Rais Samia; Urais wa nchi ni mambo makubwa

MKUU PESA ZIPO TENA NYINGI SANA.
Tazama huko bungeni na BOT wanavyokula helza zetu kwa kulipana mabilioni....
Watu waumize vichwa namna ya kujitoa kwenye tatizo hili la matibabu, other wise ukizungumzia serikali tu na kodi zinaweza kumaliza hili tatizo,tutasubiri sana!

hivi kama kila mtanzania (60m) akichangia bima ya afya kwa sh 1000 tu kwa mwaka, hizo ni sh ngapi (6Tr) , haziwezi kweli kusaidia matibabu, au tuna umaskini mkubwa namna hiyo kiasi kwamba hata sh 1000 ni tatizo kwa familia zetu? Mimi siamini, nadhani bado kuna tatizo kubwa la kukuna vichwa kwa tunaowatedemea
 
Umekopa dolla elfu 2,absa benki usd ikiwa 2000Tsh,imefika 2030,usd ipo 3000Tsh,.......by the way kwa muda huo deni lako ni USD 2000X3000.
========
Haya 2030,1 usd imekua 1000Tsh......deni lako litakua 2000X1000.
==========
Note.
Nyerere hadi JK walikopa Trillioni 40,kwa miaka 50,JPM peke yake amekopa Trillioni 27 kwa miaka mitano ,,sawa na 60% ya deni lote
 

Tazama ni kipi kimefanya hiyo $ kupanda, majibu yako humo boss.
 
Upo sawa kabisa. Sijajua huwa wana hesabu vipi. Ngoja nifuatilie. Maana tunakopa kwa USD ila tuna hesabu ka TSh wakati interest rate ni tofauti.
Interest rate ya riba ni ile ile tu ........sema inflation rate ya Tsh ni kubwa mno[emoji16]........
Note.
Africa rais anataka historia liwe somo la lazima kuanzia chekechea,[emoji16]baada ya uchumi,......matokeo yake ndio haya degree holder hajui tofauti ya interest rate na inflation rate[emoji119][emoji3][emoji3]
 
Upo sawa kabisa. Ni lazima kuja na vitu kadhaa
1. Kupunguza matumizi kwa kuhakikisha matumizi mazuri na sahihi kwa fedha tulizo nazo.

2. Tufanye miradi ambayo itaongezea taifa mapato. Mfano, mradi wa umeme wa maji tuta wauzia nchi za SADC.

3. Kuhakikisha mali asili zetu kama taifa zina tusaidia. Vitu kama madini, mbuga na bahari.

Bila hivyo, hatuvuki. Tutabaki kulalamika miaka nenda radi.
 
Uwe unasoma soma na kusikiliza media nani kamwambia 2015 dollar moja ilikuwa 1800 ,hizo takwimu umetoa wapi ndugu
 
Uwe unasoma soma na kusikiliza media nani kamwambia 2015 dollar moja ilikuwa 1800 ,hizo takwimu umetoa wapi ndugu
Hawa ndio wananchi wazalendo wa Tanzania.....waliosoma shule za uchumi wa kati[emoji3][emoji16][emoji16]
 
Actually nilitaka kuandika Exchange rate. Maana kwa maelezo niliyo toa, siyo inflation rate kama unavyo sema na pia siyo interest rate kama nilivyo andika.
 
Actually nilitaka kuandika Exchange rate. Maana kwa maelezo niliyo toa, siyo inflation rate kama unavyo sema na pia siyo interest rate kama nilivyo andika.
Enhe andika sasa vizuri ili tundeleee kuweka data mezani,ndugu mtanzania mzalendo[emoji16][emoji3]
 
Well said. Watu hawana Nyumba lakini tunambiwa estapelekewa umesema. I just don’t get it mukuchika et al wakiugua wana ends nje kwa kodi yetu. Mimi mkulima naenda hospitali ya wilaya na malolactic when I have no income. Hata kuzikana, wao wanazikwa kwa hela zetu. Eti uchumi wa kati. Haya wana siasa wana akili ya kuku, ndiyo maana bunge likajengwa karibu na Milembe hospitali. Kila kitu imekuwa Mungu mungu, just to fool us, Kama kweli kuna Mungu mbona hawaogopi kuiba hela za serikali au kunitumia ovyo see majumba wanayopeaana, those 2 houses could build a school in each village, they deserve it, really? Has anyone checked how much money they have in foreign countries. Ex presidents not to be prosecuted, that is sheria, wamefanya mambo ovyo, wizi etc Waikijua wana kinga. It makes me sick hata wanapoapishwa eti maadili. Where?
 
But how do we stop this, Jakaya was resources minister -angalia hiyo mikstaba ya madini. Leo tunampa hekalu na marupurupu for life. Did he build anything significant? The guy was so corrupt and spent his time visiting other countries. Ex presidents should be made to account on what they did! But hawser I kushitakiws maana wabunge wetu walipitisha sheria hiyo- akili ya kuku kabisa!
 
