Rais Samia ukimaliza kuchezea Pesa kuisaidia Taifa Stars tunakuomba uwasaidie na Watanzania wote kwenye jambo hili la Muhimu

Simba,Yanga na Taifa stars ni WAchache pesa za kuwalipa zipo ila unaposema Watanzania wote sijui unasema hayo Kwa pesa zipi hasa?

Ukute hata Kodi Huwa hulipi ila domo Juu Juu.
 
Watu hawajawahi kuwa na Jema

Kwanini usieleze hoja yako bila kufubaza hizo hamasa wanazopewa wanamichezo wetu???
 
Mfano wako ni wa hovyo sana [emoji16]
 
Halafu hela yenyewe basi unaweza kudhani labda ni milioni 100. Kumbe kila goli milion 10. Akiulizwa huyo anayelalamika kwamba hizo milion 10 zitaenda kufanyia utatuzi wa kitu gani kwa pesa hiyo atabaki anajiumauma.
Kingine watu wanalalamika bila hata kujua pesa zinatoka kwenye mfuko wake rais, wanadhani labda anaikamua hazina.
Vitu vingine ni nongwa tu.
 
Nazidi kujiridhisha kuwa wewe una akili "kubwa" lakini dish limecheza kidogo na hauko sawa.
Kiwango hiki cha dish kucheza huwa sio hatarishi kwa jamii iliyokuzunguka, lakini ni jambo jema kama utawahi kuwaona wataalamu ili kuzuia madhara zaidi.
Pole, ni mambo ya kawaida tuu hayo!
 
Halafu tukimkumbuka Hayati Magufuli tunabatizwa Jina la Kiubaguzi la SUKUMA GANG wakati Wengine ni Wazanaki ( Mara ) na Wamakuwa ( Mtwara ) Kimakabila.
Magu ni lazima kukumbukwa hakuna namna na hakuna wa kuzuia hilo kamwe,,Yule Chief ana nafasi kubwa sana miyoyoni mwa watz waliowengi!!!
 
ingependza zaidi angewekeza kwny mfumo/michezo badala ya magoli. zamani enzi za Nyerere ukiugua ukienda hosp. unapata matibabu bila kudaiwa chchte. ss hvi matibabu ni gharama na watu wanakufa kuliko kiasi. wanawekeza kwnye magoli badala ya maisha ya waTz. na huenda wala hizo hela haziko ktk bajet yyte - ambapo labda ni mfuko wake ikiwa na maana analipwa nyngi kliko anavohitaji. kilio kikuu cha waTz sidhani kama ni magoli, huenda ni afya.. nk
 
Hili Jambo linasikitisha Sana. Nimeamini wanasiasa wa TZ ni Kenge.

Wao wanatubiwa india Kwa kidi zetu afu Sisi Hata kile kidogo wanatunyang'anya
 
Huna Akili.
 
Ukipona Uwendawazimu wako rudi tena Kwangu sawa? Naona bado hujapona.
 
Hoja nzuri sana hii.
 
Nikiwaambia hakuna Rais pale mnaniona mjinga.Nawakukbusha tu juzi juzi katoa misaada kwenye nchi za watu huko.Ety sisi ni DONA CANTRI
 
Roho mbaya za kimaskini tatizo letu watanzania.
 
Rais anaacha kununua madawati ananunua magoli?
 
Inabidi mods wawaanzishie jukwaa la ushoga sasa.

Watu wanajadili michezo we kichwa chako kinawaza machoko, hivi mtoto wa kiume unakuwaje comfortable kuongelea mambo ya mashoga kila saa.
Haki ya Mungu wanakera, kuna vitu muhimu vya kuongelea ila inaonekana hilo neno na matendo yake wanayependa kweli maana kila Kukicha wanalitaja wakidhani wanadidimiza wakati kumbe wanapromote. Wanakera mno!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…