Rais Samia usidanganywe kuwa unakubalika sana na 2025 utashinda kirahisi kama Mzee Makamba anaepalilia ugali wa mwanae

Rais Samia usidanganywe kuwa unakubalika sana na 2025 utashinda kirahisi kama Mzee Makamba anaepalilia ugali wa mwanae

Idugunde

JF-Expert Member
Joined
May 21, 2020
Posts
6,404
Reaction score
6,969
Bahati nzuri kila kitu kipo wazi kabisa. Wananchi wanajua kinachoendelea nchini. Hii nchi kwa sasa inavyoendeshwa na akina nani na kundi gani.

Kila mtanzania anajua namna hilo kundi lililokuzunguka linawatafuna namna gani watanzania.

Watanzania wanayo ya moyoni ila 2025 ikikaribia watafunguka.

Mzee Makamba anakudanganya unaupiga mwingi na 2025 utapita kirahisi. Sio kweli labda kama watanzania ni wajinga kama enzi za Chief Mangungo wa Msovero.
 
Never underestimate the stupidity of Tanzanians,2025 diamond na harmonize watazunguka na CCM,mijitu itasahau Kila kitu huku kina zuchu na shilole wakikata viuno stejini.

Hivi tunavyoongea mabongo movie kama kina wema yako vijijini yanawapiga ma-hug wazee wanaojitolea kupigwa chanjo wasioijua
 
Never underestimate the stupidity of Tanzanians,2025 diamond na harmonize watazunguka na CCM,mijitu itasahau Kila kitu huku kina zuchu na shilole wakikata viuno stejini...
Hivi tunavyoongea mabongo movie kama kina wema yako vijijini yanawapiga ma-hug wazee wanaojitolea kupigwa chanjo wasioijua
Sio kila siku ni jumamosi
 
Hebu tuelezee namna gani hilo kundi linatutafuna? Tatizo la nchi hii mtu akikatiwa mrija wake anapiga kelele na kulia kilio huku akishawishi wananchi kuwa ni kilio cha jamii nzima! Nakukumbusha tu ndg kuwa kuimba ni kupokezana
 
Hebu tuelezee namna gani hilo kundi linatutafuna? Tatizo la nchi hii mtu akikatiwa mrija wake anapiga kelele na kulia kilio huku akishawishi wananchi kuwa ni kilio cha jamii nzima! Nakukumbusha tu ndg kuwa kuimba ni kupokezana
Huu mgao wa umeme ni wa kawaida.?
 
Huu mgao wa umeme ni wa kawaida.?
Maelezo yalishatolewa kwanini kuna mgao. Hivi ni kweli hamuoni ukame ulioikumba nchi toka mwaka jana? Tatizo nyinyi ni miongoni mwa wale watekaji mliofikiri ile ni ajira ya kudumu sasa mna hasira kufutwa hiyo ajira. Watu km nyie hamna tofauti na muuza majeneza anayechukia vifo kupungua
 
Kama Magufuli alishinda yeye Kwanini asishinde??, Na toka lini CCM wanategemea kura za raia kushinda?.
Mambo yatabadilika. Wizi wa kura utadhibitiwa. Muulize Jakaya 2010
 
Maelezo yalishatolewa kwanini kuna mgao. Hivi ni kweli hamuoni ukame ulioikumba nchi toka mwaka jana? Tatizo nyinyi ni miongoni mwa wale watekaji mliofikiri ile ni ajira ya kudumu sasa mna hasira kufutwa hiyo ajira. Watu km nyie hamna tofauti na muuza majeneza anayechukia vifo kupungua
Miaka mitano iliyopita kulikuwa hakuna ukame? Kwa nini Makamba amenunua jenerator la Mw 20 kimyakimya.
 
Wew ni shwaini kama jina lako
Wewe ambaye sio shwaini hebu niambie lini uliithibitisha na kujua viambata vya chanjo ya polio na surua uliyochoma wewe na ukoo wako mzima?

Mbona hujawahi kujiuliza viambata vya alkasus na mitishamba unayojichochea kuongeza nguvu za kiume kuwaridhisha wanawake wako?
 
Wewe ambaye sio shwaini hebu niambie lini uliithibitisha na kujua viambata vya chanjo ya polio na surua uliyochoma wewe na ukoo wako mzima? Mbona hujawahi kujiuliza viambata vya alkasus na mitishamba unayojichochea kuongeza nguvu za kiume kuwaridhisha wanawake wako?
Wewe bikini ya shoga kaaa kimya
 
Kwani watanzania hawabadiliki? Ulifuatilia uchaguzi wa 2010? Jakaya alishinda kwa mbinde
Kama walishindwa kubadilika kwenye utawal wa uonevu na ukatili wa magufuli hawatabadilika tena!
 
Back
Top Bottom