Rais Samia umeingizwa mjini, hukupaswa kumwondoa Paul Makonda kwenye Uenezi

Rais Samia umeingizwa mjini, hukupaswa kumwondoa Paul Makonda kwenye Uenezi

Ukweli ni kwamba, kila kitu duniani kina pande mbili. Kuna + na -. Wewe unapomwona mtu fulani ni muuaji wengine wanamwona mtu huyo huyo ni mkombozi kwao.
Kosa la kuua linatokana na sababu za kuua.

Kwa mfano, mtu mmoja kapewa kazi ya kununua madawa na kusambaza Nchi nzima. Badala yake yeye akanunua dawa kidogo tu au akanunua dawa zisizo na ubora unaotakiwa na kusambaza Mahospitalini.
Je, mtu wa namna hii akibainika na kuuawa, kutakuwa na kosa lolote?
Bila shaka hakuna kosa kwani yeye atakuwa ameua watu wengi zaidi kwa kukosa dawa au kwa kutumia dawa zisizo na ubora unaotakiwa.

Kwa hiyo, Issue siyo kuua bali umeua kwa sababu gani?
No mkuu,ndio maana nchi zinazojielewa zinakua na mahakama na zilizo huru,makonda sio mahakama mkuu!!ni court of law pekee yenye uamuzi wa kuhukumu
 
Huo ndio ukweli. Makala hashtui. Amepoaaa Aliye mteua naye kamopaa. Sema ametafuta wakufanana naye
Nilichojifunza ni kwamba, Mama anatafuta wa kufanana naye zaidi. Anapenda wapole wapole zaidi siyo wale wakali.
Hapo utajifunza hata kwa Mawaziri anaowateua, hata Makamu wake. Ni wapole wasioweza kukemea na wakaogopwa.
 
Watu makini sahizi wamekaa kimya wanajua 2025 mama atawapa urithi wao, sasa wajomba wasije wakasema nyie mlikuwa hivi hamstahili urithi.

Tupo hapa.
 
Eti SSL anasema amefanya kazi nzuri sana
Halafu anamtengua,,, seriously


YAANI Mama anakung'ata na kukupuliza
 
Yule makala akienda hata kkoo aitishe mkutano wa chama sijui nani ataenda kumsikiliza makonda akiibuka kkoo watu wakajua mwamba yupo pande furani anaweza kuondoka na kijiji.Leo wanajiita watoto wa mjini sijui kuzaliwa dar ndo kuna faida gani.
 
No mkuu,ndio maana nchi zinazojielewa zinakua na mahakama na zilizo huru,makonda sio mahakama mkuu!!ni court of law pekee yenye uamuzi wa kuhukumu
Sawa, lakini sometimes ni bora zaidi mambo yote Yakamalizika papo kwa papo kuliko kusubiri mahakama.
Kwa mfano, unakuta Kiongozi fulani kafanya ujinga wa hali ya juu, kwa hiyo badala ya kukimbilia mahakamani ni bora zaidi kumtandika Makonde papo hapo.
Au, unakuta mwizi yupo kubomoa nyumba yako, utakwenda kwanza mahakamani kumshtaki au utaanza kupambana naye kwanza.
 
Kumwondoa Paul Makonda kwenye uenezi umeharibu kabisa. Makonda anakubalika sana hata na baadhi wasio wana CCM, kwa hiyo angeweza kuvuta vijana na watu wengi sana.
Makonda ana kipaji cha pekee cha kukubalika na watu.
Mama, washauri wako wamekuingiza mjini na pengine yawezekana kwa maslahi yao binafsi.

Akina Makalla 50 ni sawa na Makonda mmoja.
Pole yetu pia watanzania wote.
Makonda anakubalikana wajinga tu,wenye akili tunamuona mbwiga tu,hata JPM alishamstukia ni mbwiga
 
Jamaa ana show-off za kijinga sana
Anataka aonekane hata akikaa
Huo sio uongozi
Hata vitani angekuwa mateka haraka sana huyo
Kama angeacha acting na show-off basi angeweza kazi yoyote
Badilika dogo and grow up
 
Kumwondoa Paul Makonda kwenye uenezi umeharibu kabisa. Makonda anakubalika sana hata na baadhi wasio wana CCM, kwa hiyo angeweza kuvuta vijana na watu wengi sana.
Makonda ana kipaji cha pekee cha kukubalika na watu.
Mama, washauri wako wamekuingiza mjini na pengine yawezekana kwa maslahi yao binafsi.

Akina Makalla 50 ni sawa na Makonda mmoja.
Pole yetu pia watanzania wote.
Unda chama chako umpe uenezi huyo Makonda. Atakufaa
 
Ukweli ni kwamba, kila kitu duniani kina pande mbili. Kuna + na -. Wewe unapomwona mtu fulani ni muuaji wengine wanamwona mtu huyo huyo ni mkombozi kwao.
Kosa la kuua linatokana na sababu za kuua.

Kwa mfano, mtu mmoja kapewa kazi ya kununua madawa na kusambaza Nchi nzima. Badala yake yeye akanunua dawa kidogo tu au akanunua dawa zisizo na ubora unaotakiwa na kusambaza Mahospitalini.
Je, mtu wa namna hii akibainika na kuuawa, kutakuwa na kosa lolote?
Bila shaka hakuna kosa kwani yeye atakuwa ameua watu wengi zaidi kwa kukosa dawa au kwa kutumia dawa zisizo na ubora unaotakiwa.

Kwa hiyo, Issue siyo kuua bali umeua kwa sababu gani?
Kwa hiyo unataka kutuambia kwamba alikuwa sahihi kumshambulia pale Dodoma?.
 
Natamani Sabaya ashike hiyo nafasi,PATACHIMBIKA nchi nzima.CCM itafufuka.
 
Back
Top Bottom