Rais Samia umeingizwa mjini, hukupaswa kumwondoa Paul Makonda kwenye Uenezi

Rais Samia umeingizwa mjini, hukupaswa kumwondoa Paul Makonda kwenye Uenezi

Tunasubiri nchi itakapoongozwa na wapenda haki ili huyu mhalifu afikishwe kwenye vyombo vya haki.
Mmh hiyo siku labda itatokea kwa kizazi cha ngapi sijui baada yetu....
 
Siyo uongo bali ndiye uwezo wake wa kutafakari mambo ulipo. Siyo huyu tu. Mtaani kuna vijana wengi wanaona kama Makonda ni bonge la kiongozi na kiongozi mzuri ndiyo anatakiwa kufanya hivyo. Unajua kuna watu wengi ambao bado hawajui matatizo ya nchi yetu yamesababishwa na nini na ni nini kifanyike kuyaondoa.
Yaan!! Mama amedondosha shilling choooni. Hivi huyu babu Msoga anafikiri atadumu kuwa na remote miaka yote? Nampa miaka 9 tu, atapoteza kumbukumbu yote awe kama mzee ruksa. Yaan anaivuraga hii nchi kama anavyotaka.
 
Kumwondoa Paul Makonda kwenye uenezi umeharibu kabisa. Makonda anakubalika sana hata na baadhi wasio wana CCM, kwa hiyo angeweza kuvuta vijana na watu wengi sana.
Makonda ana kipaji cha pekee cha kukubalika na watu.
Mama, washauri wako wamekuingiza mjini na pengine yawezekana kwa maslahi yao binafsi.

Akina Makalla 50 ni sawa na Makonda mmoja.
Pole yetu pia watanzania wote.
Muulize Lucas kwanza,mawazo yake yakifanana na yako,basi jua angalao angalao unawazo😁
 
Yaan!! Mama amedondosha shilling choooni. Hivi huyu babu Msoga anafikiri atadumu kuwa na remote miaka yote? Nampa miaka 9 tu, atapoteza kumbukumbu yote awe kama mzee ruksa. Yaan anaivuraga hii nchi kama anavyotaka.
Mbona unamsingizia huyu mwambaaa😁
 
Kumwondoa Paul Makonda kwenye uenezi umeharibu kabisa. Makonda anakubalika sana hata na baadhi wasio wana CCM, kwa hiyo angeweza kuvuta vijana na watu wengi sana.
Makonda ana kipaji cha pekee cha kukubalika na watu.
Mama, washauri wako wamekuingiza mjini na pengine yawezekana kwa maslahi yao binafsi.

Akina Makalla 50 ni sawa na Makonda mmoja.
Pole yetu pia watanzania wote.
Exactly, anatafutia wazee ulaji tu huku utendaji kazi wao ni duni. Nchi inaviongozi mizigo tangu ikulu mpaka kwenye nyumba kumi.
 
Mbona unamsingizia huyu mwambaaa😁
Yaan inatokana na circumstance ilivyotokea. Ni siku chache tu zilipita toka mzee wa, Msoga na kipara wamseme vibaya JPM. Na ndipo Paul alipojibu kwenye mkutano wa kupokea ndege. It's just a logic interpretation guy.
 
Yaan inatokana na circumstance ilivyotokea. Ni siku chache tu zilipita toka mzee wa, Msoga na kipara wamseme vibaya JPM. Na ndipo Paul alipojibu kwenye mkutano wa kupokea ndege. It's just a logic interpretation guy.
Ingekuwa ni mara ya kwanza inatokea hivyo ingekuwa sababu kama hizo,ila alishaonyesha kushindwa mambo kadhaa wa kadha na hata nafasi ya wakati huu ni kumpa kazi ya kufanya kwani amejaza mengi moyoni na akilini🤔
 
Wewe ni mtu moja bogus sana, yaani unajifanya kama vile hujui kwamba Makonda ni muuaji kabisa aliyekuwa akiongoza genge la wasiojulikana waliosifika kwa utekaji na mauaji ya watu wasio na hatia wakati wa utawala wa dikteta John Magufuli.

Unajifanya kwamba hujui ni kwa nini alipigwa marufuku kukanyaga ardhi ya Marekani.

