mtumishiwaleo
JF-Expert Member
- May 4, 2020
- 1,477
- 1,725
Biden,ameisha toa akiba ya mafuta kuweka kwenye mzunguko, Ili kupunguza makali na mfumuko wa bei, sasa Huyu wa kwetu ana solution Yeye ni kupuyanga tu, baada ya kusovu matatizo ya wananchi wake, kesho kutwa kutwa utasikia anafanya ziara India hopeless kabisaMarais wengine nao ni hopeless pia maana nao nchi zao zinaathirika na kupanda bei ya mafuta baada ya vita ya Urusi. Joe Biden mmoja wao pia.
Umetumwa kuja kumtetea..kiufupi hakuna mikakati wanalialia tu..nchi imewashinda..wamewekeza kwenye propaganda za kusifu na kuabudu..na kuacha misingi za kujenga mifumo imara ya kiuchumi...hii nchi viongozi wake wamelaaniwa.Kuna kitu kinaitwa global au international
political economy. Inaeleza ni namna gani siasa za dunia kwa wakati husika zinaweza kuendesha uchumi wa dunia au ni namna gani uchumi wa dunia unaweza kuendesha siasa za dunia. Ni muhimu kuelewa mantiki ya alichokisema Mhe. Rais. Kuhusu bei angalizo ni la msingi na wala halimaanishi hakuna udhibiti.
Mfano, ni petrol na dizeli kama ingepaswa kupanda kama bei ktk soko la dunia ilivyo basi isingekuwa kama hivi kwetu . Ila Serikali iliondoa tozo kupunguza makali ya bei ya mafuta. Hapa ni kwa GTs , tumuelewe Mhe. Rais na watu watumie lugha ya staha kujadili. Hakusema kama hakutakuwa na udhibiti; ila ni FACT BEI ZA BIDHAA NYINGI ZENYE MNYORORO WA KIMATAIFA ZITAPANDA KWA KINACHOENDELEA KATI YA URUSI NA UKRAINE. Swali ni kiasi gani ndipo Serikali inapocheza vema kupunguzia wananchi makali.[emoji120][emoji120][emoji120]
Rais Samia Suluhu Hassan ameelezea kupanda kwa bei ya mafuta kwa kiasi inasababishwa na mgogoro unaoendelea kati ya Urusi na Ukraine.
“Mabadiliko ya kupanda kwa bei ya mafuta kiasi kidogo yamesababishwa na vita ya Ukraine na Urusi, yanapanda bei mno. Tanzania hatutanusurika, bidhaa zote zitapanda bei, nauli zitapanda bei kila kitu kitapanda, thamani ya kila kitu itapanda juu.
“Tumesikia minong’ono kuwa maisha yanakuwa magumu, ‘kila kitu kinapanda bei, wanasema ni hao viongozi wetu tulionao hawana baraka’.
"Si baraka ya kiongozi ni hali ya ulimwengu inavyokwenda,” amesema Rais Samia katika maadhimisho ya 'Siku ya Wanawake Duniani', Zanzibar, leo Machi 8, 2022.
Tuliwaambia toka mwaka jana mkasema anaupiga mwingi, haya ndio matokeo yake.Taifa ambalo linakubali kuwepo bila Rais kama Tanzania lina laana.
Imagine nchi ina Rais hewa ambae muda wote yupo busy kutafuta chaka la kuficha uzembe,mauchafu pamoja na madhaifu ya Serikali yake.Hangaya is the inept hopeless leader.
Ni kweli ndugu hakuna kitu hapo tulishapigwa kichwani na kitu kizitoHakuna kiongozi hapo ni aibu tupu
Sidhani km anaelewa impact ya maneno yake.Sasa watapandisha bei maksudi kisa Rais katamka vita imepandisha bei! Bora hata asingesema angekaa kimya tu!!
