Rais Samia ukiendelea kujibizana na hawa wapumbavu kuhusu uwekezaji wa Bandari utapoteza mwelekeo na utapoteza muda

Rais Samia ukiendelea kujibizana na hawa wapumbavu kuhusu uwekezaji wa Bandari utapoteza mwelekeo na utapoteza muda

saigilomagema

JF-Expert Member
Joined
Jun 5, 2015
Posts
4,683
Reaction score
7,222
Mama yangu Rais Samia kwanini mkataba moja huu wa bandari utumie nishati kubwa namna hii. Huu ni mkataba moja tu je utaweza kufanya chochote km kiongozi mkuu wa nchi? Nachoogopa kwa kuwa uelewa wa watu bado ni mdogo ndio mtawachanganya zaidi. Bunge limeshapitisha, na bunge ni wawakilishi wa wananchi kuna nini usiendelee na utekelezaji. Labda kama kuna kitu kweli mnakificha, vinginevyo utaonekana rais dhaifu asiyeweza kuiendesha nchi, asiye na msimamo ktkt maamuzi yake.

Kuna kipindi ktk uongozi wa Kikwete alikuwa ameingia mikataba na makampuni ya utafutaji na uchimbaji madini kule mikoa ya Lindi na Mtwara. Ila kuna watu wakiwepo wabunge wa kule kusini walianza chokochoko kwamba gesi yetu haitoki. Rais Kikwete alisimama imara kama mkuu wa nchi, kiongozi mkuu wa serikali na amiri jeshi mkuu na jambo lile lilidhibitiwa na likapotea bila taarifa. Wale watu walitaka kuigawa nchi na kuleta ubaguzi kama wanavyofanya hawa wa sasa. Kilicho mbele yetu ni mkataba tena moja tu watu wameanza na hoja ya utanganyika. Bado unafikiri lengo ni mkataba? Sasa km mkataba moja unaleta haya yote utaweza kuingia mikataba mingapi wakati shughuli zote za uwekezaji zinahitaji mikataba.

Rais jambo hili liishe muende kwenye hatuna zinazofuata kazi ianze. Shughulikia wanaotaka kutuharibia nchi we ndio kiongozi mkuu kwa sasa.
 
kwa hiyo wananchi wana uelewa mdogo, ila wewe na samia ndo man uelewa mkubwa ?
kama ndo hivyo unavyodai wewe, jibuni hoja za wananchi....

otherwise itakuwa njaa imeingia kichwani mwako
Hakuna rais amefanya ujinga huu kujibizana na wapumabvu wampotezee muda kufanya shughuli zake. Au hujui maana ya bunge, kwanza wewe hakuna anayekuzingatia ushauri uliozingatiwa ni wa wabunge maana ndio sheria inavyotaka. Wabunge wanatuwakilisha acheni upumbavu wa kutaka kufanya nchi isitawalike, kila moja ni mjuaji. Hakuna utaratibu wa kisheria wananchi wote kushiriki ktk utungaji wa sheria wala ktk kupitisha mikataba, jukumu hilo tumelipa bunge kwa niaba yetu.
 
Mama yangu Rais Samia kwanini mkataba moja huu wa bandari utumie nishati kubwa namna hii. Huu ni mkataba moja tu je utaweza kufanya chochote km kiongozi mkuu wa nchi? Nachoogopa kwa kuwa uelewa wa watu bado ni mdogo ndio mtawachanganya zaidi. Bunge limeshapitisha, na bunge ni wawakilishi wa wananchi kuna nini usiendelee na utekelezaji. Labda kama kuna kitu kweli mnakificha, vinginevyo utaonekana rais dhaifu asiyeweza kuiendesha nchi, asiye na msimamo ktkt maamuzi yake.

