Rais Samia: Ukinikuna Vizuri, mimi nakukuna huku nnakupapasa na kukupuliza. Lakini "Ukinipara...Nakuparura!

Bi mkubwa ana mbwe mbwe sana.. [emoji23][emoji23]

Mwacheni 'Bibi Engeza' afanye kazi yake!

Kama mishahara ameshasema ata'engeza'
Bajeti ya maji amesha engeza
Madarasa ameengeza
Vituo vya afya ameengeza...
Bajeti ya miundo mbinu amesha engeza.
Ajira zilikuwa kiduchu, juzi kati ameengeza zingine...
Nk nk
Mungu atupe nini zaidi? πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
Baada ya miaka mingi ya kumkosa mzee Ruksa, sasa tumepata 'Bibi Engeza'.
Nina uhakika kila kitu kitakuwa saafi kabisa...
 
Praise and Worship

Inaonekana Tz itaongoza kwa Marais wake kutomaliza kwa mujibu
 
Mkuu wangu Nyboma vipi umekuwaje kaka mkubwa ?!!!

Ama roho inakuuma kwa kuwa "enzi iliyopita" hamkuwa mkisafiri kwenda Ulaya zaidi ya humuhumu tu ?!!!!!!

Kisa posho eeee?!!! 🀣🀣

#Siempre JMTπŸ™
Si kweli Comrade mimi nipo na mama muda wote, bila shaka nimeamua kuunga juhudi kimyakimya πŸ˜€
 
Kwahiyo Polepole kakunwa au kaparuliwa?
 
Ashindwe kuparura Panya wa Barabarani anakwenda kuparura waandishi?

Sent from my M2003J15SC using JamiiForums mobile app
Balire kasema Samia kainua muhimili wa uhandishi wa abari uliokuwa umeanguka,kumbe kuna kuparulana,sasa nikipi kilichoinuka kama bado kuna vitisho vya kuparulana?Hapo utakuta waandishi wamempigia makofi baada ya kauli hiyo.
 
maneno yananifikirisha.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…