Hili nalo linapendaga kuropoka sana! Linafikri kila kitu ni cha kuzungumza hadharani? Sasa si ndio wanatoa baraka kwa wafanyabiashara kufanya yao?Rais Samia Suluhu Hassan ameelezea kupanda kwa bei ya mafuta kwa kiasi inasababishwa na mgogoro unaoendelea kati ya Urusi na Ukraine.
“Mabadiliko ya kupanda kwa bei ya mafuta kiasi kidogo yamesababishwa na vita ya Ukraine na Urusi, yanapanda bei mno. Tanzania hatutanusurika, bidhaa zote zitapanda bei, nauli zitapanda bei kila kitu kitapanda, thamani ya kila kitu itapanda juu.
“Tumesikia minong’ono kuwa maisha yanakuwa magumu, ‘kila kitu kinapanda bei, wanasema ni hao viongozi wetu tulionao hawana baraka’.
"Si baraka ya kiongozi ni hali ya ulimwengu inavyokwenda,” amesema Rais Samia katika maadhimisho ya 'Siku ya Wanawake Duniani', Zanzibar, leo Machi 8, 2022.
Naunga mkono hoja!Hakuna kiongozi hapo ni aibu tupu
Balaa na nusuNaunga mkono hoja!
Tujipange haswaNi kweli ndugu hakuna kitu hapo tulishapigwa kichwani na kitu kizito
Tz ni balaa mara 3Weeee kijana tulia hivo hivo, Kenya saa hii kwenye social medius kuna trending hashtag ya #lowerfoodprices, vitu Kenya vimepanda sana bei asikwambie mtu, ila tofauti ya kenya na TZ ni sasa unaona wakenya wameanza kuchukua reaction ya kugomea bidhaa flani wanarudi kwenye masoko ya mtaani hali inayosababisha bidhaa flani hasa za food zisipande sana bei, na soon watu wataanza ku organise maandamano na wanawachana viongozi live, sasa hivi gas ya 6kg ni 1550 ksh, na before ilikua 850, ikapanda January to 1300, now ni 1550 na hapo hii ndio ya bei ndogo, zingine zimefika hadi 1700 per 6kg hali ni mbaya, mafuta yamepanda, bidhaa zote zimepanda bei hadi mayai, soon mtaskia jambo manake wakenya hawana mchezo, umeme tu kukatika bila maelezo yakutosha sku hiyo viongozi watakula matusi hadi wasiingie online. Kenya gharama ya maisha imepanda sana hasa kwa wanachi wa hali ya chini.
Sent from my vivo X6D using JamiiForums mobile app
Maanake wameruhusiwa kupandisha vitu liveRais kuongea haya ni kutoa baraka kwa watu kupandisha bei za bidhaa na bahati mbaya zaidi nao watajua pakujifichia!
Bidhaa ni lazima zipande na wafanyabiashara lazima wapandishe bei ya kila kitu maana wamepewa baraka zote....
Rais hakutakiwa kutamka haya mambo ya kupanda bei za vitu labda kama angelikuwa na suluhu ya tatizo husika bali kinyume chake ni kuhalalisha upandishaji wa bei kiholela.
Bidhaa nyingi zimepanda bei toka mwezi wa tatu mwaka jana sasa sijui vita ilisha anza au lah?
Yye mwenyewe ni mfanya biasharaSasa watapandisha bei maksudi kisa Rais katamka vita imepandisha bei! Bora hata asingesema angekaa kimya tu!!
Chuki zako ni bure... Mzazi mwenye akili hawezi kusema leo sina hela kwa hiyo tutashinda njaa, mzazi mwenye akili atasema subiria kidogo naenda kuwatafutia chakula... Bora uongo unaojenga kuliko ukweli unaobomoa...Rais anawaambia ukweli. Huu sio wakati wa kudanganywa kwamba sisi ni nchi tajiri. Hawa Warusi na Ukraine walijiandaa muda mrefu nyie mkiwa mmelala huku bei zikiendelea kupanda. Pia hatuna export yoyote ya maana. Viwanda 3000 vya yule waziri na mwendazake havijawahi kuwepo. Tumezoea kudanganywa. Tuupokee ukweli live.