Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yuko Mkoani Ruvuma kwenye majukumu ya kitaifa kwa ratiba maalumu sawaKumekuwa na utamaduni wa kudanganywa hata na uongozi wa juu. Mama Samia aliomba riport ya kutekwa tekwa kwa watu nchini. Cha ajabu hakuna mtu anaongelea ripoti na wengi kujisahaulisha. Isije ikawa tena tunadanganya danganywa na uongozi wa juu. Chunguzi nyingi za utekaji hazifanyiki maana watekaji wengi wa watu hasa mashuhuri ni hao hao Polisi na usalama. Mo alitekwa , Lussu alipigwa risasi hatujawahi kuona ripoti yeyote.
Swali kuna mtu hata mmoja anajua Mama anaposema ripoti apewa haraka ni hasa kwa muda gani? Mwezi, Mwaka, siku au ...... ukweli ni kwamba ni siasa tu hakuna ripoti. Ikifika sehemu maneno ya Raisi yanapuuzwa na iwe danganya toto iko siku hao hao Polisi na usalama watamgeuka na wataona powa.
Usitetee uozo hakuna cha ripoti wala nini, hizo ripoti kila siku zinaimbwa na hakuna hata moja iliyotoka.Ni muhimu mno pakawepo na ustahimilivu na subra kwenye hilo,
Nadhani sote ni mashuhuda kwa jinsi ambavyo mashahidi muhimu hususani kutoka vyama vya siasa nchini , wanavyokaidi na kudinda kutoa ushirikiano kwa vyombo vya uchunguzi mpaka walazimishwe. Huo ni miongoni mwa ucheleweshaji wa makusudi wa muafaka wa jambo hilo..
Na hilo nadhani linaweza kuibua mashaka zaidi na na kuonyesha picha halisi ya ugumu wa kufikia muafaka wa mapema kuhusu jambo hilo baya zaidi kutokea Tanzania.
Nachelea kutoa rai kwa wananchi wenzangu wote, kuwa watulivu, wakati uchunguzi ukiendelea, ili hatimae ukweli wa mambo na wahusika waweze kujulikana na kuchukuliwa hatua mujarabu za kisheria, kwa dhuluma waliyoifanya kwa mwanadamu mwezao 🐒
Maaaamako!!Acha ufala, huyo ndio mwajiri wake ebo!
Lakini ile kesi ya Tigo kule London imesha toa majibu kuwa wauaji, watekaji na wafanya mipango hiyo ni kina nani.
Ila watambue tuu, utawala mwingine ukiingia madarakani eitha kwa uchaguzi au nguvu ya kijeshi kuna watu mnawaheshimu leo mtawaona Ukonga au Isanga wakisubiri kitanzi.
Taratibu tutafika!
Ma..t..k.o weKwani nani mwajiri wa Rais??
Fala weHiyo ya kuomba uchunguzi haraka ilikuwa ni mbinu tu ya kuwafanya watu wapunguze hasira lakini ukweli mhusika wa kutoa maelekezo ni yeye.mhalifu hawezi kujichunguza .
Mo alitekwa, Lussu (Lisu) alipigwa risasi.Kumekuwa na utamaduni wa kudanganywa hata na uongozi wa juu. Mama Samia aliomba riport ya kutekwa tekwa kwa watu nchini. Cha ajabu hakuna mtu anaongelea ripoti na wengi kujisahaulisha. Isije ikawa tena tunadanganya danganywa na uongozi wa juu. Chunguzi nyingi za utekaji hazifanyiki maana watekaji wengi wa watu hasa mashuhuri ni hao hao Polisi na usalama. Mo alitekwa , Lussu alipigwa risasi hatujawahi kuona ripoti yeyote.
Swali kuna mtu hata mmoja anajua Mama anaposema ripoti apewa haraka ni hasa kwa muda gani? Mwezi, Mwaka, siku au ...... ukweli ni kwamba ni siasa tu hakuna ripoti. Ikifika sehemu maneno ya Raisi yanapuuzwa na iwe danganya toto iko siku hao hao Polisi na usalama watamgeuka na wataona powa.
Ripoti tulishampa tayari.Kumekuwa na utamaduni wa kudanganywa hata na uongozi wa juu. Mama Samia aliomba riport ya kutekwa tekwa kwa watu nchini. Cha ajabu hakuna mtu anaongelea ripoti na wengi kujisahaulisha. Isije ikawa tena tunadanganya danganywa na uongozi wa juu. Chunguzi nyingi za utekaji hazifanyiki maana watekaji wengi wa watu hasa mashuhuri ni hao hao Polisi na usalama. Mo alitekwa , Lussu alipigwa risasi hatujawahi kuona ripoti yeyote.
Swali kuna mtu hata mmoja anajua Mama anaposema ripoti apewa haraka ni hasa kwa muda gani? Mwezi, Mwaka, siku au ...... ukweli ni kwamba ni siasa tu hakuna ripoti. Ikifika sehemu maneno ya Raisi yanapuuzwa na iwe danganya toto iko siku hao hao Polisi na usalama watamgeuka na wataona powa.
Miklós Németh waziri mkuu wa Hungary anaikumbuka barua ya kutoka kijijini
Kawatangazia Watanzania ili mapoyoyo wafahamu kuwa linamuum na analifanyia kazi.
Lakini hajasema kuwa ripoti anazopewa ni kwa ajili ya macho na masikio ya kila mtu.
Ripoti nyingi tu za kiusalama huwa zinafanyiwa kazi kimya kimya na wahusika ni wale walioapishwa tu.
Nchi zina siri kubwa sana.
Nadhani hata wewe, kwenye ukoo wako tu, kuna siri ambazo huzitangazi.
Ona jinga hili!Maaaamako!!