogopa Sana kufa
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Ukweli gani liongo kabisa like? Mnajenga kwa pesa zenu ndio ukweli huo?Magufuli alikuwa anasema ukweli bila kupaka mafuta wala kujikuza; niliwahi kusema kuwa Magufuli alitakiwa kufundishwa namna ya kubana baadhi ya maneno, kwani kuwa anasema ukweli wote ndiko kulikomfanya achukiwe na watu wa Kikwete. Makosa ya Kikwete alikuwa anayasema na mazuri pia alikuwa anayesema, kwa mfano aliposema kuwa Kikwete alipenda ile flyover ya Tanzara ijengwe ingawa haikujengwa, yeye ataijenga. Hapo kulikuwa na ukweli na ukweli. Ukweli wa kwanza ni kuwa wazo la flyover ya Tazara ni la kutokea serikali ya Kikwete, ukweli wa pili ni kuwa serikali ya Kikwete hakujenga, ila serikali yake itajenga. Ni vivyo hivyo pia kwenye ujenzi wa Terminal 3 ambayo miaka ya mwisho ya utawala wa Kikwete ujenzi ule ulikuwa hauendelei kwa vile wakandarasi walikuwa wanataka kujitoa kwa kukosa malipo.
Ukweli upi mchungu ikiwa historia itatambua jina la Samia?Tunajua kauli hukutaka kuisikia ila ndo ukweli. CHUNGU lakini TAMU HIYO.