Rais Samia uliomba ripoti ya "haraka" kuhusu utekaji nchini! Haraka ni muda gani?

Rais Samia uliomba ripoti ya "haraka" kuhusu utekaji nchini! Haraka ni muda gani?

Kumekuwa na utamaduni wa kudanganywa hata na uongozi wa juu. Mama Samia aliomba riport ya kutekwa tekwa kwa watu nchini. Cha ajabu hakuna mtu anaongelea ripoti na wengi kujisahaulisha. Isije ikawa tena tunadanganya danganywa na uongozi wa juu. Chunguzi nyingi za utekaji hazifanyiki maana watekaji wengi wa watu hasa mashuhuri ni hao hao Polisi na usalama. Mo alitekwa , Lussu alipigwa risasi hatujawahi kuona ripoti yeyote.

Swali kuna mtu hata mmoja anajua Mama anaposema ripoti apewa haraka ni hasa kwa muda gani? Mwezi, Mwaka, siku au ...... ukweli ni kwamba ni siasa tu hakuna ripoti. Ikifika sehemu maneno ya Raisi yanapuuzwa na iwe danganya toto iko siku hao hao Polisi na usalama watamgeuka na wataona powa.
Kuna usemi wanasema "kesi ya ngedere unampelekea nyani""
Naomba niishie hapo
 
Acha ufala, huyo ndio mwajiri wake ebo!
Lakini ile kesi ya Tigo kule London imesha toa majibu kuwa wauaji, watekaji na wafanya mipango hiyo ni kina nani.
Ila watambue tuu, utawala mwingine ukiingia madarakani eitha kwa uchaguzi au nguvu ya kijeshi kuna watu mnawaheshimu leo mtawaona Ukonga au Isanga wakisubiri kitanzi.
Taratibu tutafika!
Acha bangi
 
Kumekuwa na utamaduni wa kudanganywa hata na uongozi wa juu. Mama Samia aliomba riport ya kutekwa tekwa kwa watu nchini. Cha ajabu hakuna mtu anaongelea ripoti na wengi kujisahaulisha. Isije ikawa tena tunadanganya danganywa na uongozi wa juu. Chunguzi nyingi za utekaji hazifanyiki maana watekaji wengi wa watu hasa mashuhuri ni hao hao Polisi na usalama. Mo alitekwa , Lussu alipigwa risasi hatujawahi kuona ripoti yeyote.

Swali kuna mtu hata mmoja anajua Mama anaposema ripoti apewa haraka ni hasa kwa muda gani? Mwezi, Mwaka, siku au ...... ukweli ni kwamba ni siasa tu hakuna ripoti. Ikifika sehemu maneno ya Raisi yanapuuzwa na iwe danganya toto iko siku hao hao Polisi na usalama watamgeuka na wataona powa.
MAmbo ya serikali ndivyo yalivyo
 
Ukimya kuhusu watekaji na wauaji ni sifa kwa Viongozi wetu? Yaani wanaona kabisa hilo nalo litapita? Mungu hazihakiwi maana anaona ambayo binadamu hawezi kuona.
 
Hapana, siyo kweli.
.Ripoti nyingi sana hupaswi hata kuzisikia wala kuziona.
. Kwa kukujuza tu, Rais ana vyombo vingi vya dola na kila kimoja kinaweza kufanya uchunguzi kikampelekea bila hata hivyo vyombo vyenyewe kujuwana.

Na yeye anazifanyia kazi ripoti na kuzifanyia maamuzi ipaswavyo na anavyoona sawa kwa wakati huo.

Unaweza kuwa mchunguzi wa chombo kimoja na wewe unachunguzwa na chombo kingine, kwa jujijuwa au bila hata kujijuwa.

Rais kishaamuru yafanyiwe uchunguzi, elewa inafanyika hivyo.

Kwa Rais ndiyo "where the buck stops".

View: https://youtu.be/15W2ZC1D2Bo?si=SBMAe9muK5CW736e

Na hiyo wafanye uchunguzi. Mama hakuna chochote anapelekewa na ndiyo supporter mkuu wa utesaji huu
 
Watajulikana tu wliomteka, au kama alijiteka mwenyewe, pia itajulikana.

Wanajulikana tayari! Wanasema waliowateka ni Polisi naona mnajisahaulisha kila siku. Kuna kijana alitekwa na kupigwa risasi na kamtaja mtekaji hakuna hata uchunguzi. Tatizo hapa ni kwamba waliotekwa ni Chadema ndiyo maana mnafumbia macho hakuna uchunguzi wowote na Mama ndiyo anafurahia haya

Na waliotekwa sio wawili kuna wengi mpaka leo hawajapatikana
 
Watajulikana tu wliomteka, au kama alijiteka mwenyewe, pia itajulikana.
Hebu eleza mtu anawezaje kujiteka?

Tupe mfano wewe unawezaje kujifanyia "self abduction".

Maana naona mnachukulia haya masuala kimzaha tu sababu familia za viongozi zinalindwa na wanausalama kwa pesa za umma na wao hawaoni matishio ya usalama wao na hasa ukizingatia mafungamano ya CCM na vyombo vya ulinzi na usalama.
 
Kumekuwa na utamaduni wa kudanganywa hata na uongozi wa juu. Mama Samia aliomba riport ya kutekwa tekwa kwa watu nchini. Cha ajabu hakuna mtu anaongelea ripoti na wengi kujisahaulisha. Isije ikawa tena tunadanganya danganywa na uongozi wa juu. Chunguzi nyingi za utekaji hazifanyiki maana watekaji wengi wa watu hasa mashuhuri ni hao hao Polisi na usalama. Mo alitekwa , Lussu alipigwa risasi hatujawahi kuona ripoti yeyote.

