Rais Samia: Uanaharakati, vikundi vya kigaidi na maandamano ni mfumo wa vurugu kuwasilisha sauti ya watu

Rais Samia: Uanaharakati, vikundi vya kigaidi na maandamano ni mfumo wa vurugu kuwasilisha sauti ya watu

Unaona aibu tu kushikilia uwekewe vifungu vile vile kwani kipindi chako cha mtandaoni na yule mkenya kilibuma na kukugeuka.

Haukujua kuwa Tanzania imejipanga sana kwenye suala hili la uwekezaji, ujuaji umekujaa kiasi cha kudhani unajua kitu kuliko wanasheria wabobezi waliokupa shule ya bure wewe na wasaliti wengine wenye hulka kama za kwako.
Nilisha kueleza tokea wakati ule mlipoweka upotoshaji wa uhusika wa nchi hiyo jirani katika ujinga wenu huu, kwamba, unapotaka kumhusisha mtu unayejadili naye na mambo yanayohusiana na hiyo nchi, jaribu kwanza kuangalia msimamo wa mtu huyo na hiyo nchi.

Ukitaka kuniunganisha mimi na hiyo nchi jirani, siyo kazi ngumu hata kidogo kuangalia nilichowahi kuandika humu JF kuihusu nchi hiyo. Yamo mengi sana niliyokwishajadili kuihusu nchi hiyo, na hata bandari zao humu humu JF.

Sasa wewe, unapokuja hapa na kudai tu, kuwa ninashikiwa akili na huyo mtu, unajionyesha ujuha wako ulipo.

Mmetapatapa sana kutafuta njia za kuwadanganya watu juu ya jambo hili, na zote zimeshindikana, lakini hamkomi kuendelea na ujinga huo huo. Akili ya aina hii tuiite akili ya namna gani, ya kichizi?
 
Nilisha kueleza tokea wakati ule mlipoweka upotoshaji wa uhusika wa nchi hiyo jirani katika ujinga wenu huu, kwamba, unapotaka kumhusisha mtu unayejadili naye na mambo yanayohusiana na hiyo nchi, jaribu kwanza kuangalia msimamo wa mtu huyo na hiyo nchi.

Ukitaka kuniunganisha mimi na hiyo nchi jirani, siyo kazi ngumu hata kidogo kuangalia nilichowahi kuandika humu JF kuihusu nchi hiyo. Yamo mengi sana niliyokwishajadili kuihusu nchi hiyo, na hata bandari zao humu humu JF.

Sasa wewe, unapokuja hapa na kudai tu, kuwa ninashikiwa akili na huyo mtu, unajionyesha ujuha wako ulipo.

Mmetapatapa sana kutafuta njia za kuwadanganya watu juu ya jambo hili, na zote zimeshindikana, lakini hamkomi kuendelea na ujinga huo huo. Akili ya aina hii tuiite akili ya namna gani, ya kichizi?
Wewe unahangaika bure tu, kutumia space yako kuongea na wabunge wanaokuunga mkono ni vita ya kawaida sana, mfumo wa nchi upo kwa ajili ya watu kama nyinyi.

China wana bandari nane na zote zinaendeshwa na wawekezaji, Tanzania tunataka tukodi mwekezaji mmoja mnaanza nongwa za kila aina!, kwa sababu nyinyi wengi wenu hamna biashara ya bandari basi hamuoni taabu kuwa kero kwa wafanyabiashara wa kweli wanaotaka sana kufaidika na huyu DPW.

Mnakuja na fitina za kipuuzi kwamba watu wamehongwa, huyo mbunge anaongea na wewe muda wote anatumia maneno 'nasikia' hana uhakika na habari anayokupa!.

Kule Mtwara wakulima wa korosho wanamtaka sana huyu mwekezaji ili awafungulie masoko, sijui kama mnaona madhara ya huo upuuzi wa kutaka nchi yenu wenyewe ikose kufunguka kibiashara!. Mnasikitisha sana kwa sababu hamjielewi.
 
H

Haya maneno nikiyahesabu umeyatumia mara ngapi tokea uingie humu, utajiona mwenyewe kuwa umepungukiwa sana kichwani mwako.
Nawe unajihesabu kuwa "Mwanasheria mbobezi"?
Aliyepungukiwa kichwani ni wewe unayekesha ukiiwekea fitina nchi yako mwenyewe ili isipige hatua za kiuchumi.

Aliyepungukiwa ni wewe dalali wa hao wazungu wanaokulipa pesa kwa kuifanyia nchi ya Baba yako mzazi fitina za kipuuzi.
 
