nyboma
JF-Expert Member
- Aug 29, 2021
- 2,308
- 7,366
Ila Mama ni kisu jamani, kama umesikiliza hotuba yake utagundua hata kwenye yale mambo yetu yupo njema..Nani kama mama?
View attachment 2209853
Maana katusifia sana sisi waafrika..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ila Mama ni kisu jamani, kama umesikiliza hotuba yake utagundua hata kwenye yale mambo yetu yupo njema..Nani kama mama?
View attachment 2209853
Maneno ya Rais yana ukakasi na wapo watu wataona hayana staha. Anyway, ana mwaka mmoja na ushee kwenye hicho kiti na watu wanaona wakubwa wanavyokula kwa urefu wa kamba zao.Ashindwe kuparura Panya wa Barabarani anakwenda kuparura waandishi?
Sent from my M2003J15SC using JamiiForums mobile app
Hiyo ndiyo maana ya uhuru wa habari hapa Tanzania. No need to seek the truth? Ndiyo maana Watanzania tunashindwa kwenye usaili mwingi wa kimataifa. Fikra fikirishi zinatupa taabu sana!! Come again!Wanabodi
Rais Samia ambaye ni Rais Mwanamke wa Kizanzibari mwenye lugha tamu laini na lafudhi ya Kizanzibari, yenye maneno na vineno, vitamu hadi raha kumsikiliza haku ukitamani asimalize kuzungumza.
Leo kwenye maadhimisho ya Siku ya Kimataifa ya Uhuru wa habari, Rais Samia katamka maneno haya
"Ukinikuna Vizuri, mimi nakukuna huku nnakupapasa tena na kukupuliza ufu ufu ". Lakini "Ukinipara...Nakuparura!" - Hivi Vijineno!, Japo Vitamu Hadi Raha Kusikiliza!.
Hili ni onyo la kiana kwa vyombo vya habari, tujitahidi kumkuna Mama ili na yeye atukune, na atupapase. Tuepuke kumpara, asije kutuparura!. Ikitokea Mwandishi wa habari akampara Mama, no one knows huko kumparura, style ya Mama ya kumparura ikoje!. Kule nyuma aliwahi kutoa onyo kama hilo kuwa "ukimzengua, tutazenguana", Leo ni "ukinipara, nitakuparua!. Kwa vile no one knows uparuaji wake, unaweza kuwa mchungu kuliko Shubiri, hivyo natoa wito kwa waandishi wenzangu wa habari tujitahidi sana tusije mpara Mama, Shubiri, tutaionja.
Happy Press Freedom Day.
Paskali
Rejea za Mama Samia anavyoongea vizuri
Siku ya Wanawake Duniani: VP Samia Suluhu: "Womanly, Genuine, Humble, Simple na Down To Earth!”
Wanabodi, Leo asubuhi nimeangalia kipindi cha mahojiano ya Makamo wa Rais Mhe. Samia Suluhu Hassan akizungumzia Siku ya Wanawake Duniani kwenye TBC akihojiwa na Shabani Kissu. Kwa Waliosikiliza kipindi hiki, kiukweli huyu ni mwanamke wa kupigiwa mfano, mtanisamehe sina maneno ya Kiswahili ya...www.jamiiforums.com
"Watu waachwe Huru kuujadili Muungano"- VP, Samia Suluhu Hassan. Huyu mama anaongea vizuri kwa Unyenyekevu mpaka raha. Huchoki kumsikiliza
Wanabodi, Niko kwenye voluntariy lockdown, hivyo leo nimepata fursa ya kuangalia TV ya Zanzibar, ZBC, Mwandishi wa habari wa CCM Zanzibar, Daudi Ismail anamhoji Makamo wa Rais wa JMT, Mhe. Samia Suluhu Hassan anauzungumzia Muungano, kiukweli huyu Mama Samia anauzumguza vizuri muungano huku...www.jamiiforums.com
Wanabodi
Rais Samia ambaye ni Rais Mwanamke wa Kizanzibari mwenye lugha tamu laini na lafudhi ya Kizanzibari, yenye maneno na vineno, vitamu hadi raha kumsikiliza haku ukitamani asimalize kuzungumza.
Leo kwenye maadhimisho ya Siku ya Kimataifa ya Uhuru wa habari, Rais Samia katamka maneno haya
"Ukinikuna Vizuri, mimi nakukuna huku nnakupapasa tena na kukupuliza ufu ufu ". Lakini "Ukinipara...Nakuparura!" - Hivi Vijineno!, Japo Vitamu Hadi Raha Kusikiliza!.
Hili ni onyo la kiana kwa vyombo vya habari, tujitahidi kumkuna Mama ili na yeye atukune, na atupapase. Tuepuke kumpara, asije kutuparura!. Ikitokea Mwandishi wa habari akampara Mama, no one knows huko kumparura, style ya Mama ya kumparura ikoje!. Kule nyuma aliwahi kutoa onyo kama hilo kuwa "ukimzengua, tutazenguana", Leo ni "ukinipara, nitakuparua!. Kwa vile no one knows uparuaji wake, unaweza kuwa mchungu kuliko Shubiri, hivyo natoa wito kwa waandishi wenzangu wa habari tujitahidi sana tusije mpara Mama, Shubiri, tutaionja.
Happy Press Freedom Day.
Paskali
Rejea za Mama Samia anavyoongea vizuri
Siku ya Wanawake Duniani: VP Samia Suluhu: "Womanly, Genuine, Humble, Simple na Down To Earth!”
