Rais Samia unatupa wakati mgumu wanachama wa CCM

Umeanza tena ,mama D kamdomo huponza sana
 
Mimi kwangu jinsia sio hoja. Hoja ni itikadi. Samia sio mjamaa na ni mtu mpenda mali na mbinafsi. Karibu auze bandari zetu zote kwa dubai. Hiyo DP sijaamini kuna tija bali naona itakwaza maendeleo yetu kujitegemea na watatuibia kushirikiana na wahuni. Pia sera za PPP watakuja wahindi wezi tu. Hata huko marekani wameshitukiwa.
 
Vipi Marekani?
Mgombea alisukumizwa bila kuniandaa, Marekani sio wajinga kwamba mtu ateuliwe ndani ya miezi 3 awe Rais tena ashindane na Rais wa zamani ambae alijiandaa kuwa Rais Toka siku ya kwanza.

Wataendelea kusimamisha wagombea na Kuna siku watashinda,maana sio kweli kwamba Democrats wao ni wajinga kuliko nyie.
 
Samia ana kismati hata kama Ni mwanamke. Wewe ungejua Baada ya COVID nchi nyingi zilipatwa msukosuko wa uchumi watu wakapatwa na changamoto za akili, maandamano, nchi za ulaya zikaondoa viongozi, ila Rais Samia Kwa kismati Chake ndio akawa kama kaingia wakati wa neema so, ngoja uchumi wa Dunia ukae vzr utaona itakuwa mara kumi ya sasa.
 
1.Samia anajenga hactarws 500k za umwagiliaji Nchi nzima,na Bajeti ya 1.2 wengine wamewahi fanya?

Nionyeshe nataka twende kimoja baada ya kingine.Na nataka ushahidi Mimi ninazo nitakupa hapa.
Mradi wa SGR wenyewe umejifia waturuki wameondoka site kumebaki maghofu tu .
 
Ndugu yangu, sisi hatujawahi kuwa vizur kiuchumi.
 
Mengine yapi? Mfano mwingine ni Rais gani aliyenunua CT scans Hospital za Mikoa yote Tanzania,MRI Hospital zote za Kanda Tanzania Toka ipate uhuru tofauti na Samia?

Namba za Samia hazilingani na takataka mwingine yeyote.
Kuna rais mmoja ambae alikuja na practical approach, JPM. No offence kwa pres samia, but jpm alianzisha mwngine yalikuwa on motion. Leo hii yanaitwa ya rais fulani
 
RC Dodoma, DED Moshi manispaa! Na Saa100 ni watu wa mitanadoni sana!
 
Kuna rais mmoja ambae alikuja na practical approach, JPM. No offence kwa pres samia, but jpm alianzisha mwngine yalikuwa on motion. Leo hii yanaitwa ya rais fulani
Aliyofanya huyo JPM wako hayakuwa kwenye motion?

Magufuli aliyeshindwa Hadi Ajira atapata wapi hela ikiwa wafanyabiashara walikimbia?

Hakuna Rais wa kumfikia Samia Kwa lolote na Kwa sekta yeyote.

View: https://x.com/TaruraTz/status/1875562845984997476?t=0O2fmqNhyEvCr7x_vS3L9Q&s=19
Samia atakuwa anaonesha kazi hapeleki maneno matupu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…