Rais Samia uliomba ripoti ya "haraka" kuhusu utekaji nchini! Haraka ni muda gani?

Rais Samia uliomba ripoti ya "haraka" kuhusu utekaji nchini! Haraka ni muda gani?

Kumekuwa na utamaduni wa kudanganywa hata na uongozi wa juu. Mama Samia aliomba riport ya kutekwa tekwa kwa watu nchini. Cha ajabu hakuna mtu anaongelea ripoti na wengi kujisahaulisha. Isije ikawa tena tunadanganya danganywa na uongozi wa juu. Chunguzi nyingi za utekaji hazifanyiki maana watekaji wengi wa watu hasa mashuhuri ni hao hao Polisi na usalama. Mo alitekwa , Lussu alipigwa risasi hatujawahi kuona ripoti yeyote.

Swali kuna mtu hata mmoja anajua Mama anaposema ripoti apewa haraka ni hasa kwa muda gani? Mwezi, Mwaka, siku au ...... ukweli ni kwamba ni siasa tu hakuna ripoti. Ikifika sehemu maneno ya Raisi yanapuuzwa na iwe danganya toto iko siku hao hao Polisi na usalama watamgeuka na wataona powa.
Muuaji alikua anachapia tu.
Ukiwa huna akili huna tu, bora shetani marehemu hakuwahi kusema mauaji yachunguzwe
 
Utakuwa huijui nchi yako kama uliamini na ulihisi yupo serious, tulifunika kombe na mwanaharamu keshapita kiongozi, tunaangalia ushindi wa ccm 99% mwaka huu na mwakani maisha yaendelee. Wafu watazikana wenyewe haituhusu. Ccm oyee, ccm juu! Kuna mwenye swariii?
 
Kumekuwa na utamaduni wa kudanganywa hata na uongozi wa juu. Mama Samia aliomba riport ya kutekwa tekwa kwa watu nchini. Cha ajabu hakuna mtu anaongelea ripoti na wengi kujisahaulisha. Isije ikawa tena tunadanganya danganywa na uongozi wa juu. Chunguzi nyingi za utekaji hazifanyiki maana watekaji wengi wa watu hasa mashuhuri ni hao hao Polisi na usalama. Mo alitekwa , Lussu alipigwa risasi hatujawahi kuona ripoti yeyote.

Swali kuna mtu hata mmoja anajua Mama anaposema ripoti apewa haraka ni hasa kwa muda gani? Mwezi, Mwaka, siku au ...... ukweli ni kwamba ni siasa tu hakuna ripoti. Ikifika sehemu maneno ya Raisi yanapuuzwa na iwe danganya toto iko siku hao hao Polisi na usalama watamgeuka na wataona powa.
Alikuwa anapooza tu hasira ya umma, lakini yote yaliyofanyika yalikuwa na baraka zake. Hakuna ripoti yoyoye itatolewa, na ikitolewa itajaa upotoshaji mwingi.
 
Kumekuwa na utamaduni wa kudanganywa hata na uongozi wa juu. Mama Samia aliomba riport ya kutekwa tekwa kwa watu nchini. Cha ajabu hakuna mtu anaongelea ripoti na wengi kujisahaulisha. Isije ikawa tena tunadanganya danganywa na uongozi wa juu. Chunguzi nyingi za utekaji hazifanyiki maana watekaji wengi wa watu hasa mashuhuri ni hao hao Polisi na usalama. Mo alitekwa , Lussu alipigwa risasi hatujawahi kuona ripoti yeyote.

Swali kuna mtu hata mmoja anajua Mama anaposema ripoti apewa haraka ni hasa kwa muda gani? Mwezi, Mwaka, siku au ...... ukweli ni kwamba ni siasa tu hakuna ripoti. Ikifika sehemu maneno ya Raisi yanapuuzwa na iwe danganya toto iko siku hao hao Polisi na usalama watamgeuka na wataona powa.
Hujajibu swali, ulitaka ripoti aliyoitaka Rais upewe wewe?
 
