Rais Samia usidanganywe kuwa unakubalika sana na 2025 utashinda kirahisi kama Mzee Makamba anaepalilia ugali wa mwanae

Rais Samia usidanganywe kuwa unakubalika sana na 2025 utashinda kirahisi kama Mzee Makamba anaepalilia ugali wa mwanae

Wewe hakuna ujualo zaidi ya kutaka watu wote tulie kilio chako ilhali tulipokuwa tunalia ulikuwa unacheka! Narudia tena kukuambia kuimba ni kupokezana ndg
Subiri 2025. Safari hii hakutakiwa na waraka wa wakatoliki bali waraka wa kupinga ufisadi.
 
Katika siasa kila kitu kinawezekana..Ndio maana hata Hayati Julius alitawala kwa hii katiba na rasilimali za nchi zikalindwa.
Endelea kujidanganya!! Naomba hii katiba iendelee kuwepo miaka ya uhai wako!! Utaishia kulia lia hapa jukwaani!!

The inner circle will never allow the same mistake of 2015!! Take and mark my words popote utakapokuwepo!! Kama wewe siyo myopic utaelewa nachokisema
 
Hujui kitu pig
Tuambie wewe bibi yako alivaa nguo gani au alifulia nini nguo zake wakati wa Nyerere km hajakujibu ni majani ya mipapai. Nchi hii hatutaki uzalendo wa kujifanya unakula mahindi ya kuchoma barabarani huku ukikwiba,kujenga uwanja wa ndege kijijini na kuteka na kuua wakosoaji
 
Endelea kujidanganya!! Naomba hii katiba iendelee kuwepo miaka ya uhai wako!! Utaishia kulia lia hapa jukwaani!!

The inner circle will never allow the same mistake of 2015!! Take and mark my words popote utakapokuwepo!! Kama wewe siyo myopic utaelewa nachokisema
Mnaweza kuwa na katiba nzuri lakini ikasiginwa. Kwani hii katiba ya sasa inaruhusu ufisadi?
 
Labda CCM waibe kura ndo watapita otherwise RIP. Hata kampeni zao zitakosa mvuto zitakosa watu, Watanzania wa sikuhz sio wale wa zamani.
 
Bahati nzuri kila kitu kipo wazi kabisa. Wananchi wanajua kinachoendelea nchini. Hii nchi kwa sasa inavyoendeshwa na akina nani na kundi gani.

Kila mtanzania anajua namna hilo kundi lililokuzunguka linawatafuna namna gani watanzania.

Watanzania wanayo ya moyoni ila 2025 ikikaribia watafunguka.

Mzee Makamba anakudanganya unaupiga mwingi na 2025 utapita kirahisi. Sio kweli labda kama watanzania ni wajinga kama enzi za Chief Mangungo wa Msovero.
Achaneni na haya malalamiko, chukueni hatua. Kuondoka CCM hamtaki mmebaki kulalamika JF. Tunaposema nyie ni lile kundi ktk utawala ule wa giza ambalo maslahi yake yameathiriwa vibaya na awamu hii ya sita tunakosea?
 
Achaneni na haya malalamiko, chukueni hatua. Kuondoka CCM hamtaki mmebaki kulalamika JF. Tunaposema nyie ni lile kundi ktk utawala ule wa giza ambalo maslahi yake yameathiriwa vibaya na awamu hii ya sita tunakosea?
Wewe ni mpumbavu
 
Watanzania sio wajinga kiasi hicho cha kufanywa kama MAMBUZI(kwa sauti ya Dr. Bashiru). Miaka kadhaa sisiem imekuwa inashindwa kwenye chaguzi zake ila kinachofanyika ni UTEMI na NGUVU ya kuendelea kuremain in power.
 
Hebu tuelezee namna gani hilo kundi linatutafuna? Tatizo la nchi hii mtu akikatiwa mrija wake anapiga kelele na kulia kilio huku akishawishi wananchi kuwa ni kilio cha jamii nzima! Nakukumbusha tu ndg kuwa kuimba ni kupokezana
Hujui kitu wew ni mweupe kichwani
 
Back
Top Bottom