Rais Samia ukiendelea kujibizana na hawa wapumbavu kuhusu uwekezaji wa Bandari utapoteza mwelekeo na utapoteza muda

Rais Samia ukiendelea kujibizana na hawa wapumbavu kuhusu uwekezaji wa Bandari utapoteza mwelekeo na utapoteza muda

Mama yangu Rais Samia kwanini mkataba moja huu wa bandari utumie nishati kubwa namna hii. Huu ni mkataba moja tu je utaweza kufanya chochote km kiongozi mkuu wa nchi? Nachoogopa kwa kuwa uelewa wa watu bado ni mdogo ndio mtawachanganya zaidi. Bunge limeshapitisha, na bunge ni wawakilishi wa wananchi kuna nini usiendelee na utekelezaji. Labda kama kuna kitu kweli mnakificha, vinginevyo utaonekana rais dhaifu asiyeweza kuiendesha nchi, asiye na msimamo ktkt maamuzi yake.

Kuna kipindi ktk uongozi wa Kikwete alikuwa ameingia mikataba na makampuni ya utafutaji na uchimbaji madini kule mikoa ya Lindi na Mtwara. Ila kuna watu wakiwepo wabunge wa kule kusini walianza chokochoko kwamba gesi yetu haitoki. Rais Kikwete alisimama imara kama mkuu wa nchi, kiongozi mkuu wa serikali na amiri jeshi mkuu na jambo lile lilidhibitiwa na likapotea bila taarifa. Wale watu walitaka kuigawa nchi na kuleta ubaguzi kama wanavyofanya hawa wa sasa. Kilicho mbele yetu ni mkataba tena moja tu watu wameanza na hoja ya utanganyika. Bado unafikiri lengo ni mkataba? Sasa km mkataba moja unaleta haya yote utaweza kuingia mikataba mingapi wakati shughuli zote za uwekezaji zinahitaji mikataba.

Rais jambo hili liishe muende kwenye hatuna zinazofuata kazi ianze. Shughulikia wanaotaka kutuharibia nchi we ndio kiongozi mkuu kwa sasa.
Akili yako inamatatizo
 
Rais ni mtumishi wa umma na mamlaka yake yanatokana na kukubalika na umma. Hawezi kujifanyia mambo tu kinyume na matakwa ya umma kisa yeye rais, msimpotoshe!
 
Hakuna rais amefanya ujinga huu kujibizana na wapumabvu wampotezee muda kufanya shughuli zake. Au hujui maana ya bunge, kwanza wewe hakuna anayekuzingatia ushauri uliozingatiwa ni wa wabunge maana ndio sheria inavyotaka. Wabunge wanatuwakilisha acheni upumbavu wa kutaka kufanya nchi isitawalike, kila moja ni mjuaji. Hakuna utaratibu wa kisheria wananchi wote kushiriki ktk utungaji wa sheria wala ktk kupitisha mikataba, jukumu hilo tumelipa bunge kwa niaba yetu.
Yaani watu wanahoji kuhusu mapungufu ya huo mkataba wenu na ndugu zenu Waarabu! Wewe unawaita wapumbavu!! Basi kama ni hivyo, wewe utakuwa ni taahira.
 
1690724018416.png
 
Mama yangu Rais Samia kwanini mkataba moja huu wa bandari utumie nishati kubwa namna hii. Huu ni mkataba moja tu je utaweza kufanya chochote km kiongozi mkuu wa nchi? Nachoogopa kwa kuwa uelewa wa watu bado ni mdogo ndio mtawachanganya zaidi. Bunge limeshapitisha, na bunge ni wawakilishi wa wananchi kuna nini usiendelee na utekelezaji. Labda kama kuna kitu kweli mnakificha, vinginevyo utaonekana rais dhaifu asiyeweza kuiendesha nchi, asiye na msimamo ktkt maamuzi yake.

Kuna kipindi ktk uongozi wa Kikwete alikuwa ameingia mikataba na makampuni ya utafutaji na uchimbaji madini kule mikoa ya Lindi na Mtwara. Ila kuna watu wakiwepo wabunge wa kule kusini walianza chokochoko kwamba gesi yetu haitoki. Rais Kikwete alisimama imara kama mkuu wa nchi, kiongozi mkuu wa serikali na amiri jeshi mkuu na jambo lile lilidhibitiwa na likapotea bila taarifa. Wale watu walitaka kuigawa nchi na kuleta ubaguzi kama wanavyofanya hawa wa sasa. Kilicho mbele yetu ni mkataba tena moja tu watu wameanza na hoja ya utanganyika. Bado unafikiri lengo ni mkataba? Sasa km mkataba moja unaleta haya yote utaweza kuingia mikataba mingapi wakati shughuli zote za uwekezaji zinahitaji mikataba.

Rais jambo hili liishe muende kwenye hatuna zinazofuata kazi ianze. Shughulikia wanaotaka kutuharibia nchi we ndio kiongozi mkuu kwa sasa.
Hizi nchi za kiafrika zina wajinga wengi, watu wenye upeo mdogo ni wengi sana.