Kuna kipindi ktk uongozi wa Kikwete alikuwa ameingia mikataba na makampuni ya utafutaji na uchimbaji madini kule mikoa ya Lindi na Mtwara. Ila kuna watu wakiwepo wabunge wa kule kusini walianza chokochoko kwamba gesi yetu haitoki. Rais Kikwete alisimama imara kama mkuu wa nchi, kiongozi mkuu wa serikali na amiri jeshi mkuu na jambo lile lilidhibitiwa na likapotea bila taarifa. Wale watu walitaka kuigawa nchi na kuleta ubaguzi kama wanavyofanya hawa wa sasa. Kilicho mbele yetu ni mkataba tena moja tu watu wameanza na hoja ya utanganyika. Bado unafikiri lengo ni mkataba? Sasa km mkataba moja unaleta haya yote utaweza kuingia mikataba mingapi wakati shughuli zote za uwekezaji zinahitaji mikataba.

Rais jambo hili liishe muende kwenye hatuna zinazofuata kazi ianze. Shughulikia wanaotaka kutuharibia nchi we ndio kiongozi mkuu kwa sasa.

mama yako mzazi yuko kijijini, hata simu haumpigii umekalia kuita mama za watu wengine mama mama tena bila aibu
 
Mama yangu Rais Samia kwanini mkataba moja huu wa bandari utumie nishati kubwa namna hii. Huu ni mkataba moja tu je utaweza kufanya chochote km kiongozi mkuu wa nchi? Nachoogopa kwa kuwa uelewa wa watu bado ni mdogo ndio mtawachanganya zaidi. Bunge limeshapitisha, na bunge ni wawakilishi wa wananchi kuna nini usiendelee na utekelezaji. Labda kama kuna kitu kweli mnakificha, vinginevyo utaonekana rais dhaifu asiyeweza kuiendesha nchi, asiye na msimamo ktkt maamuzi yake.

Kuna kipindi ktk uongozi wa Kikwete alikuwa ameingia mikataba na makampuni ya utafutaji na uchimbaji madini kule mikoa ya Lindi na Mtwara. Ila kuna watu wakiwepo wabunge wa kule kusini walianza chokochoko kwamba gesi yetu haitoki. Rais Kikwete alisimama imara kama mkuu wa nchi, kiongozi mkuu wa serikali na amiri jeshi mkuu na jambo lile lilidhibitiwa na likapotea bila taarifa. Wale watu walitaka kuigawa nchi na kuleta ubaguzi kama wanavyofanya hawa wa sasa. Kilicho mbele yetu ni mkataba tena moja tu watu wameanza na hoja ya utanganyika. Bado unafikiri lengo ni mkataba? Sasa km mkataba moja unaleta haya yote utaweza kuingia mikataba mingapi wakati shughuli zote za uwekezaji zinahitaji mikataba.

Rais jambo hili liishe muende kwenye hatuna zinazofuata kazi ianze. Shughulikia wanaotaka kutuharibia nchi we ndio kiongozi mkuu kwa sasa.
TUJISAHIHISHE 🙏🙏🙏

Ni makosa makubwa kudhani kiongozi mmoja, pekeake anaweza kuwa na Akili kuwazidi Watanzania wote.
 
Hakuna rais amefanya ujinga huu kujibizana na wapumabvu wampotezee muda kufanya shughuli zake. Au hujui maana ya bunge, kwanza wewe hakuna anayekuzingatia ushauri uliozingatiwa ni wa wabunge maana ndio sheria inavyotaka. Wabunge wanatuwakilisha acheni upumbavu wa kutaka kufanya nchi isitawalike, kila moja ni mjuaji. Hakuna utaratibu wa kisheria wananchi wote kushiriki ktk utungaji wa sheria wala ktk kupitisha mikataba, jukumu hilo tumelipa bunge kwa niaba yetu.
Huwa mnapenda kutukanwa kwa bei rahisi sana.Kwa hiyo wewe ndiye unayejua sana?
 
TUJISAHIHISHE 🙏🙏🙏

Ni makosa makubwa kudhani kiongozi mmoja, pekeake anaweza kuwa na Akili kuwazidi Watanzania wote.
Maamuzi ya kiongozi mkuu wa nchi 'Raisi' yapo juu yake mwenyewe?
 
