Rais Samia: Ukinikuna Vizuri, mimi nakukuna huku nnakupapasa na kukupuliza. Lakini "Ukinipara...Nakuparura!

Rais Samia: Ukinikuna Vizuri, mimi nakukuna huku nnakupapasa na kukupuliza. Lakini "Ukinipara...Nakuparura!

Kauli hizo zina onyesha kuwa;........

Ukitaka kujua kuwa Mama ni makali basi wewe jaribu kumkatisha mbele yake na kumvurugia timing ktk harakati za kupigania maendeleo ya wananchi...basi ujue umekwisha.

unaufahamu moto wa "kumbi"? uliza uambiwe.........
 
Mama yetu anadhani tunamchukia... hapana" hatukuchukii bi mkubwa...! Tunaongea Sana kwa sababu mzee alituonyesha mchoro wa maendeleo.. bila kuwa tegemezi inawezekana na kwamba wakikufurahia Kuna sehemu unabolonga.. Sasa ili wote tufurahi na tupapasane vizuri.. weka mambo wazi kama mkeka wa beti ukibeti ndundi.. maumivu kwa aliyecheza akaliwa na aliyekuwa anapigana akapigwa..! Watanzania wa Hali ya chini hawana kwa kushtaki sasaivi
 
Wanabodi

Rais Samia ambaye ni Rais Mwanamke wa Kizanzibari mwenye lugha tamu laini na lafudhi ya Kizanzibari, yenye maneno na vineno, vitamu hadi raha kumsikiliza haku ukitamani asimalize kuzungumza.

Leo kwenye maadhimisho ya Siku ya Kimataifa ya Uhuru wa habari, Rais Samia katamka maneno haya


"Ukinikuna Vizuri, mimi nakukuna huku nnakupapasa tena na kukupuliza ufu ufu ". Lakini "Ukinipara...Nakuparura!" - Hivi Vijineno!, Japo Vitamu Hadi Raha Kusikiliza!.

Hili ni onyo la kiana kwa vyombo vya habari, tujitahidi kumkuna Mama ili na yeye atukune, na atupapase. Tuepuke kumpara, asije kutuparura!. Ikitokea Mwandishi wa habari akampara Mama, no one knows huko kumparura, style ya Mama ya kumparura ikoje!. Kule nyuma aliwahi kutoa onyo kama hilo kuwa "ukimzengua, tutazenguana", Leo ni "ukinipara, nitakuparua!. Kwa vile no one knows uparuaji wake, unaweza kuwa mchungu kuliko Shubiri, hivyo natoa wito kwa waandishi wenzangu wa habari tujitahidi sana tusije mpara Mama, Shubiri, tutaionja.

Happy Press Freedom Day.
Paskali
Rejea za Mama Samia anavyoongea vizuri

Bitozo atakuwa anaukumbuka mkuno wa yule mzee wa kizungu aisee inaonekana anamkuna maza vizuri kule majuu
 
Hivi angeenda sherehe za BAKWATA akatoa hicho kijineno mbele ya Mufti unadhani wangeshangiliaje?
 
Wanabodi

Rais Samia ambaye ni Rais Mwanamke wa Kizanzibari mwenye lugha tamu laini na lafudhi ya Kizanzibari, yenye maneno na vineno, vitamu hadi raha kumsikiliza haku ukitamani asimalize kuzungumza.

Leo kwenye maadhimisho ya Siku ya Kimataifa ya Uhuru wa habari, Rais Samia katamka maneno haya


"Ukinikuna Vizuri, mimi nakukuna huku nnakupapasa tena na kukupuliza ufu ufu ". Lakini "Ukinipara...Nakuparura!" - Hivi Vijineno!, Japo Vitamu Hadi Raha Kusikiliza!.

Hili ni onyo la kiana kwa vyombo vya habari, tujitahidi kumkuna Mama ili na yeye atukune, na atupapase. Tuepuke kumpara, asije kutuparura!. Ikitokea Mwandishi wa habari akampara Mama, no one knows huko kumparura, style ya Mama ya kumparura ikoje!. Kule nyuma aliwahi kutoa onyo kama hilo kuwa "ukimzengua, tutazenguana", Leo ni "ukinipara, nitakuparua!. Kwa vile no one knows uparuaji wake, unaweza kuwa mchungu kuliko Shubiri, hivyo natoa wito kwa waandishi wenzangu wa habari tujitahidi sana tusije mpara Mama, Shubiri, tutaionja.

