Jumbe Brown
JF-Expert Member
- Jun 23, 2020
- 12,077
- 12,786
"Kukuna" kunakuwaje ukakasi katika lahaja zetu za kiswahili?!!!😳😳Lakini kutumia maneno yenye ukakasi (kupanua-jpm) na sasa (kukuna -ssh) ni sawa kwa viongozi wa hadhi yao?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
"Kukuna" kunakuwaje ukakasi katika lahaja zetu za kiswahili?!!!😳😳Lakini kutumia maneno yenye ukakasi (kupanua-jpm) na sasa (kukuna -ssh) ni sawa kwa viongozi wa hadhi yao?
Bi mkubwa ana mbwe mbwe sana.. [emoji23][emoji23]
Si kweli Comrade mimi nipo na mama muda wote, bila shaka nimeamua kuunga juhudi kimyakimya 😀Mkuu wangu Nyboma vipi umekuwaje kaka mkubwa ?!!!
Ama roho inakuuma kwa kuwa "enzi iliyopita" hamkuwa mkisafiri kwenda Ulaya zaidi ya humuhumu tu ?!!!!!!
Kisa posho eeee?!!! 🤣🤣
#Siempre JMT🙏
Chui jike anataka kukunwa vizuri, raha kama nini, wakunaji upele mzee mtauweza 😂😂😂Nani kama mama?
View attachment 2209853
Wanabodi
Rais Samia ambaye ni Rais Mwanamke wa Kizanzibari mwenye lugha tamu laini na lafudhi ya Kizanzibari, yenye maneno na vineno, vitamu hadi raha kumsikiliza haku ukitamani asimalize kuzungumza.
Leo kwenye maadhimisho ya Siku ya Kimataifa ya Uhuru wa habari, Rais Samia katamka maneno haya
"Ukinikuna Vizuri, mimi nakukuna huku nnakupapasa tena na kukupuliza ufu ufu ". Lakini "Ukinipara...Nakuparura!" - Hivi Vijineno!, Japo Vitamu Hadi Raha Kusikiliza!.
Hili ni onyo la kiana kwa vyombo vya habari, tujitahidi kumkuna Mama ili na yeye atukune, na atupapase. Tuepuke kumpara, asije kutuparura!. Ikitokea Mwandishi wa habari akampara Mama, no one knows huko kumparura, style ya Mama ya kumparura ikoje!. Kule nyuma aliwahi kutoa onyo kama hilo kuwa "ukimzengua, tutazenguana", Leo ni "ukinipara, nitakuparua!. Kwa vile no one knows uparuaji wake, unaweza kuwa mchungu kuliko Shubiri, hivyo natoa wito kwa waandishi wenzangu wa habari tujitahidi sana tusije mpara Mama, Shubiri, tutaionja.
Happy Press Freedom Day.
Paskali
Rejea za Mama Samia anavyoongea vizuri
Siku ya Wanawake Duniani: VP Samia Suluhu: "Womanly, Genuine, Humble, Simple na Down To Earth!”
Wanabodi, Leo asubuhi nimeangalia kipindi cha mahojiano ya Makamo wa Rais Mhe. Samia Suluhu Hassan akizungumzia Siku ya Wanawake Duniani kwenye TBC akihojiwa na Shabani Kissu. Kwa Waliosikiliza kipindi hiki, kiukweli huyu ni mwanamke wa kupigiwa mfano, mtanisamehe sina maneno ya Kiswahili ya...www.jamiiforums.com
"Watu waachwe Huru kuujadili Muungano"- VP, Samia Suluhu Hassan. Huyu mama anaongea vizuri kwa Unyenyekevu mpaka raha. Huchoki kumsikiliza
Wanabodi, Niko kwenye voluntariy lockdown, hivyo leo nimepata fursa ya kuangalia TV ya Zanzibar, ZBC, Mwandishi wa habari wa CCM Zanzibar, Daudi Ismail anamhoji Makamo wa Rais wa JMT, Mhe. Samia Suluhu Hassan anauzungumzia Muungano, kiukweli huyu Mama Samia anauzumguza vizuri muungano huku...www.jamiiforums.com
Balire kasema Samia kainua muhimili wa uhandishi wa abari uliokuwa umeanguka,kumbe kuna kuparulana,sasa nikipi kilichoinuka kama bado kuna vitisho vya kuparulana?Hapo utakuta waandishi wamempigia makofi baada ya kauli hiyo.Ashindwe kuparura Panya wa Barabarani anakwenda kuparura waandishi?