Mama yangu Rais Samia kwanini mkataba moja huu wa bandari utumie nishati kubwa namna hii. Huu ni mkataba moja tu je utaweza kufanya chochote km kiongozi mkuu wa nchi? Nachoogopa kwa kuwa uelewa wa watu bado ni mdogo ndio mtawachanganya zaidi. Bunge limeshapitisha, na bunge ni wawakilishi wa wananchi kuna nini usiendelee na utekelezaji. Labda kama kuna kitu kweli mnakificha, vinginevyo utaonekana rais dhaifu asiyeweza kuiendesha nchi, asiye na msimamo ktkt maamuzi yake.

Kuna kipindi ktk uongozi wa Kikwete alikuwa ameingia mikataba na makampuni ya utafutaji na uchimbaji madini kule mikoa ya Lindi na Mtwara. Ila kuna watu wakiwepo wabunge wa kule kusini walianza chokochoko kwamba gesi yetu haitoki. Rais Kikwete alisimama imara kama mkuu wa nchi, kiongozi mkuu wa serikali na amiri jeshi mkuu na jambo lile lilidhibitiwa na likapotea bila taarifa. Wale watu walitaka kuigawa nchi na kuleta ubaguzi kama wanavyofanya hawa wa sasa. Kilicho mbele yetu ni mkataba tena moja tu watu wameanza na hoja ya utanganyika. Bado unafikiri lengo ni mkataba? Sasa km mkataba moja unaleta haya yote utaweza kuingia mikataba mingapi wakati shughuli zote za uwekezaji zinahitaji mikataba.

Rais jambo hili liishe muende kwenye hatuna zinazofuata kazi ianze. Shughulikia wanaotaka kutuharibia nchi we ndio kiongozi mkuu kwa sasa.

 
Mama yangu Rais Samia kwanini mkataba moja huu wa bandari utumie nishati kubwa namna hii. Huu ni mkataba moja tu je utaweza kufanya chochote km kiongozi mkuu wa nchi? Nachoogopa kwa kuwa uelewa wa watu bado ni mdogo ndio mtawachanganya zaidi. Bunge limeshapitisha, na bunge ni wawakilishi wa wananchi kuna nini usiendelee na utekelezaji. Labda kama kuna kitu kweli mnakificha, vinginevyo utaonekana rais dhaifu asiyeweza kuiendesha nchi, asiye na msimamo ktkt maamuzi yake.

Kuna kipindi ktk uongozi wa Kikwete alikuwa ameingia mikataba na makampuni ya utafutaji na uchimbaji madini kule mikoa ya Lindi na Mtwara. Ila kuna watu wakiwepo wabunge wa kule kusini walianza chokochoko kwamba gesi yetu haitoki. Rais Kikwete alisimama imara kama mkuu wa nchi, kiongozi mkuu wa serikali na amiri jeshi mkuu na jambo lile lilidhibitiwa na likapotea bila taarifa. Wale watu walitaka kuigawa nchi na kuleta ubaguzi kama wanavyofanya hawa wa sasa. Kilicho mbele yetu ni mkataba tena moja tu watu wameanza na hoja ya utanganyika. Bado unafikiri lengo ni mkataba? Sasa km mkataba moja unaleta haya yote utaweza kuingia mikataba mingapi wakati shughuli zote za uwekezaji zinahitaji mikataba.

Rais jambo hili liishe muende kwenye hatuna zinazofuata kazi ianze. Shughulikia wanaotaka kutuharibia nchi we ndio kiongozi mkuu kwa sasa.
Weledi wanapinga kwa vifungu vya sheria na katiba wewe unakuja na maneno kama faizafox. Kama Msukuma na wenzake wamekata tamaa ya kutetea wewe na yule mzee Tyson ndo mtwbaki wenyewe.
 
Back
Top Bottom