Happy Press Freedom Day.
Paskali
Rejea za Mama Samia anavyoongea vizuri

😍
 
Kiswahili lugha yetu adhimu.....utamu hupatikana katika KUZISIKILIZA lahaja zake tofauti😍

Amiri Jeshi wa majeshi ya ulinzi na usalama anaupiga mwingi 🙏

#Siempre JMT🙏
 
Kuna watu wamekuwa wanalipwa kuwachafua watu.
IDU_David_McAllister-600x600(0).jpg
 
Wanabodi

Rais Samia ambaye ni Rais Mwanamke wa Kizanzibari mwenye lugha tamu laini na lafudhi ya Kizanzibari, yenye maneno na vineno, vitamu hadi raha kumsikiliza haku ukitamani asimalize kuzungumza.

Leo kwenye maadhimisho ya Siku ya Kimataifa ya Uhuru wa habari, Rais Samia katamka maneno haya


"Ukinikuna Vizuri, mimi nakukuna huku nnakupapasa tena na kukupuliza ufu ufu ". Lakini "Ukinipara...Nakuparura!" - Hivi Vijineno!, Japo Vitamu Hadi Raha Kusikiliza!.

Hili ni onyo la kiana kwa vyombo vya habari, tujitahidi kumkuna Mama ili na yeye atukune, na atupapase. Tuepuke kumpara, asije kutuparura!. Ikitokea Mwandishi wa habari akampara Mama, no one knows huko kumparura, style ya Mama ya kumparura ikoje!. Kule nyuma aliwahi kutoa onyo kama hilo kuwa "ukimzengua, tutazenguana", Leo ni "ukinipara, nitakuparua!. Kwa vile no one knows uparuaji wake, unaweza kuwa mchungu kuliko Shubiri, hivyo natoa wito kwa waandishi wenzangu wa habari tujitahidi sana tusije mpara Mama, Shubiri, tutaionja.

Happy Press Freedom Day.
Paskali
Rejea za Mama Samia anavyoongea vizuri



Wanabodi

Rais Samia ambaye ni Rais Mwanamke wa Kizanzibari mwenye lugha tamu laini na lafudhi ya Kizanzibari, yenye maneno na vineno, vitamu hadi raha kumsikiliza haku ukitamani asimalize kuzungumza.

Leo kwenye maadhimisho ya Siku ya Kimataifa ya Uhuru wa habari, Rais Samia katamka maneno haya


"Ukinikuna Vizuri, mimi nakukuna huku nnakupapasa tena na kukupuliza ufu ufu ". Lakini "Ukinipara...Nakuparura!" - Hivi Vijineno!, Japo Vitamu Hadi Raha Kusikiliza!.

Hili ni onyo la kiana kwa vyombo vya habari, tujitahidi kumkuna Mama ili na yeye atukune, na atupapase. Tuepuke kumpara, asije kutuparura!. Ikitokea Mwandishi wa habari akampara Mama, no one knows huko kumparura, style ya Mama ya kumparura ikoje!. Kule nyuma aliwahi kutoa onyo kama hilo kuwa "ukimzengua, tutazenguana", Leo ni "ukinipara, nitakuparua!. Kwa vile no one knows uparuaji wake, unaweza kuwa mchungu kuliko Shubiri, hivyo natoa wito kwa waandishi wenzangu wa habari tujitahidi sana tusije mpara Mama, Shubiri, tutaionja.

Happy Press Freedom Day.
Paskali
Rejea za Mama Samia anavyoongea vizuri

Lakini kutumia maneno yenye ukakasi (kupanua-jpm) na sasa (kukuna -ssh) ni sawa kwa viongozi wa hadhi yao?
 
Vipi mkuu, bila shaka utapendwa kukunwa kupapaswa na kupilizwa pruuuuu na Mama, kuanzia leo uwe wazi mambo ya kuniandika nyuzi zako kwa mafumbo huku ukimteta Mama iwe mwisho 😀

Ukifanya hivyo utapata reward ya kukunwa na kupapaswa huku ukipulizwa pruuu na Mama yetu kipenzi Chifu Hangaya..
Mkuu wangu Nyboma vipi umekuwaje kaka mkubwa ?!!!

Ama roho inakuuma kwa kuwa "enzi iliyopita" hamkuwa mkisafiri kwenda Ulaya zaidi ya humuhumu tu ?!!!!!!

Kisa posho eeee?!!! 🤣🤣

#Siempre JMT🙏
 
Back
Top Bottom