Kondoo wana maajabu sana, wanataka ripoti ya Rais wapewe wao.
 
Hujajibu swali, ulitaka ripoti aliyoitaka Rais upewe wewe?


Ripoti zikitoka Raisi anatakiwa kutangaza kama alivyotangaza wachunguze!

Imefika wakati wengine hapa mnatetea mpaka ujinga sasa. Hata hamjitambui tena. Yaani watu wanauliwa nyie mnatetea tu kila kitu🤔 kuna siri gani kwenye hizi ripoti… yaani wauaji ni siri siku hizi.

Watu wanajuana kwa vilemba kweli
 
Ripoti zikitoka Raisi anatakiwa kutangaza kama alivyotangaza wachunguze!

Imefika wakati wengine hapa mnatetea mpaka ujinga sasa. Hata hamjitambui tena. Yaani watu wanauliwa nyie mnatetea tu kila kitu🤔 kuna siri gani kwenye hizi ripoti… yaani wauaji ni siri siku hizi.

Watu wanajuana kwa vilemba kweli
Hapana, siyo kweli.
.Ripoti nyingi sana hupaswi hata kuzisikia wala kuziona.
. Kwa kukujuza tu, Rais ana vyombo vingi vya dola na kila kimoja kinaweza kufanya uchunguzi kikampelekea bila hata hivyo vyombo vyenyewe kujuwana.

Na yeye anazifanyia kazi ripoti na kuzifanyia maamuzi ipaswavyo na anavyoona sawa kwa wakati huo.

Unaweza kuwa mchunguzi wa chombo kimoja na wewe unachunguzwa na chombo kingine, kwa jujijuwa au bila hata kujijuwa.

Rais kishaamuru yafanyiwe uchunguzi, elewa inafanyika hivyo.

Kwa Rais ndiyo "where the buck stops".
 
Hapana, siyo kweli.
.Ripoti nyingi sana hupaswi hata kuzisikia wala kuziona.
. Kwa kukujuza tu, Rais ana vyombo vingi vya dola na kila kimoja kinaweza kufanya uchunguzi kikampelekea bila hata hivyo vyombo vyenyewe kujuwana.

Na yeye anazifanyia kazi ripoti na kuzifanyia maamuzi ipaswavyo na anavyoona sawa kwa wakati huo.

Unaweza kuwa mchunguzi wa chombo kimoja na wewe unachunguzwa na chombo kingine, kwa jujijuwa au bila hata kujijuwa.

Rais kishaamuru yafanyiwe uchunguzi, elewa inafanyika hivyo.

Kwa Rais ndiyo "where the buck stops".


Sasa kulikuwa na ulazima gani Raisi kusema hadharani anataka ripoti wati huo huo hawataki hata tuhoji kama wamepata ripoti. Nani kasema ripoti iwe wazi tunahoji tu je amapata ripoti yaani ya hiyo ni siri!.

Tumefika pabaya sana na uchawa
 
Kumekuwa na utamaduni wa kudanganywa hata na uongozi wa juu. Mama Samia aliomba riport ya kutekwa tekwa kwa watu nchini. Cha ajabu hakuna mtu anaongelea ripoti na wengi kujisahaulisha. Isije ikawa tena tunadanganya danganywa na uongozi wa juu. Chunguzi nyingi za utekaji hazifanyiki maana watekaji wengi wa watu hasa mashuhuri ni hao hao Polisi na usalama. Mo alitekwa , Lussu alipigwa risasi hatujawahi kuona ripoti yeyote.

Swali kuna mtu hata mmoja anajua Mama anaposema ripoti apewa haraka ni hasa kwa muda gani? Mwezi, Mwaka, siku au ...... ukweli ni kwamba ni siasa tu hakuna ripoti. Ikifika sehemu maneno ya Raisi yanapuuzwa na iwe danganya toto iko siku hao hao Polisi na usalama watamgeuka na wataona powa.
Haraka kwa Afrika ni kuanzia miaka kumi.
 
Back
Top Bottom