- Thread starter
- #101
Haraka kwa Afrika ni kuanzia miaka kumi.
Huyu Mama ni mwongo mwongo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haraka kwa Afrika ni kuanzia miaka kumi.
Vigogo hao waliomzunguka Miklós Németh mgeni aliyeingia kibahati katika nafasi hiyo ya juu serikalini, walikuwa wanajua Miklós Németh hataweza
Kuna usemi wanasema "kesi ya ngedere unampelekea nyani""Kumekuwa na utamaduni wa kudanganywa hata na uongozi wa juu. Mama Samia aliomba riport ya kutekwa tekwa kwa watu nchini. Cha ajabu hakuna mtu anaongelea ripoti na wengi kujisahaulisha. Isije ikawa tena tunadanganya danganywa na uongozi wa juu. Chunguzi nyingi za utekaji hazifanyiki maana watekaji wengi wa watu hasa mashuhuri ni hao hao Polisi na usalama. Mo alitekwa , Lussu alipigwa risasi hatujawahi kuona ripoti yeyote.
Swali kuna mtu hata mmoja anajua Mama anaposema ripoti apewa haraka ni hasa kwa muda gani? Mwezi, Mwaka, siku au ...... ukweli ni kwamba ni siasa tu hakuna ripoti. Ikifika sehemu maneno ya Raisi yanapuuzwa na iwe danganya toto iko siku hao hao Polisi na usalama watamgeuka na wataona powa.
Acha bangiAcha ufala, huyo ndio mwajiri wake ebo!
Lakini ile kesi ya Tigo kule London imesha toa majibu kuwa wauaji, watekaji na wafanya mipango hiyo ni kina nani.
Ila watambue tuu, utawala mwingine ukiingia madarakani eitha kwa uchaguzi au nguvu ya kijeshi kuna watu mnawaheshimu leo mtawaona Ukonga au Isanga wakisubiri kitanzi.
Taratibu tutafika!
MAmbo ya serikali ndivyo yalivyoKumekuwa na utamaduni wa kudanganywa hata na uongozi wa juu. Mama Samia aliomba riport ya kutekwa tekwa kwa watu nchini. Cha ajabu hakuna mtu anaongelea ripoti na wengi kujisahaulisha. Isije ikawa tena tunadanganya danganywa na uongozi wa juu. Chunguzi nyingi za utekaji hazifanyiki maana watekaji wengi wa watu hasa mashuhuri ni hao hao Polisi na usalama. Mo alitekwa , Lussu alipigwa risasi hatujawahi kuona ripoti yeyote.
Swali kuna mtu hata mmoja anajua Mama anaposema ripoti apewa haraka ni hasa kwa muda gani? Mwezi, Mwaka, siku au ...... ukweli ni kwamba ni siasa tu hakuna ripoti. Ikifika sehemu maneno ya Raisi yanapuuzwa na iwe danganya toto iko siku hao hao Polisi na usalama watamgeuka na wataona powa.
Jinga Babaako mzaziOna jinga hili!
Hapana, siyo kweli.
.Ripoti nyingi sana hupaswi hata kuzisikia wala kuziona.
. Kwa kukujuza tu, Rais ana vyombo vingi vya dola na kila kimoja kinaweza kufanya uchunguzi kikampelekea bila hata hivyo vyombo vyenyewe kujuwana.
Na yeye anazifanyia kazi ripoti na kuzifanyia maamuzi ipaswavyo na anavyoona sawa kwa wakati huo.
Unaweza kuwa mchunguzi wa chombo kimoja na wewe unachunguzwa na chombo kingine, kwa jujijuwa au bila hata kujijuwa.
Rais kishaamuru yafanyiwe uchunguzi, elewa inafanyika hivyo.
Kwa Rais ndiyo "where the buck stops".
View: https://youtu.be/15W2ZC1D2Bo?si=SBMAe9muK5CW736e
Na hiyo wafanye uchunguzi. Mama hakuna chochote anapelekewa na ndiyo supporter mkuu wa utesaji huu
Watajulikana tu wliomteka, au kama alijiteka mwenyewe, pia itajulikana.
Hebu eleza mtu anawezaje kujiteka?Watajulikana tu wliomteka, au kama alijiteka mwenyewe, pia itajulikana.
Nawewe uliuamini ule unafiki.pole sanaKumekuwa na utamaduni wa kudanganywa hata na uongozi wa juu. Mama Samia aliomba riport ya kutekwa tekwa kwa watu nchini. Cha ajabu hakuna mtu anaongelea ripoti na wengi kujisahaulisha. Isije ikawa tena tunadanganya danganywa na uongozi wa juu. Chunguzi nyingi za utekaji hazifanyiki maana watekaji wengi wa watu hasa mashuhuri ni hao hao Polisi na usalama. Mo alitekwa , Lussu alipigwa risasi hatujawahi kuona ripoti yeyote.
