Rais Samia: Vumbi la Mkongo na Supu ya pweza ni matokeo ya lishe duni

Chezea mkongo wewe?🤣🤣🤣🤣🤣
Halafu Arusha wana Mkongoraa kwahiyo tusiwaseme Wanaume wa Dar peke yao hata wa Arusha

Sijui huko Mwanza kama na wao ni Wazee wa kuboost😁
 
Halafu Arusha wana Mkongoraa kwahiyo tusiwaseme Wanaume wa Dar peke yao hata wa Arusha

Sijui huko Mwanza kama na wao ni Wazee wa kuboost😁
I dont think kuwa mkongoraa una maajabu ni uzushi tu.
Mimi huwa nautafuna kwa kupenda ule ukakasi flani.

Nimeujaribu kama mara 3 sikuhisi chochote tofauti na nilivyo.

Mwanaume kutumia booster kutakuondolea kujiamini usipokuwa na hiyo booster
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…