Rais Samia umeingizwa mjini, hukupaswa kumwondoa Paul Makonda kwenye Uenezi

Rais Samia umeingizwa mjini, hukupaswa kumwondoa Paul Makonda kwenye Uenezi

Siyo uongo bali ndiye uwezo wake wa kutafakari mambo ulipo. Siyo huyu tu. Mtaani kuna vijana wengi wanaona kama Makonda ni bonge la kiongozi na kiongozi mzuri ndiyo anatakiwa kufanya hivyo. Unajua kuna watu wengi ambao bado hawajui matatizo ya nchi yetu yamesababishwa na nini na ni nini kifanyike kuyaondoa.
Basi huko mtaani kwenu kuna Mabogus
 
Nilichojifunza ni kwamba, Mama anatafuta wa kufanana naye zaidi. Anapenda wapole wapole zaidi siyo wale wakali.
Hapo utajifunza hata kwa Mawaziri anaowateua, hata Makamu wake. Ni wapole wasioweza kukemea na wakaogopwa.
Hii kitu niliiona siku anawaapisha kina Col Abbas kuwa wakuu wa mikoa alikemea sana swala la uvaaji wa combat wakiwa ofisi za mikoa akidai wakirudi katika majukumu ya kijeshi watazivaa tu. Hakupendezwa kabisa na kauli Brg Gen Ibuge ambaye kwa sasa Maj Gen akiwa mkuu wa mkoa aliwakazia kwenye kikao then akasema mimi ni mwanajeshi.

Sasa hapendi ule ukali na waafrika bila kuwa hivyo hujengi nchi.
 
Kumwondoa Paul Makonda kwenye uenezi umeharibu kabisa. Makonda anakubalika sana hata na baadhi wasio wana CCM, kwa hiyo angeweza kuvuta vijana na watu wengi sana.
Makonda ana kipaji cha pekee cha kukubalika na watu.
Mama, washauri wako wamekuingiza mjini na pengine yawezekana kwa maslahi yao binafsi.

Akina Makalla 50 ni sawa na Makonda mmoja.
Pole yetu pia watanzania wote.
Punguza uongo anakubalika wapi? Si ni huyo alipigwa Chini ubunge Kigamboni Tena akiwa mtoto pendwa.
 
Ukweli ni kwamba, kila kitu duniani kina pande mbili. Kuna + na -. Wewe unapomwona mtu fulani ni muuaji wengine wanamwona mtu huyo huyo ni mkombozi kwao.
Kosa la kuua linatokana na sababu za kuua.

Kwa mfano, mtu mmoja kapewa kazi ya kununua madawa na kusambaza Nchi nzima. Badala yake yeye akanunua dawa kidogo tu au akanunua dawa zisizo na ubora unaotakiwa na kusambaza Mahospitalini.
Je, mtu wa namna hii akibainika na kuuawa, kutakuwa na kosa lolote?
Bila shaka hakuna kosa kwani yeye atakuwa ameua watu wengi zaidi kwa kukosa dawa au kwa kutumia dawa zisizo na ubora unaotakiwa.

Kwa hiyo, Issue siyo kuua bali umeua kwa sababu gani?
Acha kuropoka.
 
Siyo uongo bali ndiye uwezo wake wa kutafakari mambo ulipo. Siyo huyu tu. Mtaani kuna vijana wengi wanaona kama Makonda ni bonge la kiongozi na kiongozi mzuri ndiyo anatakiwa kufanya hivyo. Unajua kuna watu wengi ambao bado hawajui matatizo ya nchi yetu yamesababishwa na nini na ni nini kifanyike kuyaondoa.
Hivi hapo ulipo utakuwa unaandika kwa emotion (hisia kali)hadi unalengwalengwa na machozi.You're completely finished!
 
Hivi hapo ulipo utakuwa unaandika kwa emotion (hisia kali)hadi unalengwalengwa na machozi.You're completely finished!
Umesema ukweli mtupu utadhani uko mbele yangu, unaniangalia. Kwa hali ya nchi yetu ilivyo sasa hivi, nina haki kabisa ya kuwa kwenye hii state ya hisia kali, kulengwa lengwa machozi na completly finished! Huo ndio ukweli kwani sisi wazalendo wa kweli hatukuamini kuwa nchi yetu ingeweza kupata viongozi hovyo kama ilivyo sasa.
 
Umesema ukweli mtupu utadhani uko mbele yangu, unaniangalia. Kwa hali ya nchi yetu ilivyo sasa hivi, nina haki kabisa ya kuwa kwenye hii state ya hisia kali, kulengwa lengwa machozi na completly finished! Huo ndio ukweli kwani sisi wazalendo wa kweli hatukuamini kuwa nchi yetu ingeweza kupata viongozi hovyo kama ilivyo sasa.
Pole sana.Ndiyo mikogo ya maisha.Unexpected and total stranger at home!
 
Kumwondoa Paul Makonda kwenye uenezi umeharibu kabisa. Makonda anakubalika sana hata na baadhi wasio wana CCM, kwa hiyo angeweza kuvuta vijana na watu wengi sana.
Makonda ana kipaji cha pekee cha kukubalika na watu.
Mama, washauri wako wamekuingiza mjini na pengine yawezekana kwa maslahi yao binafsi.

Akina Makalla 50 ni sawa na Makonda mmoja.
Pole yetu pia watanzania wote.
No research no right to speak.
Rubbish
 
Sawa, lakini sometimes ni bora zaidi mambo yote Yakamalizika papo kwa papo kuliko kusubiri mahakama.
Kwa mfano, unakuta Kiongozi fulani kafanya ujinga wa hali ya juu, kwa hiyo badala ya kukimbilia mahakamani ni bora zaidi kumtandika Makonde papo hapo.
Au, unakuta mwizi yupo kubomoa nyumba yako, utakwenda kwanza mahakamani kumshtaki au utaanza kupambana naye kwanza.
Mkuu tuna haki ya ku disagree,kangaroos courts hazina nafasi hapa kwetu,ila push back ni muhimu
 
Kumwondoa Paul Makonda kwenye uenezi umeharibu kabisa. Makonda anakubalika sana hata na baadhi wasio wana CCM, kwa hiyo angeweza kuvuta vijana na watu wengi sana.
Makonda ana kipaji cha pekee cha kukubalika na watu.
Mama, washauri wako wamekuingiza mjini na pengine yawezekana kwa maslahi yao binafsi.

Akina Makalla 50 ni sawa na Makonda mmoja.
Pole yetu pia watanzania wote.
Siasa siyo makelele ya wendawazimu. Siasa ni akili na mikakati.
Kwa hiyo hata Nchimbi na Mwenyekiti wa CCM wote hawafai?
Mnataka Chamani wakajazwe akina Makonda, Bashite, baba Levo, na wengineo wa aina hiyo?
 
Back
Top Bottom