Swali kuna mtu hata mmoja anajua Mama anaposema ripoti apewa haraka ni hasa kwa muda gani? Mwezi, Mwaka, siku au ...... ukweli ni kwamba ni siasa tu hakuna ripoti. Ikifika sehemu maneno ya Raisi yanapuuzwa na iwe danganya toto iko siku hao hao Polisi na usalama watamgeuka na wataona powa.
Nawewe uliuamini ule unafiki.pole sana
 
Kumekuwa na utamaduni wa kudanganywa hata na uongozi wa juu. Mama Samia aliomba riport ya kutekwa tekwa kwa watu nchini. Cha ajabu hakuna mtu anaongelea ripoti na wengi kujisahaulisha. Isije ikawa tena tunadanganya danganywa na uongozi wa juu. Chunguzi nyingi za utekaji hazifanyiki maana watekaji wengi wa watu hasa mashuhuri ni hao hao Polisi na usalama. Mo alitekwa , Lussu alipigwa risasi hatujawahi kuona ripoti yeyote.

Swali kuna mtu hata mmoja anajua Mama anaposema ripoti apewa haraka ni hasa kwa muda gani? Mwezi, Mwaka, siku au ...... ukweli ni kwamba ni siasa tu hakuna ripoti. Ikifika sehemu maneno ya Raisi yanapuuzwa na iwe danganya toto iko siku hao hao Polisi na usalama watamgeuka na wataona powa.


Mama kaambiwa watekaji ni Polisi sasa pagumu
 
Alietekwa anamtaja fulani ndie kaniteka lakini cha ajabu hata uchunguzi tu wa kinafiki haufanyiki, hata mahojiano ya kinafiki na alietajwa hayafanyiki.... Wananchi mnapewa majibu rahisi kwamba alietekwa alitekwa na washkaji zake

Juzi hapa mtu kanusurika kutekwa, waliojaribu kumteka aliwatambua ni askari polisi, wananchi nao kwa kuona video wakawatambua watekaji ni askari polisi lakini cha ajabu hadi leo hakuna chochote kimeendelea
 
Kumekuwa na utamaduni wa kudanganywa hata na uongozi wa juu. Mama Samia aliomba riport ya kutekwa tekwa kwa watu nchini. Cha ajabu hakuna mtu anaongelea ripoti na wengi kujisahaulisha. Isije ikawa tena tunadanganya danganywa na uongozi wa juu. Chunguzi nyingi za utekaji hazifanyiki maana watekaji wengi wa watu hasa mashuhuri ni hao hao Polisi na usalama. Mo alitekwa , Lussu alipigwa risasi hatujawahi kuona ripoti yeyote.

Swali kuna mtu hata mmoja anajua Mama anaposema ripoti apewa haraka ni hasa kwa muda gani? Mwezi, Mwaka, siku au ...... ukweli ni kwamba ni siasa tu hakuna ripoti. Ikifika sehemu maneno ya Raisi yanapuuzwa na iwe danganya toto iko siku hao hao Polisi na usalama watamgeuka na wataona powa.
Kwa nia njema, isipokuwa hiyo haraka imekosa baraka. Jambo letu lilikamilishwa kwa "tuzoee kifo.
 
Kumekuwa na utamaduni wa kudanganywa hata na uongozi wa juu. Mama Samia aliomba riport ya kutekwa tekwa kwa watu nchini. Cha ajabu hakuna mtu anaongelea ripoti na wengi kujisahaulisha. Isije ikawa tena tunadanganya danganywa na uongozi wa juu. Chunguzi nyingi za utekaji hazifanyiki maana watekaji wengi wa watu hasa mashuhuri ni hao hao Polisi na usalama. Mo alitekwa , Lussu alipigwa risasi hatujawahi kuona ripoti yeyote.

Swali kuna mtu hata mmoja anajua Mama anaposema ripoti apewa haraka ni hasa kwa muda gani? Mwezi, Mwaka, siku au ...... ukweli ni kwamba ni siasa tu hakuna ripoti. Ikifika sehemu maneno ya Raisi yanapuuzwa na iwe danganya toto iko siku hao hao Polisi na usalama watamgeuka na wataona powa.
Mlimsikia kwenye msiba wa Mafuru kwamba alijivua urais Zanzibar.
Hajui kutumia ulimi wake vyema.

Usitegemee kitu hapo
 
Kumekuwa na utamaduni wa kudanganywa hata na uongozi wa juu. Mama Samia aliomba riport ya kutekwa tekwa kwa watu nchini. Cha ajabu hakuna mtu anaongelea ripoti na wengi kujisahaulisha. Isije ikawa tena tunadanganya danganywa na uongozi wa juu. Chunguzi nyingi za utekaji hazifanyiki maana watekaji wengi wa watu hasa mashuhuri ni hao hao Polisi na usalama. Mo alitekwa , Lussu alipigwa risasi hatujawahi kuona ripoti yeyote.

Swali kuna mtu hata mmoja anajua Mama anaposema ripoti apewa haraka ni hasa kwa muda gani? Mwezi, Mwaka, siku au ...... ukweli ni kwamba ni siasa tu hakuna ripoti. Ikifika sehemu maneno ya Raisi yanapuuzwa na iwe danganya toto iko siku hao hao Polisi na usalama watamgeuka na wataona powa.
Tanzânia tume huundwa nyuma ya mikamera majibu ya tume nyuma ya pazia, endelea kusubiri
 
Back
Top Bottom