EeeenHeeeee!
Sasa ongalia upuuzi unaouingia hapa. Unajua maana ya usaliti wewe?
Kuna siku wewe na huyo mtu mliyemteka mtasimama mbele za waTanzania kueleza huu unajisi mnaoifanyia nchi yenu.
Ni uwekezaji mkubwa unaotaka kuipa thamani reli ya SGR, kumbuka zimelala trilioni 17 pesa za walipo kodi kwenye hiyo reli.

Mzigo wa maana unahitajika ili tuweze kuwapiga bao washindani wetu katika hizi shoroba tunazopakana nazo, sijui kama mnafahamu kwa kina ubaya wa usaliti mnaoufanya!.
 
..Nakumbuka Samia aliwahi kusema kwamba kabla ya kujiunga na Ccm alikuwa mwanaharakati.

..inashangaza leo hii unawazungumzia wanaharakati ktk kundi moja na magaidi.
Hahaha kumbe alishawahi kuwa gaidi?
 
Wewe unahangaika bure tu, kutumia space yako kuongea na wabunge wanaokuunga mkono ni vita ya kawaida sana, mfumo wa nchi upo kwa ajili ya watu kama nyinyi.

China wana bandari nane na zote zinaendeshwa na wawekezaji, Tanzania tunataka tukodi mwekezaji mmoja mnaanza nongwa za kila aina!, kwa sababu nyinyi wengi wenu hamna biashara ya bandari basi hamuoni taabu kuwa kero kwa wafanyabiashara wa kweli wanaotaka sana kufaidika na huyu DPW.

Mnakuja na fitina za kipuuzi kwamba watu wamehongwa, huyo mbunge anaongea na wewe muda wote anatumia maneno 'nasikia' hana uhakika na habari anayokupa!.

Kule Mtwara wakulima wa korosho wanamtaka sana huyu mwekezaji ili awafungulie masoko, sijui kama mnaona madhara ya huo upuuzi wa kutaka nchi yenu wenyewe ikose kufunguka kibiashara!. Mnasikitisha sana kwa sababu hamjielewi.
Wewe ni mpuuzi, kila mara kugeuza tatizo lililopo liwe unalotaka wewe. Umeambiwa mara mia na zaidi, tatizo siyo "uwekezaji", lakini kichwa chako cha kokwa hakitaki kuelewa hivyo.

Sasa unakuja hapa na habari za Bandari za China, nenda kalete mikataba ya Bandari hizo uiweke hapa tulinganishe na hii ya unyang'anyi mnayowapa DPWorld.

Ukitaka tujadili swala la 'uwekezaji' na manufaa yake; anzisha mada, nipo tayari kulijadili hilo. Nina hakika hata huko huna uwezo wa kueleza manufaa yanayotokana na uwekzaji wa aina unayoimba hapa wewe.

Unaposikia "kuwekeza" usifikiri ni jambo la kufanya kiholela tu kama linavyofanyika hapa, bila ya serikali kuwa na lengo maalum la uwekezaji huo.

Unatoka kwenye mada ya "Makubaliano/Mkataba" mbovu, unakimbilia kusikohusika kabisa.
 
Aliyepungukiwa kichwani ni wewe unayekesha ukiiwekea fitina nchi yako mwenyewe ili isipige hatua za kiuchumi.

Aliyepungukiwa ni wewe dalali wa hao wazungu wanaokulipa pesa kwa kuifanyia nchi ya Baba yako mzazi fitina za kipuuzi.
Unaona ulivyo chizi lakini?
Ni kazi bure kujaribu kumfundisha mtu ambaye kichwani hakuna kitu. Ni kupoteza wakati tu.

"...dalali wa wa hao wazungu..." wapi. Umewaona wapi?

Niwekee" fitna nchi yangu" kwa kukataa kuhujumiwa na viongozi wasiokuwa na uzalendo wa nchi wanayoiongoza, kamwe hilo siwezi kulijutia.
Wewe ni wakala tu wa wachuuzi wanaomshikiria Samia aihujumu nchi hii.
 
Unaona ulivyo chizi lakini?
Ni kazi bure kujaribu kumfundisha mtu ambaye kichwani hakuna kitu. Ni kupoteza wakati tu.

"...dalali wa wa hao wazungu..." wapi. Umewaona wapi?

Niwekee" fitna nchi yangu" kwa kukataa kuhujumiwa na viongozi wasiokuwa na uzalendo wa nchi wanayoiongoza, kamwe hilo siwezi kulijutia.
Wewe ni wakala tu wa wachuuzi wanaomshikiria Samia aihujumu nchi hii.
Mwizi huwa hakubali kuwa kaiba, usaliti wako una mwisho mbaya. Chunga sana hiyo hulka ni mbaya.
 
