Rais Samia umeingizwa mjini, hukupaswa kumwondoa Paul Makonda kwenye Uenezi

Rais Samia umeingizwa mjini, hukupaswa kumwondoa Paul Makonda kwenye Uenezi

Mushkov

JF-Expert Member
Joined
Feb 16, 2024
Posts
357
Reaction score
686
Kumwondoa Paul Makonda kwenye uenezi umeharibu kabisa. Makonda anakubalika sana hata na baadhi wasio wana CCM, kwa hiyo angeweza kuvuta vijana na watu wengi sana.
Makonda ana kipaji cha pekee cha kukubalika na watu.
Mama, washauri wako wamekuingiza mjini na pengine yawezekana kwa maslahi yao binafsi.

Akina Makalla 50 ni sawa na Makonda mmoja.
Pole yetu pia watanzania wote.
 
Kumwondoa Paul Makonda kwenye uenezi umeharibu kabisa. Makonda anakubalika sana hata na baadhi wasio wana CCM, kwa hiyo angeweza kuvuta vijana na watu wengi sana.
Makonda ana kipaji cha pekee cha kukubalika na watu.
Mama, washauri wako wamekuingiza mjini na pengine yawezekana kwa maslahi yao binafsi.

Akina Makalla 50 ni sawa na Makonda mmoja.
Pole yetu pia watanzania wote.
Acha uongo
 
Kumwondoa Paul Makonda kwenye uenezi umeharibu kabisa. Makonda anakubalika sana hata na baadhi wasio wana CCM, kwa hiyo angeweza kuvuta vijana na watu wengi sana.
Makonda ana kipaji cha pekee cha kukubalika na watu.
Mama, washauri wako wamekuingiza mjini na pengine yawezekana kwa maslahi yao binafsi.

Akina Makalla 50 ni sawa na Makonda mmoja.
Pole yetu pia watanzania wote.
Utafiti huo umeufanya lini kuwa makonda anakubalika hasa na vijana?na nani kakupa usemaji wao?jina la makonda linahusishwa na utekaji wa binadamu,uuaji,attempted murders,dhuluma etc etc,upumbavu wa middle class ndio unamwona kama ni Mr Clean!!
 
Bashite hebu tulia, wewe katusaidie kuinyoosha Arusha
 
Acha uongo
Siyo uongo bali ndiye uwezo wake wa kutafakari mambo ulipo. Siyo huyu tu. Mtaani kuna vijana wengi wanaona kama Makonda ni bonge la kiongozi na kiongozi mzuri ndiyo anatakiwa kufanya hivyo. Unajua kuna watu wengi ambao bado hawajui matatizo ya nchi yetu yamesababishwa na nini na ni nini kifanyike kuyaondoa.
 
Kwa kauli zake za kejeli alishaanza kuwa tishio kwa wenzake ndani ya CCM.
Hukumbuki Kuna mkuu wa mkoa Fulani aliitwa akaenda kwa kukimbia? Predeshee mwenyewe Mutu ya watu, Mutu ya starehe bingwa wa mahesabu alivyotembelewa na Bashite hakuwa na confo.
 
Makonda ana mambo ya ovyo.....ila kiusema kweli ana amasha amsha 😂😂😂😂 anajua kujitrendisha huku hacheki kama sio yeye.

Angeacha uropokaji na kujivisha madaraka, misafara ya kukera .....naona alikua vyema.

Au nasema uongo wanaccm wenzangu??!!
 
Kumwondoa Paul Makonda kwenye uenezi umeharibu kabisa. Makonda anakubalika sana hata na baadhi wasio wana CCM, kwa hiyo angeweza kuvuta vijana na watu wengi sana.
Makonda ana kipaji cha pekee cha kukubalika na watu.
Mama, washauri wako wamekuingiza mjini na pengine yawezekana kwa maslahi yao binafsi.

Akina Makalla 50 ni sawa na Makonda mmoja.
Pole yetu pia watanzania wote.
Hatimaye mpango wa kumtema Samia 2025 umepikwa na kupikika kwa uhakika.

Wazenji hata hawajitambui wanakenua tu meno yao!! Samia kwa heri ya kuonana
 
Kumwondoa Paul Makonda kwenye uenezi umeharibu kabisa. Makonda anakubalika sana hata na baadhi wasio wana CCM, kwa hiyo angeweza kuvuta vijana na watu wengi sana.
Makonda ana kipaji cha pekee cha kukubalika na watu.
Mama, washauri wako wamekuingiza mjini na pengine yawezekana kwa maslahi yao binafsi.

Akina Makalla 50 ni sawa na Makonda mmoja.
Pole yetu pia watanzania wote.
Mwache Bashite akapambane na wala mirungi wa Arusha. Huku kwenye uenezi kunataka watu makini zaidi, sio watafuta kiki wanaodhalilisha watu.
 
Bashite @PM bado hajafika, acha atulie kwanza huko Chuga; kuna mahali sahihi atakuja kuibukia!
 
Hi
Siyo uongo bali ndiye uwezo wake wa kutafakari mambo ulipo. Siyo huyu tu. Mtaani kuna vijana wengi wanaona kama Makonda ni bonge la kiongozi na kiongozi mzuri ndiyo anatakiwa kufanya hivyo. Unajua kuna watu wengi ambao bado hawajui matatizo ya nchi yetu yamesababishwa na nini na ni nini kifanyike kuyaondoa.
Hiyo ndo maana yake. Tupo Watanzania wengi mno tunaomwamini Makonda. Huo ndo ukweli na utawatesa sana
 
Hatimaye mpango wa kumtema Samia 2025 umepikwa na kupikika kwa uhakika.

Wazenji hata hawajitambui wanakenua tu meno yao!! Samia kwa heri ya kuonana
Bora, kwanza ni dhambi kwenda)kutembea na mama.
 
Utafiti huo umeufanya lini kuwa makonda anakubalika hasa na vijana?na nani kakupa usemaji wao?jina la makonda linahusishwa na utekaji wa binadamu,uuaji,attempted murders,dhuluma etc etc,upumbavu wa middle class ndio unamwona kama ni Mr Clean!!
Ukweli ni kwamba, kila kitu duniani kina pande mbili. Kuna + na -. Wewe unapomwona mtu fulani ni muuaji wengine wanamwona mtu huyo huyo ni mkombozi kwao.
Kosa la kuua linatokana na sababu za kuua.

Kwa mfano, mtu mmoja kapewa kazi ya kununua madawa na kusambaza Nchi nzima. Badala yake yeye akanunua dawa kidogo tu au akanunua dawa zisizo na ubora unaotakiwa na kusambaza Mahospitalini.
Je, mtu wa namna hii akibainika na kuuawa, kutakuwa na kosa lolote?
Bila shaka hakuna kosa kwani yeye atakuwa ameua watu wengi zaidi kwa kukosa dawa au kwa kutumia dawa zisizo na ubora unaotakiwa.

Kwa hiyo, Issue siyo kuua bali umeua kwa sababu gani?
 
Back
Top Bottom