Rais Samia: Tuzo hii ya Babacar Ndiaye alistahili Hayati Dkt. Magufuli

Rubbish 🚮 🚮🚮🚮
 
Kakuheshimisha wew na familia yako. Usipende kutumia wingi, ongelea nafsi yako na familia yako ukienda mbali sana ongeza sukuma gang.
Ameongelea watz, siyo wewe na ukoo wako masikini
 
Sukuma gang naona meno yote nje, mama anawateka kiujanja
Mama ataungana na sukuma gang kuwaplekea moto machadema 2025 hadi mkome!

Bora mwamba kaamua aungane na mama kuramba asali
 
Hii ni zawadi kwa nchi sio mtu! Raisi aliyepo anapokea kwa niaba ya nchi
You are right my dear. Yeye JPM alikuta kuna miradi ya barabara na ujenzi aliyowacha JK na kuiendeleza na yeye ameondoka wengine wataendeleza.
 
Tuzo inazidiwa hadhi na tuzo ya singeli,bladifaken wahed wewe
 
Sawa, nimekuuliza unajua zilinunuliwa bei gani? Wajua hakutaka hata CAG kukagua manunuzi hayo ndiyo maana akahamishia chini ya Ofisi ya Ikulu?
 
Ukweli gani liongo kabisa like? Mnajenga kwa pesa zenu ndio ukweli huo?

Anaesema ukweli anaweza zuia ukosoaji na kuwinda wanaomkosoa awaue?

Samia na Magufuli nani mkweli?
Samia, ndiyo maana Sukuma gang hawampendi, wao wamezoea kudanganywa tu.
 
Mama ataungana na sukuma gang kuwaplekea moto machadema 2025 hadi mkome!

Bora mwamba kaamua aungane na mama kuramba asali
Mimi sioni tatizo, sasa ulitaka akalambe shubiri?
 
Kalifufueni mzikwe nyie sukuma gaaaaang
 
Dubwasha limekufa kibudu lipo motoni kwa kupora korosho za wakulima na kuua na kutesa wapinzani.
Asiyeamini huu ukweli kalifufue azikwe yeye.
Tanzania Tanzania haihitaji raisi kichaa na punguani kama John
Asante mungu kwa wema wako kuliondosha mapema
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…