Rais Samia: Ukinikuna Vizuri, mimi nakukuna huku nnakupapasa na kukupuliza. Lakini "Ukinipara...Nakuparura!

Rais Samia: Ukinikuna Vizuri, mimi nakukuna huku nnakupapasa na kukupuliza. Lakini "Ukinipara...Nakuparura!

Wanabodi

Rais Samia ambaye ni Rais Mwanamke wa Kizanzibari mwenye lugha tamu laini na lafudhi ya Kizanzibari, yenye maneno na vineno, vitamu hadi raha kumsikiliza haku ukitamani asimalize kuzungumza.

Leo kwenye maadhimisho ya Siku ya Kimataifa ya Uhuru wa habari, Rais Samia katamka maneno haya


"Ukinikuna Vizuri, mimi nakukuna huku nnakupapasa tena na kukupuliza ufu ufu ". Lakini "Ukinipara...Nakuparura!" - Hivi Vijineno!, Japo Vitamu Hadi Raha Kusikiliza!.

Hili ni onyo la kiana kwa vyombo vya habari, tujitahidi kumkuna Mama ili na yeye atukune, na atupapase. Tuepuke kumpara, asije kutuparura!. Ikitokea Mwandishi wa habari akampara Mama, no one knows huko kumparura, style ya Mama ya kumparura ikoje!. Kule nyuma aliwahi kutoa onyo kama hilo kuwa "ukimzengua, tutazenguana", Leo ni "ukinipara, nitakuparua!. Kwa vile no one knows uparuaji wake, unaweza kuwa mchungu kuliko Shubiri, hivyo natoa wito kwa waandishi wenzangu wa habari tujitahidi sana tusije mpara Mama, Shubiri, tutaionja.

Happy Press Freedom Day.
Paskali
Rejea za Mama Samia anavyoongea vizuri
Hiyo ndiyo maana ya uhuru wa habari hapa Tanzania. No need to seek the truth? Ndiyo maana Watanzania tunashindwa kwenye usaili mwingi wa kimataifa. Fikra fikirishi zinatupa taabu sana!! Come again!

Sent from my ONEPLUS A5000 using JamiiForums mobile app
 
Wanabodi

Rais Samia ambaye ni Rais Mwanamke wa Kizanzibari mwenye lugha tamu laini na lafudhi ya Kizanzibari, yenye maneno na vineno, vitamu hadi raha kumsikiliza haku ukitamani asimalize kuzungumza.

Leo kwenye maadhimisho ya Siku ya Kimataifa ya Uhuru wa habari, Rais Samia katamka maneno haya


"Ukinikuna Vizuri, mimi nakukuna huku nnakupapasa tena na kukupuliza ufu ufu ". Lakini "Ukinipara...Nakuparura!" - Hivi Vijineno!, Japo Vitamu Hadi Raha Kusikiliza!.

Hili ni onyo la kiana kwa vyombo vya habari, tujitahidi kumkuna Mama ili na yeye atukune, na atupapase. Tuepuke kumpara, asije kutuparura!. Ikitokea Mwandishi wa habari akampara Mama, no one knows huko kumparura, style ya Mama ya kumparura ikoje!. Kule nyuma aliwahi kutoa onyo kama hilo kuwa "ukimzengua, tutazenguana", Leo ni "ukinipara, nitakuparua!. Kwa vile no one knows uparuaji wake, unaweza kuwa mchungu kuliko Shubiri, hivyo natoa wito kwa waandishi wenzangu wa habari tujitahidi sana tusije mpara Mama, Shubiri, tutaionja.

Happy Press Freedom Day.
Paskali
Rejea za Mama Samia anavyoongea vizuri

Mi nadhani ili wasimpare, basi ajitahidi asiwe na magamba. Ama sivyo, wataparurana sana. Na sijui mwisho utakuwaje?
 
Wanabodi

Rais Samia ambaye ni Rais Mwanamke wa Kizanzibari mwenye lugha tamu laini na lafudhi ya Kizanzibari, yenye maneno na vineno, vitamu hadi raha kumsikiliza haku ukitamani asimalize kuzungumza.

Leo kwenye maadhimisho ya Siku ya Kimataifa ya Uhuru wa habari, Rais Samia katamka maneno haya


"Ukinikuna Vizuri, mimi nakukuna huku nnakupapasa tena na kukupuliza ufu ufu ". Lakini "Ukinipara...Nakuparura!" - Hivi Vijineno!, Japo Vitamu Hadi Raha Kusikiliza!.

Hili ni onyo la kiana kwa vyombo vya habari, tujitahidi kumkuna Mama ili na yeye atukune, na atupapase. Tuepuke kumpara, asije kutuparura!. Ikitokea Mwandishi wa habari akampara Mama, no one knows huko kumparura, style ya Mama ya kumparura ikoje!. Kule nyuma aliwahi kutoa onyo kama hilo kuwa "ukimzengua, tutazenguana", Leo ni "ukinipara, nitakuparua!. Kwa vile no one knows uparuaji wake, unaweza kuwa mchungu kuliko Shubiri, hivyo natoa wito kwa waandishi wenzangu wa habari tujitahidi sana tusije mpara Mama, Shubiri, tutaionja.

Happy Press Freedom Day.
Paskali
Rejea za Mama Samia anavyoongea vizuri

Huyu ni Rais WA ajabu. Kinachoudhi ni udhalilishaji WA urais anaofanya kama kujirusha hivyo na jk na mbaya zaidi mabeberu wamesnza kumla shaaaaame
 
Acheni mama ajinafasi. JK alisema “ukila lazima uliwe”, na Mwinyi alisema “uchumi mumeukalia”
Uchumi mumeukalia ni nyerere,mwinyi aliwataka wahaya wakazane Sana kwenye migomba na kahawa,kipindi hicho neno unakazwa ndiyo linabamba
 
Uchumi mumeukalia ni nyerere,mwinyi aliwataka wahaya wakazane Sana kwenye migomba na kahawa,kipindi hicho neno unakazwa ndiyo linabamba
Fuatilia. Siyo Nyerere, ni Mwinyi ndo alisema kuhusu kuukalia uchumi. Ngoja wakongwe zaidi watie neno. But I stay with my point.
 
Inategemea ngozi yako.

Lakini...ndio uhuru wa kusema. Haki yake.
Umeona ee!
Maana mtu anaweza kuwa na ukurutu si rahisi kumkuna sawa na mwenye muwasho kidogo.
So, hapo inategemea na kuwashwa kwa kiwango gani.
Wengine ukiwakuna taratibu ndo wanasinzia kabisaaa. Inabidi kuwapara kidogo au hata zaidi ili wastuke usingizini!
 
Mimi sijawahi kuona utamu wa lugha anayotumia Rais ila naona mipasho, kejli, dharau, kujigamba na mafumbo ya taarabu tu
 
Back
Top Bottom