Kuvunja nchi ni kazi nyepesi sana kuliko inavyodhaniwa, akitokea mmoja mwenye elimu japo kidogo ni rahisi kuyumbisha umma mzima na kuwapata wengi tu watakaomuunga mkono.

Ni kweli kabisa mijadala imeshatosha, wanasheria wameshatuelimisha vya kutosha. Kinachoendelea ni kujazana ujinga tu.

Waingie kwenye hatua za kuandaa hiyo mikataba ya Consession na Lease ili watu watazame ustaarabu mwingine.
 
Mama yangu Rais Samia kwanini mkataba moja huu wa bandari utumie nishati kubwa namna hii. Huu ni mkataba moja tu je utaweza kufanya chochote km kiongozi mkuu wa nchi? Nachoogopa kwa kuwa uelewa wa watu bado ni mdogo ndio mtawachanganya zaidi. Bunge limeshapitisha, na bunge ni wawakilishi wa wananchi kuna nini usiendelee na utekelezaji. Labda kama kuna kitu kweli mnakificha, vinginevyo utaonekana rais dhaifu asiyeweza kuiendesha nchi, asiye na msimamo ktkt maamuzi yake.

Kuna kipindi ktk uongozi wa Kikwete alikuwa ameingia mikataba na makampuni ya utafutaji na uchimbaji madini kule mikoa ya Lindi na Mtwara. Ila kuna watu wakiwepo wabunge wa kule kusini walianza chokochoko kwamba gesi yetu haitoki. Rais Kikwete alisimama imara kama mkuu wa nchi, kiongozi mkuu wa serikali na amiri jeshi mkuu na jambo lile lilidhibitiwa na likapotea bila taarifa. Wale watu walitaka kuigawa nchi na kuleta ubaguzi kama wanavyofanya hawa wa sasa. Kilicho mbele yetu ni mkataba tena moja tu watu wameanza na hoja ya utanganyika. Bado unafikiri lengo ni mkataba? Sasa km mkataba moja unaleta haya yote utaweza kuingia mikataba mingapi wakati shughuli zote za uwekezaji zinahitaji mikataba.

Rais jambo hili liishe muende kwenye hatuna zinazofuata kazi ianze. Shughulikia wanaotaka kutuharibia nchi we ndio kiongozi mkuu kwa sasa.


Namba ya Simu
 
Mama yangu Rais Samia kwanini mkataba moja huu wa bandari utumie nishati kubwa namna hii. Huu ni mkataba moja tu je utaweza kufanya chochote km kiongozi mkuu wa nchi? Nachoogopa kwa kuwa uelewa wa watu bado ni mdogo ndio mtawachanganya zaidi. Bunge limeshapitisha, na bunge ni wawakilishi wa wananchi kuna nini usiendelee na utekelezaji. Labda kama kuna kitu kweli mnakificha, vinginevyo utaonekana rais dhaifu asiyeweza kuiendesha nchi, asiye na msimamo ktkt maamuzi yake.

Kuna kipindi ktk uongozi wa Kikwete alikuwa ameingia mikataba na makampuni ya utafutaji na uchimbaji madini kule mikoa ya Lindi na Mtwara. Ila kuna watu wakiwepo wabunge wa kule kusini walianza chokochoko kwamba gesi yetu haitoki. Rais Kikwete alisimama imara kama mkuu wa nchi, kiongozi mkuu wa serikali na amiri jeshi mkuu na jambo lile lilidhibitiwa na likapotea bila taarifa. Wale watu walitaka kuigawa nchi na kuleta ubaguzi kama wanavyofanya hawa wa sasa. Kilicho mbele yetu ni mkataba tena moja tu watu wameanza na hoja ya utanganyika. Bado unafikiri lengo ni mkataba? Sasa km mkataba moja unaleta haya yote utaweza kuingia mikataba mingapi wakati shughuli zote za uwekezaji zinahitaji mikataba.

Rais jambo hili liishe muende kwenye hatuna zinazofuata kazi ianze. Shughulikia wanaotaka kutuharibia nchi we ndio kiongozi mkuu kwa sasa.
Hivi wewe taburarasa. Mbona hauna akili. Gas ya mtwara Ina faida Gani Kwa taifa hili. Si mlishawauzia wazungu. Bandari haiuzwi piga ua garagaza. Mikataba Gani inainufaisha taifa letu. Wote si ccm na watoto wao ambao ni wachache ndo wanufaika nayo...
 
Weledi wanapinga kwa vifungu vya sheria na katiba wewe unakuja na maneno kama faizafox. Kama Msukuma na wenzake wamekata tamaa ya kutetea wewe na yule mzee Tyson ndo mtwbaki wenyewe.
Ni ujinga tu hawa watu ukute hata mkataba mwenyewe hajausoma
 
Kama ambavyo kama ataendelea kuwasikiliza Wapumbavu kama wewe basi ataangamia kama walivyoangamia wa kabla yake.
 
bora baba yako angejichukulia sheria mkononi tuu kuepusha uwepo wako duniani hopeless kabisa.
 
Back
Top Bottom