Doctor Ngariba
JF-Expert Member
- Jan 28, 2020
- 588
- 951
Hivi Samia anazisoma kweli jumbe zetu hapa jf?
Naamini kama angekuwa anazisoma angebadilika japo kidogo maana hapa pndo centre ya GT.
Mama kama hufuatilii jf kutokana na majukumu nakuomba upatiwe mtu kwa ajili ya kupata taarifa mbalimbali hapa jf ambazo zitakusaidia katika kufanya maamuzi (baadhi).
Naamini kama angekuwa anazisoma angebadilika japo kidogo maana hapa pndo centre ya GT.
Mama kama hufuatilii jf kutokana na majukumu nakuomba upatiwe mtu kwa ajili ya kupata taarifa mbalimbali hapa jf ambazo zitakusaidia katika kufanya maamuzi (baadhi).