Rais Samia usidanganywe kuwa unakubalika sana na 2025 utashinda kirahisi kama Mzee Makamba anaepalilia ugali wa mwanae

Rais Samia usidanganywe kuwa unakubalika sana na 2025 utashinda kirahisi kama Mzee Makamba anaepalilia ugali wa mwanae

Hebu tuelezee namna gani hilo kundi linatutafuna? Tatizo la nchi hii mtu akikatiwa mrija wake anapiga kelele na kulia kilio huku akishawishi wananchi kuwa ni kilio cha jamii nzima! Nakukumbusha tu ndg kuwa kuimba ni kupokezana
Mbuzi mmojawapo huyu hapa. Yaani kuna watu wapumbavu sana nchi hii
 
Maelezo yalishatolewa kwanini kuna mgao. Hivi ni kweli hamuoni ukame ulioikumba nchi toka mwaka jana? Tatizo nyinyi ni miongoni mwa wale watekaji mliofikiri ile ni ajira ya kudumu sasa mna hasira kufutwa hiyo ajira. Watu km nyie hamna tofauti na muuza majeneza anayechukia vifo kupungua
Mbuzi ingine hii hapa.Kuna watu wapumbavu sana, Hata enzi za Escrow na EPA maelezo yalitolewa na wapuuzi kama wewe mkakubali tu kama mbuzi.Kuna watu ni Wa""nge sana nyie mnaofumbia macho na kutetea upuuzi unaoendelea wakati wananchi wanateseka.
 
Bahati nzuri kila kitu kipo wazi kabisa. Wananchi wanajua kinachoendelea nchini. Hii nchi kwa sasa inavyoendeshwa na akina nani na kundi gani...
kura yako ni moja tu kama utaenda kupiga kura ingawa watu km wewe hata kwenda kupiga kura huwa hamuendi unabaki kubwabwaja na chuki zako mtandaoni. Kushinda ni zaidi ya 90%
 
Miaka mitano iliyopita kulikuwa hakuna ukame? Kwa nini Makamba amenunua jenerator la Mw 20 kimyakimya.
Km kulikuwa na ukame Magufuli alikuwa anakojolea mitambo ijiendeshe au alikuwa anatumia nini. Hakukuwa na ukame km huu we zuzu na chuki zako
 
Mbuzi ingine hii hapa.Kuna watu wapumbavu sana, Hata enzi za Escrow na EPA maelezo yalitolewa na wapuuzi kama wewe mkakubali tu kama mbuzi.Kuna watu ni Wa""nge sana nyie mnaofumbia macho na kutetea upuuzi unaoendelea wakati wananchi wanateseka.
Mimi nilifikiri wewe ni kati ya wananchi tunaoteseka kumbe ni wengine wanateseka!? Narudia tena kuwaambia kuwa kuimba ni kupokezana
 
Mnaweza kuwa na katiba nzuri lakini ikasiginwa. Kwani hii katiba ya sasa inaruhusu ufisadi?
Kwani sasa hv Rais akiruhusu ufisadi utamfanya nn? Nani anauwezo wa kumkalisha hata kikao cha ukoo?

Kwa kaliba ya watanzania hakuna matumaini ya kupata viongozi walio bora!! Aliye katika mfereji wa kujaza tumbo lake hata ukimueleza kesho ya watoto au wajukuu zako inaweza kubadilika hawatakaa wakuelewe!!

Labda dunia iumbwe upya ndo watanzania wapya watakuwepo!!

Narudia tena mpaka 2030 Rais ni Samia na 2030 to 2040 Rais wako alishachaguliwa na huna cha kuwafanya!!
 
Hujui siasa za Tanzania. Unadandia mada za wanaume.
Kwa mazingira ya kishenzi mliyojijengea nyie chama cha mambuzi kumuondoa mgombea wenu ni vigumu. Ndio muone sasa tunapodai marekebisho ya msingi ya katiba na tume ya uchaguzi tunataka nini. Hivi sasa nina uhakika wengi wenu hampendezwi na uongozi wa huyu mama ila hamna la kumfanya tume ya uchaguzi ni yake atatangazwa tu mtake au msitake.
 
