Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii thread sijamuona FaizaFoxyMabandiko mwendelezo
Uhuru wa Habari Tanzania: Kati ya Waparaji na Wakunaji Wazuri, Nani Watamsaidia Zaidi Rais Samia?. Tunakuomba Mama, Usiwaparure Waparaji!.
Wanabodi, Hii ni makala ya Jumapili hii Kama kawaida yangu, kila nipatapo fursa, huja na zile makala zangu za "Kwa Maslahi ya Taifa" Siku ya Mei 3 kila mwaka ni Maadhimisho ya Siku ya Kimataifa ya Uhuru wa Vyombo vya Habari. Nchini Tanzania, siku hii imeadhimishwa Kitaifa jijini Arusha, mgeni...www.jamiiforums.com
PKauli ya Rais kwa waandishi 'Wapara' kuwa wakimpara "Atawaparua", Je Rais Samia ni katili?, Soma Jinsi ya kuwabaini makatili!. Ni kutumia macho tu!.
Wanabodi, Moja ya matumizi mazuri ya mitandao ya kijamii ni kuhabarishana, kuelimishana, kuburudishana, nakusaidiana. Ikitokea kuna jambo unalijua, mwenzako halijui, msaidie kumuelimisha kwa kutumia experience yako kuelimisha wengine nao wajue. Ila kauli ya Rais Samia aliyoitoa siku ya Uhuru...www.jamiiforums.com
Nami namsubiri aje atie neno, karibu bibi,
Neno lipi? Nimeiona, lakini wote mama alipotafsiri neno la kingereza "scratch my back I'll scratch yours" hamkumuelewa.
Weye ndo Mugumu! jipake greases! ulainike tena zipo madukani bei rajisi tu!...Nchi imeshikwa na Mama mzuri! na asikudnaganye mtu wa Mama ni watu ndo wanabeba familia zooote Duniani! wamekuza mijabaliii na mijabali!Nchi Ngumu Sana