Rais Samia usikubali CDF General Mabeyo astaafu kwani bado anahitajika na sijaona wa kumrithi kwa sasa

Ni lazima tupate Mwislam mwenzetu safari hii. Acha mbwai iwe mbwai.
 
Be serious bro!!nchi inawatu milioni 62!unasema hakuna wa kuchukua nafasi ya CDF anayeondoka?!mbona yeye alipstikana?walikuwepo,mboma,Mwamunyange,nk,wapo kibao tu.
 
Mwandiko gani huu? Faiza Foxy fuatilia elimu na uelewa wa huyu mdau, huenda
shuleni alienda kusomea ujinga.
 
anareplacemeny
 
Yaani kwa Uandishi huu unajiona una akili sana mzee.....sasa mi nakwambia ukweli, we jamaa ni empty sana humo kichwani. Kuandika tu kunakupa shida, sasa utaweza kweli kuwaza vitu vya kiakili?
Ukiona mtu anajifanya kujua kila kitu muogope Sana
 
Jeshi bila Mabeyo inawezekana, akina Mayunga walifanya kazi kubwa sana kushinda akina Mabeyo walinzi wa CCM waliondoka na jeshi bado linaendelea.
 
Hivi wewe una akili timamu kweli? Nina mashaka makubwa na kichwa chako utakuwa na serious problem.

Njoo Monduli kwanza tukufundishe kwa uchache tu JWTZ ni nini.

Halafu umekaririshwa tu Eagle house wakati hujui ndani ya JWTZ kuna kitengo.

Kwa kifupi wewe ni mshamba fulani tu mjingamjinga.
 
Tell her
 
Nafasi yake ina mtu tayari wapo majenerali 6 ambayo mmoja wapo anauwezo wa kuwa mkuu wa majeshi vizuri sana na hao wote kikwete ndio aliwandaaa wakati anaondoka hta mabeyo kikwete ndio alimuandaaa ila akamuegesha mahali Magu alipokuja akamteuwa kuwa mkuu wa majeshi akijua yeye ndio kamuweka kumbe ulikuwa mtego tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…