2025 tunamweka "bibi" pembeni maana nchi imemshinda. Arudi zake Zanzibar akale "urojo".
 
Taja atakae shinda. Ccm wametaja mtu wao Dkt samia.
 
Nakumbuka sana kipindi cha Magufuli wapinzani walipokuwa wanapambana Watanzania wapate katiba mpya mlivyokuwa mnawabeza!...
Wapinzani hawa wachumia tumbo, Kikwete aliwapa nafasi,mchakato ukafikia mwisho wakasusa,ela za Serikali na mda vikaharibika bure.

Magufuli aliwajua Wapinzani mapema ndio maana akuangaika nao,alijua tu wako kwajili ya matumbo yao.Sasahivi akina Mbowe Cop wamepewa buyu la asali,na kulipiwa nauli za kwenda ulaya, uwezi sikia wakipiga kelele kama enzi za Magufuli.
 
Sisiemu inawezekana inachukiwa Kwa kishindwa kuwakemea watu wenye maneno ya shombo kama Makamba senior,nchi inapitia changamoto kibao halafu anaibuka kuongea upuuzi upuuzi.Samia awe makini na hayo magenge ya hawa watu
 
Tusisahau ule uchafuzi wa mwaka 2020.Alisema hata mkipiga kura kule cha mambuzi kitatangazwa kuwa kimeshinda.
 
Bahati nzuri kila kitu kipo wazi kabisa. Wananchi wanajua kinachoendelea nchini. Hii nchi kwa sasa inavyoendeshwa na akina nani na kundi gani.

Kila mtanzania anajua namna hilo kundi lililokuzunguka linawatafuna namna gani watanzania.

Watanzania wanayo ya moyoni ila 2025 ikikaribia watafunguka.

Mzee Makamba anakudanganya unaupiga mwingi na 2025 utapita kirahisi. Sio kweli labda kama watanzania ni wajinga kama enzi za Chief Mangungo wa Msovero.

Kwa yaliyotokea 2020, sidhani Kama Cha kumfanya Samiah asiwe rais
 
Viongozi wetu wamefanikiwa sana kututishia hakuna mtu mwenye guts za kuwakosoa let alone kuwa na wazo la kuwafanya wawajibike kwa matendo yao maovu.
 
Wapinzani hawa wachumia tumbo, Kikwete aliwapa nafasi,mchakato ukafikia mwisho wakasusa,ela za Serikali na mda vikaharibika bure.Magufuli aliwajua Wapinzani mapema ndio maana akuangaika nao,alijua tu wako kwajili ya matumbo yao.Sasahivi akina Mbowe Cop wamepewa buyu la asali,na kulipiwa nauli za kwenda ulaya, uwezi sikia wakipiga kelele kama enzi za Magufuli.
Sasa mnataka wapige tena kelele za nn nna ulishasema wachumia tumbo?

Waache waendelee na maisha yao!! Unafikiri Mbowe ataishi maisha ya shida hata siku moja hata uongozi uwe wa namna gani?

Hii nchi natamani CCM iongoze tu miaka hata 1000!! Acha tukamate mabuyu ya asali!!
 
Kama Magufuli alishinda yeye Kwanini asishinde??, Na toka lini CCM wanategemea kura za raia kushinda?.
Hapo Sasa! CCM hawategemei sanduku la kura, sanduku la kura lao ni Polisi na Usalama wa Taifa.
 
Mi huwa nasikia tu kwamba ccm huwa wanaiba kura, sasa sijui kama ni kweli ama sivyo. Ila kama huwa wanasingiziwa ikifika 2025 waibe kweli maana Samia hawezi kushinda hata akishindanishwa na halima mdee.
 
HATOGOMBEA 2025,

Tutakuwa ktk hatua za mwisho kukamilisha upatikanaji wa KATIBA mpya itokanayo na Rasimu alosimamia Judge WARIOBA.

Baada ya Kupata KATIBA mpya 2026, Ajaye ni...mlawi, mwenye Vision, kiongozi wataifa teule wa nyakati za mwisho.
 
Back
Top Bottom