Rais Samia ukimaliza kuchezea Pesa kuisaidia Taifa Stars tunakuomba uwasaidie na Watanzania wote kwenye jambo hili la Muhimu

Wajinga kama wewe hamuwezi kuisha ndani ya hii nchi.
 
Issue ya bima ya afya kweli ni janga kwa taifa. Kilio kitakuja baada ya wenye bima ku expire na kwenda kurenew. Huyu bi mkora sijui kwanini anafumbia mambo ya maana
 
Kuja na malalamiko kuhusu pesa zinazoingizwa katika mpira ni sehemu ya ukosefu wa furaha, ni sehemu ya ulalamikaji wetu wa kila siku.
 
Rais ana mfuko wake consolidated fund, hizo pesa anatowa kwenye mfuko huo na wala siyo za kibajeti na wala Hakuna wa kumpangia fund yake atumie vipi kama vile Wewe huwezi kupangiwa matumizi ya pesa zako.

Tuache ujuwaji, halafu mwanaume kumuonea wivu mwanamke nini maana yake?

Tatizo lililopo siyo la Mama Samia, tatizo ni Ccm, namna ya kutibu tatizo ni kuiondowa Ccm kuanzia ngazi ya kitongoji mpaka ikulu.
 
Kuja na malalamiko kuhusu pesa zinazoingizwa katika mpira ni sehemu ya ukosefu wa furaha, ni sehemu ya ulalamikaji wetu wa kila siku.
Afya ni jambo la muhimu sana kuliko hiyo furaha ya muda ya mpira,augiliwe na mpendwa wake,akose hela ya matibabu..alafu tuone hata kama anaweza kwenda kuangalia na kufurahia huo mpira.

Always mwenye nacho hamkumbuki asiye nacho,shida isikie kwa mtu tu.
 
Afya tangu wakati wa Magufuli inatengewa pesa nyingi sana, Kilimo pia kinachukua pesa nyingi sana.

Ni rahisi kulalamika humu jukwaani kama huna taarifa za kina za kinachofanywa na serikali kuu.

Kagame katumia milioni 500 kwa ajili ya kikao cha FIFA pale Kigali, jiulize anarudisha mabilioni mangapi na yanakwenda kufanya nini kwa watu wa Rwanda.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…