Sent from my M2003J15SC using JamiiForums mobile app
Mama kama mamaNani kama mama?
View attachment 2209853
12 behind.[emoji23][emoji23][emoji23]Iwafikie Yanga sports club maana kesho wanapapaswa
Uliona wapi Waislamu wanapiga makofi,vigelegele,kupiga mbinja au kuruka ruka kama kwa Kuhani Musa popote pale?Hivi angeenda sherehe za BAKWATA akatoa hicho kijineno mbele ya Mufti unadhani wangeshangiliaje?
Wanakaaga kituoni Kama mangi yupo dukaniAskari polisi wamejazana kikosi cha usalama barabarani wakati mtaani hakuna usalama! Nchi hii!
Kifo Cha jpm mungu alitupendaKifo cha JPM kimetuachia matatizo na aibu kubwa sana
Nilikua nasikia tu bongofleva wanasifia 'jicho nusu mwezi'...bongo wako sahihiNani kama mama?
View attachment 2209853
Wanabodi
Rais Samia ambaye ni Rais Mwanamke wa Kizanzibari mwenye lugha tamu laini na lafudhi ya Kizanzibari, yenye maneno na vineno, vitamu hadi raha kumsikiliza haku ukitamani asimalize kuzungumza.
Leo kwenye maadhimisho ya Siku ya Kimataifa ya Uhuru wa habari, Rais Samia katamka maneno haya
"Ukinikuna Vizuri, mimi nakukuna huku nnakupapasa tena na kukupuliza ufu ufu ". Lakini "Ukinipara...Nakuparura!" - Hivi Vijineno!, Japo Vitamu Hadi Raha Kusikiliza!.
Hili ni onyo la kiana kwa vyombo vya habari, tujitahidi kumkuna Mama ili na yeye atukune, na atupapase. Tuepuke kumpara, asije kutuparura!. Ikitokea Mwandishi wa habari akampara Mama, no one knows huko kumparura, style ya Mama ya kumparura ikoje!. Kule nyuma aliwahi kutoa onyo kama hilo kuwa "ukimzengua, tutazenguana", Leo ni "ukinipara, nitakuparua!. Kwa vile no one knows uparuaji wake, unaweza kuwa mchungu kuliko Shubiri, hivyo natoa wito kwa waandishi wenzangu wa habari tujitahidi sana tusije mpara Mama, Shubiri, tutaionja.
Happy Press Freedom Day.
Paskali
Rejea za Mama Samia anavyoongea vizuri
Siku ya Wanawake Duniani: VP Samia Suluhu: "Womanly, Genuine, Humble, Simple na Down To Earth!”
Wanabodi, Leo asubuhi nimeangalia kipindi cha mahojiano ya Makamo wa Rais Mhe. Samia Suluhu Hassan akizungumzia Siku ya Wanawake Duniani kwenye TBC akihojiwa na Shabani Kissu. Kwa Waliosikiliza kipindi hiki, kiukweli huyu ni mwanamke wa kupigiwa mfano, mtanisamehe sina maneno ya Kiswahili ya...www.jamiiforums.com
"Watu waachwe Huru kuujadili Muungano"- VP, Samia Suluhu Hassan. Huyu mama anaongea vizuri kwa Unyenyekevu mpaka raha. Huchoki kumsikiliza
Wanabodi, Niko kwenye voluntariy lockdown, hivyo leo nimepata fursa ya kuangalia TV ya Zanzibar, ZBC, Mwandishi wa habari wa CCM Zanzibar, Daudi Ismail anamhoji Makamo wa Rais wa JMT, Mhe. Samia Suluhu Hassan anauzungumzia Muungano, kiukweli huyu Mama Samia anauzumguza vizuri muungano huku...www.jamiiforums.com