Wanabodi, Leo asubuhi nimeangalia kipindi cha mahojiano ya Makamo wa Rais Mhe. Samia Suluhu Hassan akizungumzia Siku ya Wanawake Duniani kwenye TBC akihojiwa na Shabani Kissu. Kwa Waliosikiliza kipindi hiki, kiukweli huyu ni mwanamke wa kupigiwa mfano, mtanisamehe sina maneno ya Kiswahili ya...www.jamiiforums.com
"Watu waachwe Huru kuujadili Muungano"- VP, Samia Suluhu Hassan. Huyu mama anaongea vizuri kwa Unyenyekevu mpaka raha. Huchoki kumsikiliza
Wanabodi, Niko kwenye voluntariy lockdown, hivyo leo nimepata fursa ya kuangalia TV ya Zanzibar, ZBC, Mwandishi wa habari wa CCM Zanzibar, Daudi Ismail anamhoji Makamo wa Rais wa JMT, Mhe. Samia Suluhu Hassan anauzungumzia Muungano, kiukweli huyu Mama Samia anauzumguza vizuri muungano huku...www.jamiiforums.com
🤣🤣🤣👍Si kweli Comrade mimi nipo na mama muda wote, bila shaka nimeamua kuunga juhudi kimyakimya 😀
OyeeeeeeRais Samia Oyeeeeeee....
Kazi iendelee...
Kukuna unayoiongelea wewe, sidhani kama yeye “ke” anaweza.Bitozo atakuwa anaukumbuka mkuno wa yule mzee wa kizungu aisee inaonekana anamkuna maza vizuri kule majuu
Wanabodi
Rais Samia ambaye ni Rais Mwanamke wa Kizanzibari mwenye lugha tamu laini na lafudhi ya Kizanzibari, yenye maneno na vineno, vitamu hadi raha kumsikiliza haku ukitamani asimalize kuzungumza.
Leo kwenye maadhimisho ya Siku ya Kimataifa ya Uhuru wa habari, Rais Samia katamka maneno haya
"Ukinikuna Vizuri, mimi nakukuna huku nnakupapasa tena na kukupuliza ufu ufu ". Lakini "Ukinipara...Nakuparura!" - Hivi Vijineno!, Japo Vitamu Hadi Raha Kusikiliza!.
Hili ni onyo la kiana kwa vyombo vya habari, tujitahidi kumkuna Mama ili na yeye atukune, na atupapase. Tuepuke kumpara, asije kutuparura!. Ikitokea Mwandishi wa habari akampara Mama, no one knows huko kumparura, style ya Mama ya kumparura ikoje!. Kule nyuma aliwahi kutoa onyo kama hilo kuwa "ukimzengua, tutazenguana", Leo ni "ukinipara, nitakuparua!. Kwa vile no one knows uparuaji wake, unaweza kuwa mchungu kuliko Shubiri, hivyo natoa wito kwa waandishi wenzangu wa habari tujitahidi sana tusije mpara Mama, Shubiri, tutaionja.
Happy Press Freedom Day.
Paskali
Rejea za Mama Samia anavyoongea vizuri
Siku ya Wanawake Duniani: VP Samia Suluhu: "Womanly, Genuine, Humble, Simple na Down To Earth!”
Wanabodi, Leo asubuhi nimeangalia kipindi cha mahojiano ya Makamo wa Rais Mhe. Samia Suluhu Hassan akizungumzia Siku ya Wanawake Duniani kwenye TBC akihojiwa na Shabani Kissu. Kwa Waliosikiliza kipindi hiki, kiukweli huyu ni mwanamke wa kupigiwa mfano, mtanisamehe sina maneno ya Kiswahili ya...www.jamiiforums.com
"Watu waachwe Huru kuujadili Muungano"- VP, Samia Suluhu Hassan. Huyu mama anaongea vizuri kwa Unyenyekevu mpaka raha. Huchoki kumsikiliza
Wanabodi, Niko kwenye voluntariy lockdown, hivyo leo nimepata fursa ya kuangalia TV ya Zanzibar, ZBC, Mwandishi wa habari wa CCM Zanzibar, Daudi Ismail anamhoji Makamo wa Rais wa JMT, Mhe. Samia Suluhu Hassan anauzungumzia Muungano, kiukweli huyu Mama Samia anauzumguza vizuri muungano huku...www.jamiiforums.com
Ukimkuna mkeo vizuri hatochepuka aban asilan!"Kukuna" kunakuwaje ukakasi katika lahaja zetu za kiswahili?!!!😳😳
Oh!🤣 Ushaanza tamaa😅Ila Mama ni kisu jamani, kama umesikiliza hotuba yake utagundua hata kwenye yale mambo yetu yupo njema..
Maana katusifia sana sisi waafrika..
Acheni mama ajinafasi. JK alisema “ukila lazima uliwe”, na Mwinyi alisema “uchumi mumeukalia”Nilikua nasikia tu bongofleva wanasifia 'jicho nusu mwezi'...bongo wako sahihi
vice versa is true.Kifo cha JPM kimetuachia matatizo na aibu kubwa sana
Uchumi mumeukalia ni nyerere,mwinyi aliwataka wahaya wakazane Sana kwenye migomba na kahawa,kipindi hicho neno unakazwa ndiyo linabambaAcheni mama ajinafasi. JK alisema “ukila lazima uliwe”, na Mwinyi alisema “uchumi mumeukalia”
Fuatilia. Siyo Nyerere, ni Mwinyi ndo alisema kuhusu kuukalia uchumi. Ngoja wakongwe zaidi watie neno. But I stay with my point.Uchumi mumeukalia ni nyerere,mwinyi aliwataka wahaya wakazane Sana kwenye migomba na kahawa,kipindi hicho neno unakazwa ndiyo linabamba
Umeona ee!Inategemea ngozi yako.
Lakini...ndio uhuru wa kusema. Haki yake.