Rais Samia umeingizwa mjini, hukupaswa kumwondoa Paul Makonda kwenye Uenezi

Rais Samia umeingizwa mjini, hukupaswa kumwondoa Paul Makonda kwenye Uenezi

Matatizo ya nchi bado ni yaleyale.

Ujinga
Maradhi
Umasikini

Kiongozi atayeweza kuondoa ujinga atakuwa amefanya jambo la muhimu kuzidi viongozi wote
 
Hivi huoni mbali muekenduguyo akafemapema . Hukuona hiyo ajali nini ?? Ungerudi??
 
Hakubaliki popote, Mikutano yake yote hujazwa kwa amri za mamlaka ya kiserikali. Akienda popote shule zinafungwa, na walimu na watoto wote huelekezwa huko. wafanya kazi wa idara za serikali wote hulazimishwa kuudhuria. Hakuna ampendaye labda wakwe zake.
 
Hakubaliki popote, Mikutano yake yote hujazwa kwa amri za mamlaka ya kiserikali. Akienda popote shule zinafungwa, na walimu na watoto wote huelekezwa huko. wafanya kazi wa idara za serikali wote hulazimishwa kuudhuria. Hakuna ampendaye labda wakwe zake.
Unateseka kutoka wapi
 
Kumwondoa Paul Makonda kwenye uenezi umeharibu kabisa. Makonda anakubalika sana hata na baadhi wasio wana CCM, kwa hiyo angeweza kuvuta vijana na watu wengi sana.
Makonda ana kipaji cha pekee cha kukubalika na watu.
Mama, washauri wako wamekuingiza mjini na pengine yawezekana kwa maslahi yao binafsi.

Akina Makalla 50 ni sawa na Makonda mmoja.
Pole yetu pia watanzania wote.

Kwa hiyo wewe una information za chama tawala na serikali zaidi ya Rais?
 
Kumwondoa Paul Makonda kwenye uenezi umeharibu kabisa. Makonda anakubalika sana hata na baadhi wasio wana CCM, kwa hiyo angeweza kuvuta vijana na watu wengi sana.
Makonda ana kipaji cha pekee cha kukubalika na watu.
Mama, washauri wako wamekuingiza mjini na pengine yawezekana kwa maslahi yao binafsi.

Akina Makalla 50 ni sawa na Makonda mmoja.
Pole yetu pia watanzania wote.
yanga imeonewa
 
Amoss MAKALA anamjua nani , MAKONDA angekusaidia upite bila shida kubwa
 
Wewe ni mtu moja bogus sana, yaani unajifanya kama vile hujui kwamba Makonda ni muuaji kabisa aliyekuwa akiongoza genge la wasiojulikana waliosifika kwa utekaji na mauaji ya watu wasio na hatia wakati wa utawala wa dikteta John Magufuli.

Unajifanya kwamba hujui ni kwa nini alipigwa marufuku kukanyaga ardhi ya Marekani.

You people are very hypocritical and useless.
Toa ushahid na picha, usituletee taarifa za vichochoroni. Sisi ni sovereignty country, nchi ya marekani haiwezi kutuanzishia taarifa za uongo na tukazikubali wakati sisi tunajitegemea na tuna bendera.Labda nikiulize, wakati USA inasema kwamba Sadam anatumia siraha za sumu je ilikuwa kweli? Waliposema Gadaff anatumia siraha za sumu ilikuwa kweli? Acheni taarifa potofu.
 
Toa ushahid na picha, usituletee taarifa za vichochoroni. Sisi ni sovereignty country, nchi ya marekani haiwezi kutuanzishia taarifa za uongo na tukazikubali wakati sisi tunajitegemea na tuna bendera.Labda nikiulize, wakati USA inasema kwamba Sadam anatumia siraha za sumu je ilikuwa kweli? Waliposema Gadaff anatumia siraha za sumu ilikuwa kweli? Acheni taarifa potofu.
Siwezi kukujibu wewe chawa wa Makonda unayetegemea kuishi kwa kulipwa na huyo muuaji ili kumtetea kwenye mitandao ya kijamii na vilevile kajifunze kwanza kuandika ndipo uje nikujibu.
 
Siwezi kukujibu wewe chawa wa Makonda unayetegemea kuishi kwa kulipwa na huyo muuaji ili kumtetea kwenye mitandao ya kijamii na vilevile kajifunze kwanza kuandika ndipo uje nikujibu.
Hauwezi kunijibu kwa, kuwa huna uwezo wa, hoja sahihi za kunijibu. Tanzania watu wengi ni frustrated kama Kigogo, Mange Kimambi, yaan ni kuzushia uongo watu na kuwatukana ili mpate nafuu ya frustration. Na huwa mko tayari kulazimisha watu waukubali ujinga na uongo went.
 
Back
Top Bottom