Rais Samia uliomba ripoti ya "haraka" kuhusu utekaji nchini! Haraka ni muda gani?

Rais Samia uliomba ripoti ya "haraka" kuhusu utekaji nchini! Haraka ni muda gani?

Kumekuwa na utamaduni wa kudanganywa hata na uongozi wa juu. Mama Samia aliomba riport ya kutekwa tekwa kwa watu nchini. Cha ajabu hakuna mtu anaongelea ripoti na wengi kujisahaulisha. Isije ikawa tena tunadanganya danganywa na uongozi wa juu. Chunguzi nyingi za utekaji hazifanyiki maana watekaji wengi wa watu hasa mashuhuri ni hao hao Polisi na usalama. Mo alitekwa , Lussu alipigwa risasi hatujawahi kuona ripoti yeyote.

Swali kuna mtu hata mmoja anajua Mama anaposema ripoti apewa haraka ni hasa kwa muda gani? Mwezi, Mwaka, siku au ...... ukweli ni kwamba ni siasa tu hakuna ripoti. Ikifika sehemu maneno ya Raisi yanapuuzwa na iwe danganya toto iko siku hao hao Polisi na usalama watamgeuka na wataona powa.
Yuko msibani! Anajali waliokufa kuliko walio hai!
Just typical!
 
Hapo point yako nini? Kama ni kweli alikamtwa halafu akauwawa ndo inaleta nafuu kwasababu hakutekwa?

What kind of reasoning is this?

Hayo mengine ya hizo edited clips za Lissu hayahusiani na swali langu kwako.
 
Ile ilikuwa funika kombe mwanaharamu apite, alikuwa anazuga tu huku akichekea tumboni .
 
Sina habari hiyo.

Weka hicho kifungu tukisome.

Heeee 😳😳😳
Kumbe kazi ipo!
Sasa Kwanini unajifanya kujua zaidi @ Mpendwa?!

Unazani vile Viongozi wa awamu zilizopita (isipokuwa ya JPM) ambavyo walikuwa wakihutubia Taifa regularly ulizani inategemea na hisani ya Rais ??
 
Heeee 😳😳😳
Kumbe kazi ipo!
Sasa Kwanini unajifanya kujua zaidi @ Mpendwa?!

Unazani vile Viongozi wa awamu zilizopita (isipokuwa ya JPM) ambavyo walikuwa wakihutubia Taifa regularly ulizani inategemea na hisani ya Rais ??
Wacha kubabwaja na kuhororoja bila mpango:

Weka hicho kifungu tukisome.
 
Wacha kubabwaja na kuhororoja bila mpango:

Weka hicho kifungu tukisome.

Hapana sio Siri umenishangaza mno kupita kiasi! 🤔🤔🤔
Kuna minimum understanding ya mambo inatarajiwa mtu mwenye umri fulani awe anajua hata kama sio msomi.
 
Back
Top Bottom