Ni uwekezaji mkubwa unaotaka kuipa thamani reli ya SGR, kumbuka zimelala trilioni 17 pesa za walipo kodi kwenye hiyo reli.

Mzigo wa maana unahitajika ili tuweze kuwapiga bao washindani wetu katika hizi shoroba tunazopakana nazo, sijui kama mnafahamu kwa kina ubaya wa usaliti mnaoufanya!.
Hayo yote ni nani asiyeyataka; lakini huna akili ya kukufikisha kwenye kujua kwamba hayo hayalazimishi kuingia "Makubaliano/Mkataba" unaohujumu taifa letu na kudhalilisha uhuru wetu.
Akili yako kwa maksudi kabisa hutaki kuifikisha huko. Hilo ndilo tatizo lako.

Tutaendelea tu, kuwapigia kelele hadi mjue kuwa hatutaki.
Mkilazimisha, tunawashughulikia ipasavyo.
 
Wewe ni mpuuzi, kila mara kugeuza tatizo lililopo liwe unalotaka wewe. Umeambiwa mara mia na zaidi, tatizo siyo "uwekezaji", lakini kichwa chako cha kokwa hakitaki kuelewa hivyo.

Sasa unakuja hapa na habari za Bandari za China, nenda kalete mikataba ya Bandari hizo uiweke hapa tulinganishe na hii ya unyang'anyi mnayowapa DPWorld.

Ukitaka tujadili swala la 'uwekezaji' na manufaa yake; anzisha mada, nipo tayari kulijadili hilo. Nina hakika hata huko huna uwezo wa kueleza manufaa yanayotokana na uwekzaji wa aina unayoimba hapa wewe.

Unaposikia "kuwekeza" usifikiri ni jambo la kufanya kiholela tu kama linavyofanyika hapa, bila ya serikali kuwa na lengo maalum la uwekezaji huo.

Unatoka kwenye mada ya "Makubaliano/Mkataba" mbovu, unakimbilia kusikohusika kabisa.
Mikataba imeshafafanuliwa zaidi ya mara milioni moja, nyinyi mnaipinga kwa sababu mnayo maslahi yetu ya nyuma ya pazia mnayoyalinda.

Radioni, kwenye TV na katika kila mjadala hiyo mikataba imetolewa ufafanuzi wa kina. IGA ni dhana mpya ya kisheria na imefafanuliwa kwa mapana pia.

Bandari yetu ni fursa iliyolala kiuchumi, umeshajiuliza wateja wangapi wanaokimbilia Mombasa na Beira kwa kukwepa utendaji mbovu wa pale TPA?.

Umeshajiuliza ni hasara kiasi gani kama nchi tunaingia baada ya kupoteza mapato baada ya kukimbiwa na wateja hao?.

Waulize wadau halisi wa bandari wanavyopata taabu mahali pale kuliko kuokoteza habari za huku na kule zisizo na kichwa wala miguu.

Usidhani waliomtafuta huyu mwekezaji hawana uzalendo wala akili za kujua nini wanafanya.
 
Hayo yote ni nani asiyeyataka; lakini huna akili ya kukufikisha kwenye kujua kwamba hayo hayalazimishi kuingia "Makubaliano/Mkataba" unaohujumu taifa letu na kudhalilisha uhuru wetu.
Akili yako kwa maksudi kabisa hutaki kuifikisha huko. Hilo ndilo tatizo lako.

Tutaendelea tu, kuwapigia kelele hadi mjue kuwa hatutaki.
Mkilazimisha, tunawashughulikia ipasavyo.
Hakuna mkataba unaohujumu nchi, wewe ni mikataba mingapi unayoifahamu baada ya kuisoma na kuielewa kwa kina?.

Huna uwezo wa kumshughulikia yoyote yule usione watu wapo kimya ukadhani hawaumizwi na hizi jitihada zenu za kishenzi za kuiumiza Tanzania nchi waliyozaliwa wazazi wenu wa asili.

Usione watu wapo kimya ukadhani wewe ni mjanja kuliko serikali nzima. Muda sio mrefu tunamalizana na hawa jamaa baada ya kusaini hiyo mikataba ya kibiashara.

Kama nyinyi mpo wengi lakini safari hii mnakwenda kudondokea pua.
 
Mikataba imeshafafanuliwa zaidi ya mara milioni moja, nyinyi mnaipinga kwa sababu mnayo maslahi yetu ya nyuma ya pazia mnayoyalinda.