You people are very hypocritical and useless.
 
Kumwondoa Paul Makonda kwenye uenezi umeharibu kabisa. Makonda anakubalika sana hata na baadhi wasio wana CCM, kwa hiyo angeweza kuvuta vijana na watu wengi sana.
Makonda ana kipaji cha pekee cha kukubalika na watu.
Mama, washauri wako wamekuingiza mjini na pengine yawezekana kwa maslahi yao binafsi.

Akina Makalla 50 ni sawa na Makonda mmoja.
Pole yetu pia watanzania wote.
Kila mwenye akili timamu anajua kaingia mkenge. Ngoja tuone mwishowe
 
Utafiti huo umeufanya lini kuwa makonda anakubalika hasa na vijana?na nani kakupa usemaji wao?jina la makonda linahusishwa na utekaji wa binadamu,uuaji,attempted murders,dhuluma etc etc,upumbavu wa middle class ndio unamwona kama ni Mr Clean!!
Hili mbona halihitaji uwe na Elimu.

Mimi Nawewe tunaweza kua Viongozi.

Ila Mimi nikawa napenda sana na watu.

Ni Mungu tu aliamua kumpa Makonda huo Uwezo, ni Uwezo wa watu wachache hapa Duniani ,ni KIBALI unachopewa.


Ukweli ni kua, HAMNA MTU CCM KUANZIA MZEE WA MSOGA MPAKA KWAKO, AMBAYE ANAWEZA KUA NA USHAWISHI, NA KUKUBALIKA KAMA PAUL MAKONDA.
 
Kumwondoa Paul Makonda kwenye uenezi umeharibu kabisa. Makonda anakubalika sana hata na baadhi wasio wana CCM, kwa hiyo angeweza kuvuta vijana na watu wengi sana.
Makonda ana kipaji cha pekee cha kukubalika na watu.
Mama, washauri wako wamekuingiza mjini na pengine yawezekana kwa maslahi yao binafsi.

Akina Makalla 50 ni sawa na Makonda mmoja.
Pole yetu pia watanzania wote.
Seconded
 
Makonda kwenye uenezi walimuweka ajishikize tuu huku wakiendelea kumtafutia nafasi ya kumuweka. Nadhani wameona bora wamrudishe kwenye nafasi ya ukuu wa mkoa kwani ndiko anakokumudu
 
Wewe ndio mpumbavu, kama Mbowe ndiye aliyemuua Wangwe kwa nini sasa hakushitakiwa kwa kosa la mauaji.?⁉️

Na kwa akili ndogo tu huoni kama kitendo cha serikali kutomtia nguvuni Mbowe ni dhihirisho tosha kwamba Wangwe aliuwawa na serikali ya ccm baada ya kubainika kwamba Wangwe alionana uso kwa uso na Daudi Balali nchini Marekani wakati serikali ya Kikwete ikiwa ilidanganya kwamba Balali alikuwa ameshafariki dunia.

Kwa nini kwenye msiba wa Wangwe pale Kemakorere, Tarime wandugu zake walipotaka walete (Independent Pathologist) kutoka Kenya ili aufanyie (Autopsy) mwili wa marehemu ulionekana kuwa na jeraha la risasi serikali ilikataa katakata na kulazimisha (Autopsy) ufanywe na daktari wa serikali ktk hospitali ya wilaya Tarime.

Mbona serikali hiyohiyo ilidai kwamba Wangwe alifariki kwenye ajali ya gari eti kwa uzembe wa dereva wake Mallya aliyefungwa mwaka moja kwa kosa la kusababisha ajali.

Sasa mimi na wewe nani mjinga. Mengi tunafahamu na tunaweza kuiaibisha hii serikali ya ccm vibaya sana. Bure kabisa.
Je wewe huoni kuwa ndo Mpumbavu sana! Kwa nini Makonda hajashitakiwa?
 
Yaani hao kabla ya 2025 watatolewa na kuweka wengine hakuna presure kabisa mongera uwezo wa kujitetea bado akiwekwa kitimoto na wwandishi wa habari
Mfano nyanda au yule mwezake alimhoji lema juzijuzi hapa
 
Back
Top Bottom