Rais Samia: Ukinikuna Vizuri, mimi nakukuna huku nnakupapasa na kukupuliza. Lakini "Ukinipara...Nakuparura!

Rais Samia: Ukinikuna Vizuri, mimi nakukuna huku nnakupapasa na kukupuliza. Lakini "Ukinipara...Nakuparura!

Aanze kuwaparura waliotafuna kodi zetu kwa ufisadi, kama ana maanisha aanze na ripoti ya CAG Ili tuthibitishe kauli yake kuwa ni kweli na sio furahisha julwaa
 
Mabandiko mwendelezo

P
 
Mabandiko mwendelezo

P
Hii thread sijamuona FaizaFoxy

Akuje atie neno (comment).

Cc Pascal Mayalla
 
Hii thread sijamuona FaizaFoxy

Akuje atie neno (comment).

Cc Pascal Mayalla
Neno lipi? Nimeiona, lakini wote mama alipotafsiri neno la kingereza "scratch my back I'll scratch yours" hamkumuelewa.

"Dirty minds" kwa wengi kupoteza muda mrefu kwenye websites za uchafu ndizo zinawafanya wengi humu wapayuke kutokana na yao waliyazowea.

Ni kama alivyosema Kikwete, kula uliwe. Kuna tofauti ipi walichomaanisha? Kivyangu walichomaanisha ni kimoja kwa mada tofauti.

Naona tupo kwenye "paradigm" tofauti ya uelewa.
 
Rais Mama yangu tuko pamoja!! ila Mama usiyaparure sana maana haya madude km si watu vile! baadhi ya Matanganyika ni majinga majinga mnoo! km magonjwa vile! make yataisha kwa pressure yamejichokea mnooo!........

unaliambia hivi linajibu vile!! tembelea hapa Mbagala Hospitali/kigamboni manispaa kwenyewe pale uyaparure kidogo na mikucha ya kipaka mpaka yakome! mie ntakuongoza pa kuanzia nambie tu unakuja lini huku......
Ntatoa NAURI YAngu nije.....
 
Nchi Ngumu Sana
Weye ndo Mugumu! jipake greases! ulainike tena zipo madukani bei rajisi tu!...Nchi imeshikwa na Mama mzuri! na asikudnaganye mtu wa Mama ni watu ndo wanabeba familia zooote Duniani! wamekuza mijabaliii na mijabali!

tuwapende mnoo!
 
Back
Top Bottom