Radioni, kwenye TV na katika kila mjadala hiyo mikataba imetolewa ufafanuzi wa kina. IGA ni dhana mpya ya kisheria na imefafanuliwa kwa mapana pia.

Bandari yetu ni fursa iliyolala kiuchumi, umeshajiuliza wateja wangapi wanaokimbilia Mombasa na Beira kwa kukwepa utendaji mbovu wa pale TPA?.

Umeshajiuliza ni hasara kiasi gani kama nchi tunaingia baada ya kupoteza mapato baada ya kukimbiwa na wateja hao?.

Waulize wadau halisi wa bandari wanavyopata taabu mahali pale kuliko kuokoteza habari za huku na kule zisizo na kichwa wala miguu.

Usidhani waliomtafuta huyu mwekezaji hawana uzalendo wala akili za kujua nini wanafanya.
Haya yote unayoandika hapa hakuna asiyeyafahamu.

Bado unadhani unao uwezo wa kufanya watu wasijue makosa ya maksudi mliyoyaweka ndani ya "Makubaliano/Mkataba" ili mlihujumu taifa.
Kazi yangu hapa ni kuendelea kukufahamisha hivyo hadi hapo utakapopata akili za kujua kinachosababisha tatizo.
 
Hakuna mkataba unaohujumu nchi, wewe ni mikataba mingapi unayoifahamu baada ya kuisoma na kuielewa kwa kina?.

Huna uwezo wa kumshughulikia yoyote yule usione watu wapo kimya ukadhani hawaumizwi na hizi jitihada zenu za kishenzi za kuiumiza Tanzania nchi waliyozaliwa wazazi wenu wa asili.

Usione watu wapo kimya ukadhani wewe ni mjanja kuliko serikali nzima. Muda sio mrefu tunamalizana na hawa jamaa baada ya kusaini hiyo mikataba ya kibiashara.

Kama nyinyi mpo wengi lakini safari hii mnakwenda kudondokea pua.
Nikuhakikishie, safari hii hamponi. Mtaachia tu.
 
Haya yote unayoandika hapa hakuna asiyeyafahamu.

Bado unadhani unao uwezo wa kufanya watu wasijue makosa ya maksudi mliyoyaweka ndani ya "Makubaliano/Mkataba" ili mlihujumu taifa.
Kazi yangu hapa ni kuendelea kukufahamisha hivyo hadi hapo utakapopata akili za kujua kinachosababisha tatizo.
Hakuna kosa la makusudi zaidi ya uelewa wetu kuwa mdogo. Hata kudhani kwamba kilichokwenda bungeni na kupitishwa ndio mkataba wenyewe ni sehemu ya uelewa mpana wa jamii yetu kuwa mdogo juu ya hii biashara nzima.
 
Nikuhakikishie, safari hii hamponi. Mtaachia tu.
Serikali ni kubwa sana kuliko nyinyi wanaharakati wa Myspace na Twitter. Kushughulika na watu wa aina yako ni kazi nyepesi sana kuliko unavyojidanganya.

Nyinyi ni takataka tu za mjini, wadogo sana kuliko akili zenu zinavyowaambia.
 
Hakuna kosa la makusudi zaidi ya uelewa wetu kuwa mdogo. Hata kudhani kwamba kilichokwenda bungeni na kupitishwa ndio mkataba wenyewe ni sehemu ya uelewa mpana wa jamii yetu kuwa mdogo juu ya hii biashara nzima.
Huu ni upuuzi.

Yaliyofanyika Bungeni ni upumbavu. Usifikiri watu na akili zao hawaoni ujinga huo.
Hata huoni aibu kabisa kulitaja bunge kama chombo cha heshima hapa?
 
Serikali ni kubwa sana kuliko nyinyi wanaharakati wa Myspace na Twitter. Kushughulika na watu wa aina yako ni kazi nyepesi sana kuliko unavyojidanganya.
Serikali ni ya waTanzania. Watanzania watakataa ujambazi huu, hili usiwe nalo shaka.
 
Huu ni upuuzi.

Yaliyofanyika Bungeni ni upumbavu. Usifikiri watu na akili zao hawaoni ujinga huo.
Hata huoni aibu kabisa kulitaja bunge kama chombo cha heshima hapa?
Kwa akili hizi serikali haina hata sababu ya kuwafikiria watu kama wewe. Hujui kuwa kwa kwenda bungeni suala zima linapata kinga ya kisheria.

Wewe usiyejua lolote ndio uone aibu kuongea vitu usivyo na uelewa navyo.
 
Back
Top Bottom