ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
Ukijiweka pembeni?Siwezi kufanya wizi Kwa wananchi wanyonge mimi it's better kujiweka pembeni wale wenyewe wenye roho za kishetani.
Machawa kama nyie mnatakiwa muuwawe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukijiweka pembeni?Siwezi kufanya wizi Kwa wananchi wanyonge mimi it's better kujiweka pembeni wale wenyewe wenye roho za kishetani.
Machawa kama nyie mnatakiwa muuwawe
Ufisadi uko wapi? Taja miradi yenye ufisadiUfisadi upo tena upo kweli kweli… Ndo yake tunasema mahaba na Chama ndo yanatupotosha … Mi Bus 🚎 30 na Mi posho ya ajabu…. Taarifa ya habari hapa tunaangalia Makada wanatoa ufafanuzi kila siku kisa nini … Naangalia Hapa Vijana vs Wazee wote wamepindisha maneno … Yani sisi tunakosea wapi “Ya Rabbi(أتُنصُرُنا)(يا رب، أتُنصُرُنا) … YANI NIKIMUANGALIA MH MWINYI, MH MAJALIWA, MH DOTTO nachoka 🤲🏽
Ulitegemea taarifa mbaya kama hiyo CCM itaiweka hadharani? Kwa taarifa yako nina uwezo wa kukupelekea mpka nyumbani Kwa aliyefiwa na ushahidi nakupa.Hiyo taarifa haijatoka Hadharani so Haina uhakika, taarifa za hivyo zimetoka sehemu zingine na mamlaka zikachukua hatua.
So acha uzushi
Serious unajua ipo lakini haina haja hapa.Ufisadi uko wapi? Taja miradi yenye ufisadi
Pigia mstarUkijiweka pembeni?
Aliyofanya huyo JPM wako hayakuwa kwenye motion?
Magufuli aliyeshindwa Hadi Ajira atapata wapi hela ikiwa wafanyabiashara walikimbia?
Hakuna Rais wa kumfikia Samia Kwa lolote na Kwa sekta yeyote.
View: https://x.com/TaruraTz/status/1875562845984997476?t=0O2fmqNhyEvCr7x_vS3L9Q&s=19
Samia atakuwa anaonesha kazi hapeleki maneno matupu.
Project aliyoianzisha ni promotion ya kuibeba CCM na kumtetea yeye na kuteka watu na kuwauwaWell ni kipi kipya alichofanya hao wengine hwajafanya?
Kuna vitu magufuli alifanya vikaleta instant impact. Huyu amekuja anatembelea project za mzee ambazo kama angekuwa hai zingeendelea
Project yake ipi ambayo yeye kama yeye kaanzisha?
Kipya ni kufanya mara 2 au zaidi ya wengine na tena sekta muhimuWell ni kipi kipya alichofanya hao wengine hwajafanya?
Kuna vitu magufuli alifanya vikaleta instant impact. Huyu amekuja anatembelea project za mzee ambazo kama angekuwa hai zingeendelea
Project yake ipi ambayo yeye kama yeye kaanzisha?
PorojoPigia mstar
Hizo zilikuwa political ambitions (hakuwa mzuri kwenye politics), lakini kwenye miradi je?Project aliyoianzisha ni promotion ya kuibeba CCM na kumtetea yeye na kuteka watu na kuwauwa
Mimi sijui maana sijaona mradi wowote wa Serikali umefeli eti Kuna ufisadi ,wewe ndio nitajie.Serious unajua ipo lakini haina haja hapa.
Nahisi hao watakuwa ni mashoga sio wanaume halisiUlaya karibu mataifa yote makubwa pale yanaongozwa na Wanawake analeta upumbavu wake.
Kuna mahala mwanamke amewahi shindwa Kuongoza au aseme hapa wenye masuruali wamemzidi nini Samia?
Mbona Mimi kijiweni kwangu wapo watu wengi tena wanaume wanamkubali Samia vizuri Sana Kutokana na delivery yake.
Kifupi jpm alikuwa anakutumia vizur udikteta kwa MASLAHI ya Taifa lakini huyu anautumia udikteta kwa MASLAHI ya viongozi na ma chawa, full stopHizo zilikuwa political ambitions (hakuwa mzuri kwenye politics), lakini kwenye miradi je?
Huyu wa sasa hamfikii kwa utekelezaji na usimamizi wa miradi, jpm hapo tu ndio alikuwa makini sana, kwingine hakuwa vizur
Na mwisho wenu unakuja mashetani wakubwa nyiePorojo
Mimi nina kadi ya muda mrefu.
Marekani nchi iliyoendelea kuliko zote duniani, nchi ambayo mwanaume anaweza kubadili jinsia, akakimbia mke na watoto na jamii ikamkubali.
Nchi hii kwa mara ya pili mfululizo imekataa kuwa na rais mwanamke. Wameona bora shetani kuliko mwanamke mara zote mbili. Sio kwamba Trump anapendwa sana, alishindwa na Biden mwaka 2020 tena akiwa rais.
Tanzania sisi wa mwisho kila kitu na chama changu ccm tunataka kuwaaminisha watanzania kwamba mjita wa mkoani Mara atampigia kura rais mwanamke tena anaevaa ushungi?
Wasukuma jirani zangu wazee wa wanawake weupe kweli watampigia kura mwanamke?
Wazee wangu wayao wa Songea, watu wa kuoa wake hadi wa 4 kweli wataenda kumpigia kura mwanamke awaongoze?
Imetosha CCM, tumeweka historia tayari.
Miaka mitano ni mingi mno, damage itakua kubwa mno.
Si twezi utu wala sibezi uwezo wa Dr Samia, ila tuwe wakweli.
Tanzania bado sana.
Kidumu chama cha mapinduzi.
Katika kipindi cha mwaka 2020-2024, miradi na matukio kadhaa ya ufisadi imejulikana nchini Tanzania, ingawa baadhi ya matukio haya hayajaangaziwa sana kwa umma. Hapa chini ni mifano ya baadhi ya miradi na tuhuma za ufisadi:Mimi sijui maana sijaona mradi wowote wa Serikali umefeli eti Kuna ufisadi ,wewe ndio nitajie.
Viti maalumu vha ubunge na udiwani vya nini enzi hizi?Na hatupingi mfumo dume kwa kutaka kupendelewa ila tunapiga mfumo dume kwa kuwa bora kama anavyoweza kuwa mwanaume katika majukumu yasiyohusisha jinsia
Unakubali viti maalumu vifutwe kila mtu apate ubunge na udiwani kwa kura za raia wapiga kura majimboni tu??Hoja zako zinahusinaje na mwanamke mbona kama hueleweki?
Sema huwezi mpigia Kwa sababu za mfumo dume ila Mimi siwezi kuchagua mtu kisa Jinsia yake ,never