Rais Samia usidanganywe kuwa unakubalika sana na 2025 utashinda kirahisi kama Mzee Makamba anaepalilia ugali wa mwanae

Rais Samia usidanganywe kuwa unakubalika sana na 2025 utashinda kirahisi kama Mzee Makamba anaepalilia ugali wa mwanae

Bahati nzuri kila kitu kipo wazi kabisa. Wananchi wanajua kinachoendelea nchini. Hii nchi kwa sasa inavyoendeshwa na akina nani na kundi gani.

Kila mtanzania anajua namna hilo kundi lililokuzunguka linawatafuna namna gani watanzania.

Watanzania wanayo ya moyoni ila 2025 ikikaribia watafunguka.

Mzee Makamba anakudanganya unaupiga mwingi na 2025 utapita kirahisi. Sio kweli labda kama watanzania ni wajinga kama enzi za Chief Mangungo wa Msovero.
Tafadhali sana; Makamba ni Makamba, na Samia ni Samia. Makosa ya Makamba hasira zake zielkezwe kwa Makamba mwenyewe na si kuhamishiwa kwa Samia, kisa tu Samia ni Rais. Samia hajamtuma na wala hawezi kumtuma Makamba kwenda kubwabwaja maneno ya kijinga kwa waTanzania
 
Bahati nzuri kila kitu kipo wazi kabisa. Wananchi wanajua kinachoendelea nchini. Hii nchi kwa sasa inavyoendeshwa na akina nani na kundi gani.

Kila mtanzania anajua namna hilo kundi lililokuzunguka linawatafuna namna gani watanzania.

Watanzania wanayo ya moyoni ila 2025 ikikaribia watafunguka.

Mzee Makamba anakudanganya unaupiga mwingi na 2025 utapita kirahisi. Sio kweli labda kama watanzania ni wajinga kama enzi za Chief Mangungo wa Msovero.
Rais Samia Suluhu tupo nae mpaka 2030 kwaiyo punguza makasiliko
 
Labda itoke kijani wakapotea kabisa
Kwenye siasa na uongoz wa nchi
Ila kijani kama wataendelea kuwepo
We sahau tu

Ova
 
Mkuu HUYU mlawi 10101 wanamjua kuwa ndie!!?

Au ni yale yale ya mgogoro Kati ya Bakwata na Roman ndipo waseme tukose wote Acha aingie protestant hiyo mlawi!!?

Rabbon!!!
 
Hebu tuelezee namna gani hilo kundi linatutafuna? Tatizo la nchi hii mtu akikatiwa mrija wake anapiga kelele na kulia kilio huku akishawishi wananchi kuwa ni kilio cha jamii nzima! Nakukumbusha tu ndg kuwa kuimba ni kupokezana
Niambie kitu gani hakijapanda Bei huko kwako

Sent from my TECNO KE5 using JamiiForums mobile app
 
Niambie kitu gani hakijapanda Bei huko kwako

Sent from my TECNO KE5 using JamiiForums mobile app
Kupanda bei kwa vitu( inflation) ni tatizo la dunia nzima sio Tz tu! Hujasikia huko Uingereza watu wanakula chakula cha mbwa kwa sababu ya hali ngumu ya maisha? Hao mafisadi wa Tanzania ndio wamepandisha gharama za maisha na bei za bidhaa dunia nzima?
 
Back
Top Bottom