Utangojea sana hakuna cha uchunguzi wala uchambuziukurupukaji na imani potofu za kishirikina mbaki nazo huko huko kwenye vyama vyenu ndrugu zango..
uchunguzi unaendelea bila mbambamba ya mtu au chama chochote cha siasa gentleman, hilo ni jambo la kitaifa
ImeishaUtangojea sana hakuna cha uchunguzi wala uchambuzi
Gentleman
Ova
Acha ufala, huyo ndio mwajiri wake ebo!We ni nani hasa mpaka umpangie mh Rais nini afanye na kwa muda gani??? Who are you??
Ndomana watu wanatembea na biti sahv wanapita na upepo ule ule wanajua polisi uchunguzi hauwezi fanyikaaImeisha
subiri matokeo acha kubabaika mrangiUtangojea sana hakuna cha uchunguzi wala uchambuzi
Gentleman
Ova
Wanatimua Vumbi Tu Popote Pale Njia ImenyooshwaNdomana watu wanatembea na biti sahv wanapita na upepo ule ule wanajua polisi uchunguzi hauwezi fanyikaa
Ova
Acha hiyo ile ripoti ya Mtwara ya Askari kuua raia na yenyewe mpaka leo kimnya. Hii ni danganya toto kwamba yatapita watasahauKumekuwa na utamaduni wa kudanganywa hata na uongozi wa juu. Mama Samia aliomba riport ya kutekwa tekwa kwa watu nchini. Cha ajabu hakuna mtu anaongelea ripoti na wengi kujisahaulisha. Isije ikawa tena tunadanganya danganywa na uongozi wa juu. Chunguzi nyingi za utekaji hazifanyiki maana watekaji wengi wa watu hasa mashuhuri ni hao hao Polisi na usalama. Mo alitekwa , Lussu alipigwa risasi hatujawahi kuona ripoti yeyote.
Swali kuna mtu hata mmoja anajua Mama anaposema ripoti apewa haraka ni hasa kwa muda gani? Mwezi, Mwaka, siku au ...... ukweli ni kwamba ni siasa tu hakuna ripoti. Ikifika sehemu maneno ya Raisi yanapuuzwa na iwe danganya toto iko siku hao hao Polisi na usalama watamgeuka na wataona powa.
Kwamba Ripoti Ipatikane Haraka sana , alimaanisha kabla ya kumaliza Kipindi chake cha uongoziImeisha
JPM ni mzima wa afyaKassim Majaliwa hadi leo hajaleta ripoti ya kuungua soko la Kariakoo tangu 2021 .
Lini mtaacha kuwaamini hawa waongo?
Damu ya mtu sio bia wee jamaa. Maandiko yanasema Kwenye Ulimi kuna uzima na mauti na waupendao watashiba matunda yake. Acha kufanya spining openely ili haki ya watu ibakie ardhini na wewe ufurahie kisa tu mmetofautiana itikadi. When it is your turn hutakua na wa kulian nae, jiepushe sana ndugu it is a friendly reminderNi muhimu mno pakawepo na ustahimilivu na subra kwenye hilo,
Nadhani sote ni mashuhuda kwa jinsi ambavyo mashahidi muhimu hususani kutoka vyama vya siasa nchini , wanavyokaidi na kudinda kutoa ushirikiano kwa vyombo vya uchunguzi mpaka walazimishwe. Huo ni miongoni mwa ucheleweshaji wa makusudi wa muafaka wa jambo hilo..
Na hilo nadhani linaweza kuibua mashaka zaidi na na kuonyesha picha halisi ya ugumu wa kufikia muafaka wa mapema kuhusu jambo hilo baya zaidi kutokea Tanzania.
Nachelea kutoa rai kwa wananchi wenzangu wote, kuwa watulivu, wakati uchunguzi ukiendelea, ili hatimae ukweli wa mambo na wahusika waweze kujulikana na kuchukuliwa hatua mujarabu za kisheria, kwa dhuluma waliyoifanya kwa mwanadamu mwezao 🐒
nikireply kwa maandiko nadhani ntakuchanganya zadi,Damu ya mtu sio bia wee jamaa. Maandiko yanasema Kwenye Ulimi kuna uzima na mauti na waupendao watashiba matunda yake. Acha kufanya spining openely ili haki ya watu ibakie ardhini na wewe ufurahie kisa tu mmetofautiana itikadi. When it is your turn hutakua na wa kulian nae, jiepushe sana ndugu it is a friendly reminder
keshapewa siku ile ile kauchuna. Kwani kuna haja ya uchunguzi? upiImeishaaaa hiyooo
Msitegeme ripoti wala ripotaa
Ova
Hahaha.. DaahImeishaaaa hiyooo
Msitegeme ripoti wala ripotaa
Ova