Fortify= Kuongeza virutubisho adimu kwenye vyakula au vitu vya vyakula. Chumvi imeongezwa iodine na tatizo la utaahira unaotokana na ukosefu wa Iodine limetokomezwa!... ndio tunaelekea kwenye genetically modified foods au?
Acha utoto supu ya pweza inaongeza uzito wa manii sio kusimamisha dushulele..Mimi huyu mwanamama sijamuelewa anaposema, wanapata shida wakifika kipindi cha kuongeza jamii hadi watumie supu ya pweza!
Supu ya pweza inasababisha mimba kwa mwenye tatizo la kuto kutia mimba?
Nilikua nikijua supu inawasaidia wenye shida ya kusimamisha mashine...!
Waziri hana taarifa, rais hana taarifa ....kama nchi tupo tupo tu
Duh wanaume wa Dar mnapiga pweza mpk bi. Mkubwa amesikia taarifa zenu.
Hizo energy drink zinakupa quick boost lakini baada ya muda ndio zinakata kabisa maana ni sukari tupu kuliko hata soda ya kawaida, ziepuke kwa afya yakoHii ufipa energy sijawah kuinywa mkuu
Nina zaidi ya mwaka now nishaacha kunywa hizo takatakaHizo energy drink zinakupa quick boost lakini baada ya muda ndio zinakata kabisa maana ni sukari tupu kuliko hata soda ya kawaida, ziepuke kwa afya yako
Of course ni sahihi.Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan amesema kuwa changamoto inayowapata vijana wanapotaka kuongeza jamii inatonakana na uwepo wa lishe duni.
Ametolea mfano wa matumizi makubwa ya vumbi la mkongo na supu ya pweza kwa vijana wa kiume, pamoja na matumizi makubwa ya chips mtaani.
Ameshauri utafiti makini uweze kufanyika ili kubaini chanzo halisi cha tatizo hili pamoja na kuongeza kasi ya kufanyia fortification mazao na vyakula hadi ngazi za chini kabisa nchini ili watu wapate lishe bora.
Ameyasema hayo wakati akishiriki hafla utiaji saini Mkataba wa Usimamiaji wa Shughuli za Lishe leo tarehe 30 Septemba, katika Jengo la Kitega Uchumi jijini Dodoma
Habari zao/zetu anazo.Duh wanaume wa Dar mnapiga pweza mpk bi. Mkubwa amesikia taarifa zenu.
😂🤣😂🤣😂😆 mbavu zangu jamani...hahahaDuh wanaume wa Dar mnapiga pweza mpk bi. Mkubwa amesikia taarifa zenu.
Who cares,bora liende mpaka ligote.Wameshindwa kutafiti chanzo cha Saratani kanda ya Ziwa anataka tafiti za pweza na mkongo..!
kwakweli itakuwa imemnyea😂😂😂Aisifuye mvua imemnyea...mkongo kaujuaje? Bila shaka first gentleman ni mdau wa pweza na mkongo🤣
Mimi wa kiume hata siujui
Chezea mkongo wewe?🤣🤣🤣🤣🤣kwakweli itakuwa imemnyea😂😂😂
Samia mtoto wa mjini,sio kama yule mshamba wa kijijini.kwakweli itakuwa imemnyea😂😂😂
ndomaana anaelewa kazi ya mundende...lazima mvua imesha mnyea aseeeSamia mtoto wa mjini,sio kama yule mshamba wa kijijini.