Hilo la gas wala usizungumze, labda umesahau, tulishaambiwa tulipigwa!! Haina faida yoyote kwetu,
Na tulismbiwa mchana kweupe na hakuna mtu yeyote aliyepinga au kutaka ufafanunuzi wowote,

aliyetuambia alikuwa bungeni wakati huo na ni waziri, ushahidi gani zaidi unataka,
Yeye Ana akili na ndio aliamua ujengwe umeme wa maji.kiufupi (gas tulipigwa).

hivyo viwanda vilikuwepo mkaviua, yeye alikuwa anaanza upya kabisa, maana hatukuwa na nchi wakati huo, ndio maana alianza na umeme wa uhakika kwanza,

kwa akili yako kwa umeme ule wa majenereta ungeweza kuendesha hivyo viwanda?
Kuhusu shule za Veta, unafikiri tuna uhaba wa mafundi kiasi hicho, mbona tunao wengi tu na hawana ajira yeyote, au umeshawaandalia ajira, wengi tu tunao mtaani huku.

kuhusu ndege ndogo, wewe unafsiri vipi ndege ndogo, mbona zito, au Bombardier kwako ni ndege kubwa,

hivi unavyosema zingesubiri kwanza, ulitaka tusubiri mpaka lini mwenzetu, maana tumesubiri miaka 30 hakuna ndege, kwa hiyo neno kusubiri wenzio tulishachoka.

hata kama zidingenunuliwa leo unafikiri hiyo pesa ungeiona, zingekuwa zimeshachotwa, bora ndege zetu tunaziona.
Ooo pole sana MAGUFULI,
Watu wako hawajui wanataka nini
 
RIP Magufuli, not sure if he died of natural causes or he was murdered na wajanja. Tanzania is so rich but the resources are for the benefit of very few families.
 
RIP Magufuli, not sure if he died of natural causes or he was murdered na wajanja. Tanzania is so rich but the resources are for the benefit of very few families.
And the poverty,higher unemployment rate increased a lot in the sessions of JK and SHS[emoji3][emoji3]
 

Alisema tumepigwa, tulipigwa na nani, na ni hatua gani alichukua. Mbona kwenye madini alichukua hatua tukamuona tajiri wa Barrick, huko kwenye Gas alishindwa nini? Alianzisha mahakama ya mafisadi, mbona hakuwashitaki hao wapigaji, zaidi ya yeye kuanzisha mradi wake wa umeme wa maji ili na yeye apige. Watu waliokuwa wanahoji ndio hao alikuwa anaagiza lile kundi lake la watu wasiojulikana waweteke na kuwashambulia kwa risasi.

Ni kweli ndege unaziona, hapo ndio akili yako imeishia, na wala sio tija ya hizo ndege unazoziona. Kimsingi nilijua huna jipya zaidi ya zile propaganda ulizolishwa, lakini hujui uhalisia wowote wa mambo.
 
Magufuli was murdered, and they made sure everyone knew he was dead. Lini uliona maiti inapelekwa huko kule na huko. Ilikuwa kutuonyesha amekufa. Maiti huheshimiwa na kuzikwa ASAP. Njoni muone he is in that box. Ni mzima, all of a sudden amekufa! They have blood in their hands, they never told us the truth in the first instance.
 
Kiongozi umesema jambo kubwa sana.

1. Badiliko la fikra.

Linapatikanaje?

Na litaongozwa na nani?

2. Ulinzi na matumizi ya faida kwa rasilimali zetu.

Mifumo ya kusimamia bila kuweka tamaa binafsi, ipo??

1. Fikra ni huweza kubadilishwa kupitia elimu

2. Tukiweza kubadilika hapo kwenye nambari 1, ina maana nambari 2 haitakuwa kikwazo
 
Viwango vya akili vya Watanzania ni vya chini sana!
sisi sio wajinga, tumeona ulichokuwa ukikitetea humu. wewe ulikuwa fan mkubwa sana wa chadema, alipoingia msukuma mwenzako ikulu hukuwahi kuona kasoro zozote juu yake, kila alichofanya ulitetea isipokuwa vichache sana ambavyo ulikosoa kinafiki. msukuma mwenzako (kama ilivyokuwa kwa JK) alifanya mengi mazuri lakini yapo pia mabaya mengi tu aliyofanya; during JK era uliona mabaya tu yake, but was opposite during msukuma's era. so we know who you are.
either, in a rare case, unaweza ukawa mkatoliki uliyepindukia; pale mkatoliki mwenzako slaa alipoondoka chadema na mkatoliki mwengine kuingia ikulu uliambatana nao! (this goes to mwanakijiji pia)

kwa hiyo we kosoa tu (constructive criticism) that's not a problem and we'll still take it, but at least some of us knows your mwelekeo!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…