Swali kuna mtu hata mmoja anajua Mama anaposema ripoti apewa haraka ni hasa kwa muda gani? Mwezi, Mwaka, siku au ...... ukweli ni kwamba ni siasa tu hakuna ripoti. Ikifika sehemu maneno ya Raisi yanapuuzwa na iwe danganya toto iko siku hao hao Polisi na usalama watamgeuka na wataona powa.
Kumekuwa na utamaduni wa kudanganywa hata na uongozi wa juu. Mama Samia aliomba riport ya kutekwa tekwa kwa watu nchini. Cha ajabu hakuna mtu anaongelea ripoti na wengi kujisahaulisha. Isije ikawa tena tunadanganya danganywa na uongozi wa juu. Chunguzi nyingi za utekaji hazifanyiki maana watekaji wengi wa watu hasa mashuhuri ni hao hao Polisi na usalama. Mo alitekwa , Lussu alipigwa risasi hatujawahi kuona ripoti yeyote.
Swali kuna mtu hata mmoja anajua Mama anaposema ripoti apewa haraka ni hasa kwa muda gani? Mwezi, Mwaka, siku au ...... ukweli ni kwamba ni siasa tu hakuna ripoti. Ikifika sehemu maneno ya Raisi yanapuuzwa na iwe danganya toto iko siku hao hao Polisi na usalama watamgeuka na wataona powa.
Mtu anawezaje kujiteka mwenyewe kama una akili timamu?Watajulikana tu wliomteka, au kama alijiteka mwenyewe, pia itajulikana.
Ukikuwa utayajuwa.Mtu anawezaje kujiteka mwenyewe kama una akili timamu?
Kwa nia njema, isipokuwa hiyo haraka imekosa baraka. Jambo letu lilikamilishwa kwa "tuzoee kifo.Kumekuwa na utamaduni wa kudanganywa hata na uongozi wa juu. Mama Samia aliomba riport ya kutekwa tekwa kwa watu nchini. Cha ajabu hakuna mtu anaongelea ripoti na wengi kujisahaulisha. Isije ikawa tena tunadanganya danganywa na uongozi wa juu. Chunguzi nyingi za utekaji hazifanyiki maana watekaji wengi wa watu hasa mashuhuri ni hao hao Polisi na usalama. Mo alitekwa , Lussu alipigwa risasi hatujawahi kuona ripoti yeyote.
Swali kuna mtu hata mmoja anajua Mama anaposema ripoti apewa haraka ni hasa kwa muda gani? Mwezi, Mwaka, siku au ...... ukweli ni kwamba ni siasa tu hakuna ripoti. Ikifika sehemu maneno ya Raisi yanapuuzwa na iwe danganya toto iko siku hao hao Polisi na usalama watamgeuka na wataona powa.
Mlimsikia kwenye msiba wa Mafuru kwamba alijivua urais Zanzibar.Kumekuwa na utamaduni wa kudanganywa hata na uongozi wa juu. Mama Samia aliomba riport ya kutekwa tekwa kwa watu nchini. Cha ajabu hakuna mtu anaongelea ripoti na wengi kujisahaulisha. Isije ikawa tena tunadanganya danganywa na uongozi wa juu. Chunguzi nyingi za utekaji hazifanyiki maana watekaji wengi wa watu hasa mashuhuri ni hao hao Polisi na usalama. Mo alitekwa , Lussu alipigwa risasi hatujawahi kuona ripoti yeyote.
Swali kuna mtu hata mmoja anajua Mama anaposema ripoti apewa haraka ni hasa kwa muda gani? Mwezi, Mwaka, siku au ...... ukweli ni kwamba ni siasa tu hakuna ripoti. Ikifika sehemu maneno ya Raisi yanapuuzwa na iwe danganya toto iko siku hao hao Polisi na usalama watamgeuka na wataona powa.
Tanzânia tume huundwa nyuma ya mikamera majibu ya tume nyuma ya pazia, endelea kusubiriKumekuwa na utamaduni wa kudanganywa hata na uongozi wa juu. Mama Samia aliomba riport ya kutekwa tekwa kwa watu nchini. Cha ajabu hakuna mtu anaongelea ripoti na wengi kujisahaulisha. Isije ikawa tena tunadanganya danganywa na uongozi wa juu. Chunguzi nyingi za utekaji hazifanyiki maana watekaji wengi wa watu hasa mashuhuri ni hao hao Polisi na usalama. Mo alitekwa , Lussu alipigwa risasi hatujawahi kuona ripoti yeyote.
Swali kuna mtu hata mmoja anajua Mama anaposema ripoti apewa haraka ni hasa kwa muda gani? Mwezi, Mwaka, siku au ...... ukweli ni kwamba ni siasa tu hakuna ripoti. Ikifika sehemu maneno ya Raisi yanapuuzwa na iwe danganya toto iko siku hao hao Polisi na usalama watamgeuka na wataona powa.